Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kuna siku brother angu mmoja yupo hapo Dodoma.Hii kweli
Kuna nyumba hapo makonde mbezi beach walikuwa na budget ya mbwa kama 700,000 kila mwezi na anakula nyama kwa asilimia kubwa
Akijaga dar zamani iyo tunapata shushu ya kuzunguka na lishangingi la ofsn kwake.
Jamaa tunaenda nae kununua mbwa akalipia mbwa mmoja laki 9 iliniuma Sana jamaa kununua mbwa wawili kwa 1,800,000 cash
Mbwa kwa ajili ya kumsaidia kulinda mbuzi na mifugo yake hapo Dodoma aisee nilishangaa
Kuna species mbali mbali za mbwa wanauzwa kuanzia laki 7,8,9 na kuendelea..