Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Askari. (Mahita)
Ngunguri ndio nini Mkuu? Ndio mara kwanza kuona hili neno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngunguri ndio nini Mkuu? Ndio mara kwanza kuona hili neno
Unapenda ualimu eh?Moja ya ndoto yangu ilikuwa ni kuwa mmoja wa Wanazuoni na wakufunzi wa Chuo Kikuu upande wa "Molecular Biology". Nilikuwa natamani na naota niwe Professor wa "Molecular Biology" ila ndio hivyo nimeangukia kwenye kazi nyingine.
Kiukweli, nikiona Maprof au wakufunzi wa vyuo vikuu huwa naumia sana na kuingiwa na uchungu moyoni. Kuna kipindi huwa nikikaa peke yangu pamoja na umri wangu wa 40's huwa nalia tokana na uchungu ila haya yote ni maisha.
Napenda kufundisha, napenda kusimama mbele za watu kuongea kwa ujasiri na kuaminiwa na watu. Nilikuwa na uwezo wa kuwa Prof, IQ yangu ilikuwa kubwa sana tola nikowa mdogo. Maisha tu haya mbeba mabox wetu.Unapenda ualimu eh?
Ahaa, nimekupata Mkuu. Walau kuna mwingine amefanikisha ndoto hiyo kwa niaba yakoAskari. (Mahita)
👏👏👏
Nahisi kama vile unaipenda title ya ‘professor’…Napenda kufundisha, napenda kusimama mbele za watu kuongea kwa ujasiri na kuaminiwa na watu. Nilikuwa na uwezo wa kuwa Prof, IQ yangu ilikuwa kubwa sana tola nikowa mdogo. Maisha tu haya mbeba mabox wetu.
Popote kambi mkuu.
Shikilia hapo hapo Mkuu, kama unakwama usisite kuomba msaada kwa waliokutangulia, na hata humu JF unaweza kupata muongozo toka kwa manguli kama Pascal Mayalla pamoja na kutumia JF kama JF kunoa uwezo wakoNilikuwa natamani kuwa mwandishi wa habari lakini Bado naipigania hii ndoto maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto yako imetima au umeenda kwenye mambo mengine?Mwalimu /mentor
Physics ikakufanya vibaya😀😀... sio mbaya tushikilie kwengine tulipojipataDereva wa zile semi. Ndoto ilikufa form 3 nikaanza kujiandaa kuwa daktari bahati mbaya physics ikawa inanisnitch.
Hongera kwa kutokukata tamaa na kufikia ndoto yako japo siyo kule ulikusudia kabisa lakini 90% umefanikiwa.... hiko kipande cha kabila hapo, mbona wanafanya kama ka ubaguzi fulani hivi? Kwamba kuna baadhi wanakuwa wazembe sababu tu ni kabila fulani?Nikiwa, darasa la saba, siku ya mtoto wa, Afrika, sherehe ilifanyika UDSM, Nkrumah, nilivutiwa na nikasema, lqzima nifike chuo, nikiwa, form one, nikasema, lazima niwe engineer, nilipokuwa chuo, nikasema, nataka kuwa engineer lakini ndani ya, jwtz!
Siku, nimeenda kufatilia nafasi, pale jkt karibu na kawe, kwanza mapokezi, wakaniuliza, kabila langu! Nikawauliza kabila LA nini? Wakasema litanisaidia, kupata, kazi, kiurahisi,nikapiga chini, nimejaribu Mara nne nafasi ya jeshi, natoswa!
Nikarudi, chuo, ongeza, elimu, niwe muhandisi, nafurahi nimefanikiwa kuwa muhandisi,
Ila bongo fulsa ni chache,kuna watu wana uwezo, makubwa, lakini hawa patients nafasi
Bado unaweza kufikia huko Mkuu usikate tamaa. Pascal Mayalla aje akupe chachu ya kukamilisha hilo😀😀Nilitamani kuwa Lawyer, Sababu Babu alikua ananipa vitabu vyake na kesi nyingi nyingi nilizipenda sana kusoma, akawa ananiambia nimsindikize hadi mahakamani 🤣 🤣 Mwisho wa siku nimeangukia kwenye makalai🤣🤣
Si mbaya, maana ni uchizi ulioupenda pia👏👏Rubani, Ila baada ya kufika kidato cha pili na kuchanganyikiwa na masuala ya Computer nimeishia kuwa chizi Software developer tu.
Kubeba boksi huku huku nilipoelewa Mkuu au kuna maana nyingine?😂Kubeba boksi!
NilikuAhaa, nimekupata Mkuu. Walau kuna mwingine amefanikisha ndoto hiyo kwa niaba yako
Nilikuwa nakuelekeza maana ya neno ngunguri. Sio mimi niliyesema ngunguri. Kaangalie mwandishi vizuriAhaa, nimekupata Mkuu. Walau kuna mwingine amefanikisha ndoto hiyo kwa niaba yako
Kwani kubeba boksi unakuelewaje wewe?Kubeba boksi huku huku nilipoelewa Mkuu au kuna maana nyingine?😂