mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Nimuite Kaka mzuri?Ndoto yangu kubwa ilikuwa kumpata mwanaume nitakayependana nae sana, yani ile tupendaneeee dunia iwe yetu wawili. Anione mimi, nimuone yeye tu, tupendane hadi uzeeni tutenganishwe na kifo tukiwa bado tunapendana.
Alhamdulillah, nimempata na hakika cha kututenganisha ni kifo tu.
Nakupenda kaka mzuri.
To yy mbona umecheka sana..?!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣wee,sema kweli? Anadeka mkaka?😂😂
Kwa kuwa umenichekesha, hebu muite tuone kama utapatia.Nimuite Kaka mzuri?
Usinijibu Vibaya...Naumwa jino[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngoja tumuache.Kwa kuwa umenichekesha, hebu muite tuone kama utapatia.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
ndugu ulipigwa parefu sana leoNilikosea kuoa mke Hana wowowo ,basi naona kama wananichanganya ,naweza wahonga hata million walahi,mkia ndio Kila kitu jamani
Anakutafutia mamakoUnanitafutia ban??
Nikikuita my everything ujue namanisha kwel[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwache adeke bana
Nahisi wanaume ambao mama zao hawapo ndio wanadeka sana wanakuwa wanaona wapenzi wao au wake zao ni kama mama zao
Sawa mama yangu chamaAnakutafutia mamako
Ahah matako ya babakoSawa mama yangu chama
MuacheNilikosea kuoa mke Hana wowowo ,basi naona kama wananichanganya ,naweza wahonga hata million walahi,mkia ndio Kila kitu jamani
🤣🤣🤣🤣Ajue minyanduano tu.
HahahaMuache
Kaoe mwenye wowowo
Ajue minyanduano tu.
🤣🤣🤣Mimi sio sugu baba ila sina muda wa kulia kabisa sijui nafanyaje