Mkuu mbona unanikomalia sana au umetumwa nini?? Nimeshakwambia clean simfahamu huyo mtu, huwa ananichokoza akitaka attention jukwaani bado unakomaa nimpe nafasi. Narudia tena sio baba wa mtoto wangu au mpaka siku nimtaje baba mtoto ili niwafaidishe??@Chizi Maarifa alikifanyia nini kibaya mbona umemchukia ivyo
Mpe nafasi nyingine mlee mtoto atabadilika
Kuna mwamba mmoja nae tulisoma nae kawachafua balaa,ila wew umetisha darasa moja ukabakiza 11 tu*Nilikuwa mpole kiasi, sio muongeaji sana, ila nilikuwa na aibu zaidi ya mtoto wa kike.
*Nikichelewa kuingia darasani siingii mpaka nipate kampani ya washikaji.
*Nilikuwa smart sana kwa mavazi ikitokea siku umeme umekatika na sijapiga pasi basi siendi shule.
*Darasani nilikuwa vizuri ila nilikuwa mtoro sana, kama 4m 4 ilipita miezi mi4 sijaenda shule na home wanajua ila sifatiliwi kutokana nilikuwa nasimamia shughuli za mzee.
*Nilikuwa nawaazima pesa wanafunzi hadi walimu na nilikuwa sina tabia ya kuwadai.
*Nilikuwa MALAYA hakuna mfano, yani ni mwanaume MALAYA kweli kweli. Nilipiga sana wanafunzi wenzangu na walimu wa field.
*Darasani kwetu kulikuwa na wasichana 40 ila katika hao mademu zangu walikuwa 29 ndani ya darasa moja.
*Nilikuwa maarufu sana shule, kufika kidato cha pili nikawa nafahamika shule nzima kwa sifa za umalaya na nilikuwa nafatiliwa sana na wanawake..
Mtanisamehe kwa hizi screenshots zisizo na maana ila hii thread imenikumbusha mbali sanaa.
View attachment 2590367View attachment 2590370View attachment 2590371View attachment 2590372
Mkuu mbona unanikomalia sana au umetumwa nini?? Nimeshakwambia clean simfahamu huyo mtu, huwa ananichokoza akitaka attention jukwaani bado unakomaa nimpe nafasi. Narudia tena sio baba wa mtoto wangu au mpaka siku nimtaje baba mtoto ili niwafaidishe??
ChaiNilikuwa sitaki kuonewa.
Nilipiga walimu wawili, mmoja primary, mmoja secondary.
Nilimpiga kibao mtoto wa rais primary kwa sababu alileta mashauzi baba yake rais darasani.
Nilikuwa mtu wa kuwarusha watu kila mtu alinijua.
Siku hizi rafiki zangu wakiniona nimekuwa "model citizen" wanashangaa sana.
Chainilikua kilaza, form four nikapiga 0, form 6 napo 0, chuo napo nikadisco
Mkuu hii reply ya mwisho kwako, naomba tusikwazane na hivi hatujuani. Kama ni ID nyingine ya huyo Chizi kutaka kiki excuse me. Tunaendeana how unanijua mm hadi useme tunaendana??Sijatumwa shem napenda nikiona mkipatana mnaendana sana
Just think twice trudie
Chai*Nilikuwa mpole kiasi, sio muongeaji sana, ila nilikuwa na aibu zaidi ya mtoto wa kike.
*Nikichelewa kuingia darasani siingii mpaka nipate kampani ya washikaji.
*Nilikuwa smart sana kwa mavazi ikitokea siku umeme umekatika na sijapiga pasi basi siendi shule.
*Darasani nilikuwa vizuri ila nilikuwa mtoro sana, kama 4m 4 ilipita miezi mi4 sijaenda shule na home wanajua ila sifatiliwi kutokana nilikuwa nasimamia shughuli za mzee.
*Nilikuwa nawaazima pesa wanafunzi hadi walimu na nilikuwa sina tabia ya kuwadai.
*Nilikuwa MALAYA hakuna mfano, yani ni mwanaume MALAYA kweli kweli. Nilipiga sana wanafunzi wenzangu na walimu wa field.
*Darasani kwetu kulikuwa na wasichana 40 ila katika hao mademu zangu walikuwa 29 ndani ya darasa moja.
*Nilikuwa maarufu sana shule, kufika kidato cha pili nikawa nafahamika shule nzima kwa sifa za umalaya na nilikuwa nafatiliwa sana na wanawake..
Mtanisamehe kwa hizi screenshots zisizo na maana ila hii thread imenikumbusha mbali sanaa.
View attachment 2590367View attachment 2590370View attachment 2590371View attachment 2590372
kunywaChai
Huwa inatokea tu mkuu.Kuna mwamba mmoja nae tulisoma nae kawachafua balaa,ila wew umetisha darasa moja ukabakiza 11 tu
Hamna ni uji huo mkuu.Chai