Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuchapa kazi najitahidi ili siku ikitokea nafasi niitendee haki. shukrani kwa neno mkuuKutoka ndani ya uvungu wa moyo nakuombea mkuu kikubwa usichague kazi kamwe huwez kupata kazi kama hauna kazi humu humu kwny maofisi tunayoanza nayo ndiyo tunakutana na fursa mpya.
Kikubwa kuwa muadilifu na mchapakazi kuna watu wanakufatilia pasipo wewe kujua hii ndiyo kitu pekee ilonifanya nikawa shifted kutoka nilipokuwa mpaka nilipo, jali na upende unachofanya.
shukrani sana mkuu kwa kunitia moyoNajua unachopitia,yatapita tu man.
basi ni tajiri sanaNi kweli mkuu soma hapa
👇👇👇👇👇👇
Its daily capacity for manufacturing is 2100 metric tons and made sales of $800 million in 2011.[1] Bakhresa's Azam
Sio hawana tu hata hiyo pressure cooker hawaijui na hawajawahi kuionahvyo vitu bado ni big deal hadi leo hii mzee uwezi ad leo kuna watu hawana hvyo
Ok usichoke mkuu.kuchapa kazi najitahidi ili siku ikitokea nafasi niitendee haki. shukrani kwa neno mkuu
Aiseeeee....Ile nyumba kutoka getini hadi ilipo ukitumia boda anakuchaji buku...
Wapi huko?Sio hawana tu hata hiyo pressure cooker hawaijui na hawajawahi kuiona
Ukiwa na Hela mkuu,hao OSHA wanaoshwa tu vizuri mbonaHuyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu
Jidanganye, hao ewura na osha ni kwa maskini lakni sio wenye pesa zaoo.. Nenda nyumbani kwa Abood Morogoro ndio utaona kiwa Ewura wamekufaaHuyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Maeneo ya VijijiniWapi huko?
Kipindi hicho unaweza miliki hivyo vitu lakini uko kwenye nyumba ya kupanga, kujenga nyumba wkt huo ilikuwa ngumu sanaMiaka ya 89's nyumbani tulikuaga na Tv, fridge, washing machine,choo Cha kukaa, nyumbani Kuna umeme, mashine ya kunyolewa, jiko la umeme , oven , pressure cooker N.K
Kumiliki ivyo vitu enzi izo yaani mnaonekana matajir wakubwa Sanaa 😊
Maisha yamebadilika Sanaa Sanaa sikuizi hivyo vitu sio big deal tenaa...
Shemela nenda kwa Shem shem wako Half american uka shangae.Mi sijawahi kwenda popote nikashangaa, ama kweli hii circle yangu inabidi niitathimini .
AtashangazwaShemela nenda kwa Shem shem wako Half american uka shangae.
ata shangaa tiles hadi juu ya kibarazaAtashangazwa
daah nimelia sana😭Enzi hizo nipo form six tumetoka shule jumamosi kufanya test tukaenda nyumbani kwa rafiki yetu huyo..
Dah..tumefika tu tunakuta maagizo kwa house girl wao eti mama yake ameacha laki 100,000... jamaa akachukue chakula cha paka da nilishtuka sana.. nikamwambia jamaa yaani paka wenu hawa wanabudget nzuri hivyo kuliko watanzania wengi sana kweli maisha hatufanani.... akacheka tu.
Paka wenyewe wawili 2 nikiwaangalia kama wa mitaani tu..wamejilaza kwenye makochi
Hiyo ni mwaka 2014..
Kifupi jamaa hata chuo akwenda hakusubili matokea akasepa zake state hadi leo yupo huko alisoma chuo hukohuko ameoa hukohuko kifupi maisha kwenu yakiwa kwenye hali nzuri kuna uwezekana mkubwa sana watoto pia wakaishi maisha mazuri tu hata wakikuwa.
Yule jamaa napiga nae story hadi leo namkumbusha wale paka anasema walikufa.yeye anawaita na majina kabisa.
Kwani analalia mashuka ya Hospital? 😂Shemela nenda kwa Shem shem wako Half american uka shangae.
I mean no malice to nobody 😂😂
Shem kuwa makini sana na huyo binadam usiamini hata nukta yake 😅