Ulikuwa na ndoto ya kuwa na mwenza wa namna gani?

Hii mada ilitakiwa kuanzishwa na mtu ambaye ana uzoefu wa ndoa iliyodumu si chini ya miaka 10. Awe bado katika ndoa ili Vijana wajifunze kutoka kwake. Kwa ambao ndoa zilitushinda nadhani aidha tunatafuta wengine wawe kama sie au tuna ji console tu. Ni mawazo yangu tu
 
Sawa mkuu,wazo zuri sana🙏🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…