Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

🤣🤣🤣🤣Jenga ndoa hukoo. Nikuite uachike tena. Btw Kuna ushuhuda huko, paka wa mzungu hataki kuona rangi yenu kwa mlichomtenda, na mzungu anasema mkienda kwake mnampa stress paka akiwaona tu.
Ndoaa gani tena
Mimi hata kukutana na hivyo vitu nlvosoma hapa bado huoni kama safari yangu ni ndefu kupitiliza,?
 
wakati tupo chuo 2021 mwanangu mmoja aliambiwa akifaulu UE zote ananunuliwa semtraila mbili na kweli bhana mwamba alinunuliwa baada ya kupasua UE.
NB: Mwamba alikuwa anasain boom wamwisho kbsaa tena kwa taarifa zake za kusambaa magroup ya wasup kuwa akasain na akisain zote anazila siku hiyo hiyo, mbaya zaid alipata mkopo asilimia mia. now ni tajiri wa mawe.
 
Wakuu,

Disclaimer🫢 Hapa hatuongelei pesa madafu

Kuna mtu alisema ameenda kwa rafiki yake akakuta wana pump ya mafuta kwao🤣🤣🤣🤣

Yaani mambo za kwenda sheli si habari zao. Wanamaliza tuu hapo nyumbani

Hata mimi ningeshtuka kwa kweli 😀

Wewe ni nini uliona kwa Watu ukajua pesa ipo?
Kabla hata ya kwenda kwao,watu wenye maisha mazuri Kwa bongo utamjua kuanzia muonekano wa sura mtaani.
Ukienda kwao kabla ya kuingia ndani mazingira ya hapo nje tu yanakuambia hii ni class tofauti,wachache sana wanakua wachafu kimazingira,ndani hata jinsi wanavyokula sisi wa uswazi mnakula gombania goli sinia moja wote.
Unakuta ndani vitu/kochi vipo 3,4 stars.
 
Kuna wezi waliendaga kuvamia nyumba ya kibibi na jiwe fatuma.

Wakati wanaliset set bibi akaamka akawasikia mipango yoote,

Bibi alichofanya alienda akasimama nyuma ya mlango, wale jamaa wakaanza moja, mbili...... ile kufika tatu, bibi akaufungua ule mlango ghafra, jiwe likapita mazima bila kugusa mlango mpaka ndani kisha kwa haraka akaufunga.

Jamaa wakakosa means ya kuvunja mlango wakaanza kumuomba bibi awafungulie walau wachukue jiwe lao
🤣🤣🤣🤣
 
Kuna wezi waliendaga kuvamia nyumba ya kibibi na jiwe fatuma.

Wakati wanaliset set bibi akaamka akawasikia mipango yoote,

Bibi alichofanya alienda akasimama nyuma ya mlango, wale jamaa wakaanza moja, mbili...... ile kufika tatu, bibi akaufungua ule mlango ghafra, jiwe likapita mazima bila kugusa mlango mpaka ndani kisha kwa haraka akaufunga.

Jamaa wakakosa means ya kuvunja mlango wakaanza kumuomba bibi awafungulie walau wachukue jiwe lao
Daah hii nimecheka kiboya sanaa story za jiwe fatuma za vijiweni sanaa those days
 
Mbweni hapo, tumeingia getini upande wa kulia swimming pool, kushoto garden na parking. Pale swimming pool Kuna fridge ya LG milango miwili. Parking kuna Range mbili moja ya Mama na nyingine ya baba. Kuna gari nyingine tatu za watoto watatu. Kwenye corridor ya mbele Kuna fridge ya LG milango miwili. Kilichonishangaza ni ukubwa wa jiko size ya nyumba ya vyumba vinne ndani ya jiko Kuna counter, fridge kubwa, Kuna meza ndefu na bado nafasi inabakia kubwa tu ya kukimbia. Nyuma ya nyumba Kuna garden na fridge nyingine. Watoto wote watatu hawajaolewa na wote wamesoma Uingereza kuanzia secondary school. Tanzania ina mengi na hatulingani
 
Sijawai stushwa na Kitu chochote cha mtu.

Japo wakati naanza firstyeae, kuna rafk etu alikua kaomba mkopo na kapangiwa 100% I'm ila cha ajabu, mzee wake alivo jua akamwambia andika barua loarboard kua wasitishe huo mkopo.

Toka hapo nikajua jamaa kwao sio wachovu.
 
Mimi Kuna dogo alikuja kwetu, tukampa makande baada ya kula mtoto akaanza kulalamika ameshiba sana, hapumui vizuri...alivyokuja mama yake akapelekwa Agakhan just for check up....kumbe kwao hawakitambui kama chakula Cha binadamu 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom