Ulimwengu wa introverts na suala zima la mahusiano

Ulimwengu wa introverts na suala zima la mahusiano

Wanawake kimahusiano kama wana tabia moja, ya kuringa. Kwasababu kiasili wanaume ndiyo tunaowafuatafuata ili watukubalie, hali hii ya kuwafuatafuata ndiyo inayofanya wawe na nyodo, kujiona lulu, kiburi na dharau. Introverts tunapata shida kabisa kwenye kutongoza wanawake, introverts tunatumia nguvu nyingi kutongoza.

Wanawake wakigundua kwamba huyu anayenitongoza ni introvert, anaanza visa, mara achelewe kujibu meseji, hapokei simu, anaongea kama hataki kuongea na wewe, anakuzimia simu kwa makusudi, anakua mkali, anakublock, hajibu kabisa meseji, na maudhi mengine mengi.

Kwa maudhi hayo ya wanawake kwa introverts, introverts tunateseka sana kwenye mahusiano.
Usisahau pia Kuna wanawake introverts..ambao extrovert wanapata nao shida sana kwa sababu ni wasir na wakimya huficha vitu vingi
 
Habarini Wana Jamii forum.

Siku ya leo nimeona nijikite katika kutoa ya moyoni , kubwa zaidi ntaangazia kundi la watu ambao hujulikana kama introvert na mahusiano ambayo hujihusisha na namna zake.

Kwa kuanza kabisa mimi ni introvert wa kutupwa , linapofika swala la mahusiano kwa kweli sinaga vitu vingi vya kuongea na marafiki zangu wengi wamekuwa wakiniambia Mimi ni msiri sana hivyo kutoweza kuwaambia wenzangu mtu ambae nipo nae kwenye mahusiano

Hivyo katika muda mwingi nikikaa na kufikiria kuhusiana na suala zima la mahusiano Huwa nahisi kama sipo serious kabisa hii kutokana na kutoyapa kipaumbele sifahamu , lakini katika suala zima la kuchagua partner ambaye nahisi anaweza kunifaa katika mahusiano ni changamoto kubwa , sio kwamba Sina uwezo wa kuwatongoza hapana , ni kutokana na nilivo kuwa na uwezo wa kuswitch kwenye kuongea sana na utani mwingi ila mda mwingi nipo kimya hasa one to one engagement

Pia hata kama nikipata mtu ambae naweza Anza nae mahusiano basi hatutafika mbali kwa sababu Mimi Huwa natumia mda mwingi kufanya reasoning na logic napenda sana hivyo naweza detect kama Kuna kitu hakipo sawa hivo kushusha emotions kupelekea ku lower relationship stability

Hivyo kutokana na suala la introverts katika dunia yetu ni mtihan katika swala la socialization nikaona tupeana tips au changamoto ambazo tunakumbana nazo katika maisha ya Kila siku
CHANGAMOTO GANI KUBWA AMBAZO WATU WA AINA HII TUNA KUTANANAZO ? NI VIZURI KUZIJUA HILI KUEPUKANA NAZO

Karibuni wana introverts wenzangu na wengine pia mnaruhusiwa hatujawatenga ...nawasilisha

Kwa wale ambao wanapenda kujisomea vitabu ...Kuna mwandishi mmoja wa marekani anaitwa SUSAN CAIN yeye anafahamika zaidi kwa kuandika kitabu kuhusiana na INTROVERSION EXPERIENCE ambacho kimewafunua watu wengi sana katika dunia yetu ya leo ...
Hiki kitabu kinaitwa THE POWER OF INTROVERT IN A WORLD THAT CAN'T STOP TALKING
yeye anakuwa Moja kati ya waandishi wa mwanzo kabisa kuandika kuhusiana na field ya introverts au personality disorder
View attachment 1952959
View attachment 1952968View attachment 1952972
View attachment 1952998
Kwani wanawake wenyewe wanasemaje?,,
Wanapenda mwanaume anaeongeaa Sana au asiye na maneno mengi?
 
Tupo bize sana kwenye kuchati ila sio kuongea mi hata mpenzi akinipia simu natamani aende moja kwa moja kwenye point sio kunipisha story maana naona ni makelele tu. Nitaongea nikiwa nshapiga bia kama tatu hivi.
 
Kwamba introvert akipewa bia tatu au akilewa anabadilika anakuwa extrovert ...hii kali
 
Introverts mnashauliwa angalau kupiga bia mbil au tatu Ili ku boost maongezi mbele za watu
 
What the meaning behind?
No meaning,,, huwa ni kawaida sana mm kujiuliza maswali ambayo yanaweza kuonekana ya ajabu ,,,,mfano nshawah kujiuliza
1.kwa nn makao makuu ya voda na airtel yamekaribiana? Na urefu wa zile ghorofa unaendana

2.N kwa nn voda walibadilishaga kale kanembo ka mduara walikokua wanatumia zaman?

3.Kwa nn tanzania hakuna kampuni lingne linalouza umeme tofauti na Tanesco?

4.kwa nn IST new model haijafanya vizuri sokoni ukilinganisha na previous model?

5.Kila sku naskia kuna wajanja wamepiga pesa mara bandarini, mara kwny mafuta, mara hifadhi. Hua najiuliza nifanyeje na mm nipate hzo connection?

6. Yaan all the time my head is busy talking to myself!!!

7.Kama kusex ni dhambi, kwa nn tunabalehe kabla ya ndoa?

8.kwa nn taa za nyuma za noah zpo kwny mlango wa boot na sio kwny main body ya gari lenyewe?[emoji848][emoji848]
 
Here we go again. Nyuzi za introverts zipo kibao hapa jukwani mnajaza servers za JF bure tu.

Kila mtu ni introverts siku hizi extroverts wote wamepotea hawapo tena dunia ya leo.



 
Kuna mda nawaza labda nipate mtu wa race nyingine ndo naweza nikawa serious

Sema tu maisha yamekupiga unataka bibi wa kizungu akutoe 🤣

Ukiwa na race nyingine ndo dawa ya introversion? Mawazo ya negros ni ya ajabu sana

Tafuta hela kijana hutowaza haya mambo ya madent wa secondary sijui introversion/extroversion.
 
Sema tu maisha yamekupiga unataka bibi wa kizungu akutoe [emoji1787]

Ukiwa na race nyingine ndo dawa ya introversion? Mawazo ya negros ni ya ajabu sana

Tafuta hela kijana hutowaza haya mambo ya madent wa secondary sijui introversion/extroversion.
Mawazo yako ni ya kawaida sana .. wewe ndo kujikuta unawaza nini ..watu weusi shida zao ndo hizo heshimu mawazo ya mwenzako ..wewe umefanya la maana lipi mpaka saizi?
 
Back
Top Bottom