Msomi hewa
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 768
- 1,066
...Nyie itakuwa wakishua tuu!, ukiwa masikini inatakiwa uwachekee watu wengi ili ule,
Sasa huo u-introvert kwa sisi masikini haupo
Sasa huo u-introvert kwa sisi masikini haupo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapata shida kutengeneza new friends... kiufupi tuna cycle ndogo ya marafiki au watu ...hebu fikiria kuhusu wale watu wenye abnormalities kama vile vipofu au vilema wengi wao lazima waangukie katika kundi hili sema wewe hayajakukuta ..una kaa ukijua tu kuwa watu tupo sawa wakati Kuna wenzetu wamekutwa na majanga ambayo Yana wafanya washindwe hata kuinteract...Nyie itakuwa wakishua tuu!, ukiwa masikini inatakiwa uwachekee watu wengi ili ule,
Sasa huo u-introvert kwa sisi masikini haupo
Mvuta bangi katokea wapi huyuKwaufupi hamna cha introvert wala nn
Wengi wenu mnajistukiaa tu +madome zege .
Akiwa demu anakua hajiamin kwa mwonekano wa umbo nahata sura yake.
Akiwa Me pia, anakua hajiamin. Hana pesa ,labda kazi bado. Hajiamin kiumuonekane n.k
SASA MNAKUJA KUSINGIZIA INTUROVETI.....HAMNA CHA UINTUTOVETI WALA CHA BIBI YAKE
NIHAYO TU [emoji23]
Kwahiyo nawewe ni inturoveti?
Yeaaaah n kweli.Hatunaga makuu wenyewe, ni watu watulivu japo kuna muda unatamani kuwa tofauti especially kwenye kusocialize ila ndio haiwezekani...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa nyinyi wapiga nyeto si huwa tayari mnahusiana na mamikono yenu,mnataka uhusiano mwengine wanini..[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mtu alinambia hivi "luckyline wewe ni burudani tosha hata kama mtu hana tv wewe ndani unatosha.[emoji23][emoji23][emoji23]
Nawaza familiya ambayo mwanaume ni introvert na mwanamke introvert wanaishi vipi? Utajuaje huyu leo hana mood?
Kuna shemeji yangu ni mkimya saaaaaana ila dada anatuambia eti anaongea. Kuna siku alicheka mpaka nikauliza shem na wewe unachekaga?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi hii ndo ile unapangilia mawazo yako vizuri akilini mwako lakin kuyawasilisha kwa mtu/watu unaona jau??
Ndo ile ya kujiongelesha na kujijibu au??
Na mm ni introvert nikipata mwenza alietulia itakuwa safiHabarini Wana Jamii forum .
Siku ya leo nimeona nijikite katika kutoa ya moyoni , kubwa zaidi ntaangazia kundi la watu ambao hujulikana kama introvert na mahusiano ambayo hujihusisha na namna zake
Kwa kuanza kabisa mimi ni introvert wa kutupwa , linapofika swala la mahusiano kwa kweli sinaga vitu vingi vya kuongea na marafiki zangu wengi wamekuwa wakiniambia Mimi ni msiri sana hivyo kutoweza kuwaambia wenzangu mtu ambae nipo nae kwenye mahusiano
Hivyo
Basi nami ni miongoni mwaoCorrectly
Umemaliza kila kitu.Mimi natamani kuwa na mpenzi lakini tusizoeane kila mtu afanye mishe zake.
Yaaan kweli introvert tunafanana mm ndo nafikiriaga kila sikuMimi natamani kuwa na mpenzi lakini tusizoeane kila mtu afanye mishe zake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye maisha ya wawili ,unawezakuwa na agenda nzuri imepangika vizuri ila kuiwasilisha inakuaga mtihani.Hali hii hupelekea kuto kuelewana hasa kama una mwenza ambaye ni extrovert.
Kuna muda unatamani kuwasilisha hoja kwa maandishi[emoji18]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app