Ulikuta kitu gani kwa Watu ukajua "hapa pesa ipo"?

Chaiii...
 
hvyo vitu bado ni big deal hadi leo hii mzee uwezi ad leo kuna watu hawana hvyo
 
Miaka kama 10 ilopita nikiwa ndo nimeanza kazi za benk na nipo customer service. Alikuja father mmoja ambaye alikuwa na kiasi kikubwa kwenye account ambacho aliniambia kilitokana na kuuza hisa zake.

sasa katika kupiga piga story za hapa na pale akanieleza kuwa hobby yake kubwa siku za weekend huwa ni kwenda kuendesha zile ndege ndogo ndogo.. Nikajua hapa huyu pesa ipo nyingi

Aliniachiaga na business card na sikuweza mtafuta tena
 
Wee kumbe wa kishua...
Ndo mana ulikua una akili sana class
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mzee wangu alitokea familia ya kimaskini Sana.
Babu alikuaga na ngo'mbe wengi Sanaa
Kimiujiza miujiza miaka ya 60's watoto wa Babu kwa miaka tofauti tofauti walikua wanafaulu darasa la saba na kuchaguliwa shule za SERIKALI

Walisomaga zamani na wakabahatika kupata kazi nzurii serikalini na wote wamekua watumishi mpaka Kustaafu kwao utumishi serikalini.

Kwenye tumbo la mama tupo wa 5 hakuna hata mtoto mmoja ambae Hana degree wa mwisho ndio kamaliza hapo Udsm mwaka huu

NB.
Kuna familia ukizaliwa unakua mwenye bahati na chance kubwa ya kuwa na option mbali mbali za kutimiza ndoto/goals E.t.c
 
Duuuh hiyo inaitwa luck bloodline.. (pedigree)...
Nyie kwenu mna hatali mno hizo akili za upande wa kama au wa baba au wote kwa pamoja
 
sio kweli. sisi wenyewe mzee alikua anaenda zambia hio 80s ilikua colgate na ndara zile subutu ukutwe nazo na serikal .gari alinunua Niva kwa rafiki yake mzungu alikua kigoma UN ndio yule mzungu alikua anaruf kwao akamuuzia friji.heater pressure cooker.even us we had those things
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…