Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 728
Unahitaji msaada upi kaka msaada wakudum upo hum ndani. Tumesoma shule hii hii sahizi tunafanya yetu bro weka wazi.
Nahitaji msaada wa kurekebishiwa dish langu angalau nipate chanel za entartainment ambazo ni FTA nina dish la ft 8 na lnb 2 za ku na c band na receiver ya wiztech mpeg4 lakini fundi ameishia kupata chanel za msubiji za ipp media na star tv tu.