Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Kuzidiana mkuu...wewe unafikiri kama mtu kawanunua wachina watakuacha salama?
mkuu me nlijua tuu watachezewa kam kawaid yao uchaguzi uliopita kwaiy nikaona kawaida tuu san san nliamia zangu insta ya jamii forum[emoji23] [emoji23] [emoji23] kucheki wale wenye id nyingi nyingi humu wakipeana moyo
 
Hahaha ushilawadu bi kipaji ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…