njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Kisa changu ni cha tofauti kidogo miaka ya 90 kama sikosei tulienda likizo kwa baba yetu mkubwa huko Daslamu tukitokea kijijini ,baba mkubwa yeye alikua njema sana na alikua anakaa mitaa ya Oysterbay kule karibu na uwanja wa farasi pale,
Basi siku hiyo isiyo na jina tukapikiwa sausage( soseji) kwa mara ya kwanza nilizifurahia sanaaa ,nikaona nimuulize broh ,Broh akanipanga hizi ni karoti zinachemshwa na hamira ndio zinakua hivi,
Broh hakujua kuwa mwenzake nimeliweka ,likizo ilipoisha kurudi bush huyoo hadi jikoni nikakusanya mikaroti yangu nianze kutoa soseji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 khah nyie acheni
Basi siku hiyo isiyo na jina tukapikiwa sausage( soseji) kwa mara ya kwanza nilizifurahia sanaaa ,nikaona nimuulize broh ,Broh akanipanga hizi ni karoti zinachemshwa na hamira ndio zinakua hivi,
Broh hakujua kuwa mwenzake nimeliweka ,likizo ilipoisha kurudi bush huyoo hadi jikoni nikakusanya mikaroti yangu nianze kutoa soseji🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 khah nyie acheni