Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Msinichoke ...hii mada ni kama imekuja kwa ajili yangu, Nina shuhuda nyingi cjui ni kutokana na kazi ninayoifanya.

Kuna nyumba nilienda hata kabla ya corona kuingia Tz, pale getini wamefunga zile mashine za kuji sanitize (Ile kama kachumba Cha kutoa mvuke) huwez ingia pale ndani bila kupita kwenye Ile mashine🤣

Kwa hiyo kama umekuja na chawa, kunguni, papasi, viroboto...wanavifanyia Farmington mapema🤣🤣🤣 usije waletea shida washua.

Siku hiyo nilicheka sana na kujionea huruma at the same time.
 
Msinichoke ...hii mada ni kama imekuja kwa ajili yangu, Nina shuhuda nyingi cjui ni kutokana na kazi ninayoifanya.

Kuna nyumba nilienda hata kabla ya corona kuingia Tz, pale getini wamefunga zile mashine za kuji sanitize (Ile kama kachumba Cha kutoa mvuke) huwez ingia pale ndani bila kupita kwenye Ile mashine🤣

Kwa hiyo kama umekuja na chawa, kunguni, papasi, viroboto...wanavifanyia Farmington mapema🤣🤣🤣 usije waletea shida washua.

Siku hiyo nilicheka sana na kujionea huruma at the same time.
Amini usiamini lazima kuwe na geti la pili ambalo hakuna hicho chumba, mana matajiri wenzake wakija hawezi kuwapitisha kwenye hicho chumba hvy hicho chumba n kwa ajili yetu walalahoi 😂
 
Yaani mtu mzima nianze kuingia kwenye jakuzi? 😂😂😂

Si Bora niende beach nilishindwa sana huko kwenye swimming pool
Mm labla n umasikini wangu ila kuoga kwenye jakuzi naona kama uchafu hv mana ule uchafu wa mwili bado unakuwa kwenye maji yale yale ambayo ww bado upo nayo hapo hapo umeyazamia.
 
Kuna siku nilienda kufunga WI Fi mbezi beach jogoo, wakati nipo sitting room naendelea na kazi ghafla namuona dogo anakuja na bulungutu na Euro 50/50 zipo kwenye tape hazijafunguliwa anaendesha kama gari😳 mwili ulipigwa na ganzi isiyo ya kawaida, akili ya kutaka kulichukua ikanijia (kuiba)🤣 nikiwa najiuliza sijafanya maamuzi nikamuona dada yake anaita mamie...nourin anacheze hela za baba...mama yake akiwa jikon simple tu akasema mnyang'anye Kisha ufunge mlango wa chumbani....hakuna siku mapigo ya moyo yalinienda mbio kama siku hiyo nahisi yule mlaika alitumwa Kuna kunitoa umaskin🤣🤣
Malaika alitumwa kukutoa kwenye umasikini ila shetani kutokea jikoni akaingilia maamuzi ya malaika 😂
 
Mimi Kuna dogo alikuja kwetu, tukampa makande baada ya kula mtoto akaanza kulalamika ameshiba sana, hapumui vizuri...alivyokuja mama yake akapelekwa Agakhan just for check up....kumbe kwao hawakitambui kama chakula Cha binadamu 🤣🤣🤣
Mngemuua dogo, wangetangaza dogo amekufa kwa kupewa sumu aina ya makande 🔥🔥
 
Kuna wezi waliendaga kuvamia nyumba ya kibibi na jiwe fatuma.

Wakati wanaliset set bibi akaamka akawasikia mipango yoote,

Bibi alichofanya alienda akasimama nyuma ya mlango, wale jamaa wakaanza moja, mbili...... ile kufika tatu, bibi akaufungua ule mlango ghafra, jiwe likapita mazima bila kugusa mlango mpaka ndani kisha kwa haraka akaufunga.

Jamaa wakakosa means ya kuvunja mlango wakaanza kumuomba bibi awafungulie walau wachukue jiwe lao
Ww jamaa fala sana 😂😂😂
 
Inawezekana

Makampuni mengi ya usafirishaji wana pump kwenye yard

So mtu anakuwa na yard pembeni ntumba yake

Hii kuna jamaa angu kwao wanakarakana kabisa ya magari ya familia

Tembea uone
Kwenye industrial ares yes inawezekana, lakini kwenye nyumba ya mtu ambayo ni makazi, mamlaka haziwezi zikatoa kibali mkuu.
Ebu mkiwa mnatetea hoja basi msitusokote sana
 
Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.
Babu alikuaga na ngo'mbe wengi Sanaa
Kimiujiza miujiza miaka ya 60's watoto wa Babu kwa miaka tofauti tofauti walikua wanafaulu darasa la saba na kuchaguliwa shule za SERIKALI

Walisomaga zamani na wakabahatika kupata kazi nzurii serikalini na wote wamekua watumishi mpaka Kustaafu kwao utumishi serikalini.

Kwenye tumbo la mama tupo wa 5 hakuna hata mtoto mmoja ambae Hana degree wa mwisho ndio kamaliza hapo Udsm mwaka huu

NB.
Kuna familia ukizaliwa unakua mwenye bahati na chance kubwa ya kuwa na option mbali mbali za kutimiza ndoto/goals E.t.c
Hongera Sana invutia Sana story yako na Ina inspire.
 
Back
Top Bottom