Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

kuchapa kazi najitahidi ili siku ikitokea nafasi niitendee haki. shukrani kwa neno mkuu
 
Kuna watu wana kila kitu nyumbani kwao hasa vya kuonekana lakini nyumba inadaiwa home loans ya mabilion ya shilingi na hawalali kwenye hizo nyumba kwa raha. Wanaishia kuvuta miskakanka na kamari.
Usione ukadhan ndugu
 
Huyo alikudanganya mkuu, kwanza EWURA hawawezi kutoa kibali na pia OSHA hawawezi wakatoa kibali cha kuweka fuel station kwenye makazi ya mtu.
Jidanganye, hao ewura na osha ni kwa maskini lakni sio wenye pesa zaoo.. Nenda nyumbani kwa Abood Morogoro ndio utaona kiwa Ewura wamekufaa
 
Kipindi hicho unaweza miliki hivyo vitu lakini uko kwenye nyumba ya kupanga, kujenga nyumba wkt huo ilikuwa ngumu sana
 
daah nimelia sana😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…