Ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na umri gani?

Ulimpata mtoto wako wa kwanza ukiwa na umri gani?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Inakuwaje wanaJamiiForums

Kama ilivyo tamaduni yetu WanaJf kushea experience lengo ikiwa ni kuhamasishana kujenga familia, kupeana moyo n.k.

Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata kwa bahati mbaya au kwa makusudio. Je, uliwahi au ulichelewa?

Je, mtoto wako wa kwanza ulimpata ukiwa na umri gani?
 
Aisee umenikumbusha mbali kidogo miaka ileee..nikiwa std seven ..siku ya graduation si tukapewa time ya kucheza disco vumbi na maticha...ilipofika saa moja disco likasitishwa ikabidi turudi home...alooo! Njiani tukawa na ratifa ambae ni graduate mwenzangu...acha aanze kunishikashika kitoto...mara anuguse guse na vichuchu vyake mchomozo aloooo!...ghafla mnara ukasoma 5g mara paaaaaa tunajikuta ndani ya pagale tukavunja amri ya Saba!...alooo kumbe tayari mimba...nakuja kuingia form one July tayari naitwa baba.. Nilisherekea my 15th birthday nikiwa naitwa Father...Alooooo....Leo tukitangulizana na Binti angu utafikiri mdogo wangu hatari yan
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20240607-013554_Gallery.jpg
    Screenshot_20240607-013554_Gallery.jpg
    349.7 KB · Views: 7
Back
Top Bottom