Kumbe sio Sheria.. Asante mkuuHao wanajeshi ni wapambe/wasaidizi wa rais na sio walinzi wake,kwa lugha ya kigeni anaitwa Aide de Camp(ADC). Huyo ndio mbeba mkoba wa rais kila anakokwenda.Amir Jeshi mkuu kwa nchi zetu za kiafrika lazima awe na mpambe toka jeshini tena mwenye cheo kuanzia Kanali sana sana au Major kama rais akipenda.
Jaribu kutazama vyema, Obama alikuja naye pia. Tena yule anayebeba lile begi jeusi.Sidhani kama ni maraisi wote wanakuwa na hao wajeda nyuma.....kama nakumbuka vizuri, viongozi wengi wa Duniani huko siwaoni wakiwa na wajeda nyuma.....Obama alipokuja, Bush, Clinton, na hata yule dogo wa Ufaransa......
Sawa mkuu.haya mambo mengine sio ya kuhoji sana ni zaidi tuyaonavyo watu wa itifaki na jeshi wanajua zaidi. inawezekana ilisahaulika kwa bahati mbaya mtu akupangwa hivyo lijadili sana linaweza kuleta madhara kwa wahusika hebu tukubali ndivyo ilivyokuwa.
Haikusaidii wewe mkuu.Mambo mengine tuwe twayacha maana hayatusaidii kitu
Hadi wewe muoga? This is a matter of knowledge.Utaitaji ulinzi ukiwa shambani kwako kuchukua ripoti?
Asante mkuu.Huyo mjeshi Aide de camp ADC yani mpambe wa Rais sio lazima avae gwanda ivo Japo kwa nchi yetu ADC huvaa gwanda, ADC humsaidia Rais majukumu madogo madogo kama Kubeba mafile au kumsogezea kiti, Linapokuja swala la Ulinzi wa Rais kwanza limegubikwa na USIRI mkubwa sana Kila nchi au Taifa lina mifumo yake ya kumuweka Rais safe japo kuna vitu General Nchi na nchi vinaweza kushare, Mfano Detail Ya Rais yoyote Lazima iwe na Leader Huyu huitwa Detail leader mara nyingi hukaa mkono wa kushoto wa rais anaemlinda na huongoza Unit nzima Ya walinzi Wanao onekana na Wasio onekana angalia huyo jamaa kushoto mwa Jpm, Hawa Detail leader huvaa mara nyingi kufanana na wanaomlinda na wanaeza kutofautiana kidogo kwa ki icon kwenye koti lao au Rangi za Tai
Asante, ulizwa maswali wajuzi watupe details.Duhhh aisehh thanks mleta uzi nimejifunza kitu aisehh
Sio kirahsi ivo mkuunianchofahamu hapa duniani watu/mtu akiamua kukumaliza anakumaliza tu hata uwe na ulinzi wa malaika kutoka kwa Mungu
unachofahamu wewe, na sio watu wenye akili.nianchofahamu hapa duniani watu/mtu akiamua kukumaliza anakumaliza tu hata uwe na ulinzi wa malaika kutoka kwa Mungu
Mkuu heshima kwako tafadhari popote ulipoHuyo mjeshi Aide de camp ADC yani mpambe wa Rais sio lazima avae gwanda ivo Japo kwa nchi yetu ADC huvaa gwanda, ADC humsaidia Rais majukumu madogo madogo kama Kubeba mafile au kumsogezea kiti, Linapokuja swala la Ulinzi wa Rais kwanza limegubikwa na USIRI mkubwa sana Kila nchi au Taifa lina mifumo yake ya kumuweka Rais safe japo kuna vitu General Nchi na nchi vinaweza kushare, Mfano Detail Ya Rais yoyote Lazima iwe na Leader Huyu huitwa Detail leader mara nyingi hukaa mkono wa kushoto wa rais anaemlinda na huongoza Unit nzima Ya walinzi Wanao onekana na Wasio onekana angalia huyo jamaa kushoto mwa Jpm, Hawa Detail leader huvaa mara nyingi kufanana na wanaomlinda na wanaeza kutofautiana kidogo kwa ki icon kwenye koti lao au Rangi za Tai
Chief mimi mtoto mwenzio .....mimi...niko forums toka 2004 ,BCS ....Bavicha mwenzio huyo Na hizo ndo hoja zenu. Kama hamuelewani nyie Nani mwingine atawaelewa?
Ahsante kwa...kunielewaNitakuwa nimemuelewa mtoa mada.......
Naogopa kuchochea......
Hutaweza kuelewa kama...huelewi..Hata mimi nimesoma halafu nikajiuliza mleta mada anataka nini. Kweli naona kajiambia mwenyewe tu.
Inaaitwa working visit ...mgeni kama...ni C.in C anakotoka...atapewa body guard au aide de camp...lakini hatavaa ceremonial.....tofauti huyu hajapewa kabisa.State visit ndio inakuwa na vukorombwezo vingi ambavyo ktk ziara hii (not state visit) havikuwepo
Ikiwemo KUPIGIWA MIZINGA
NB: Knowledge from CENTRE FOR FOREIGN RELITIONS (CFR) KURASINI
Lecturer: Amb. Chilambo
Sasa huu ndio...ubobeziPhillemon Mikael Kiprotokali ni kwamba Rais yoyote akiwa anafanya Official Visit halafu ni ya siku moja tu huwa hapewi huyo Ceremonial Aide de Camp ila akiwa anafanya State Visit ndipo hutakiwa kuwa au kupewa huyo Ceremonial Aide de Camp. Ziara ya jana ya Rais Kagame ' Kiprotokali ' ilikuwa ni ya Official na siyo ya State. Kuna tofauti kubwa mno ya ' Kiprotokali ' kati ya Official visit na State visit kwa Marais mbalimbali duniani.
Kila la kheri.
Eti eeehPhillemon Mikael Kama hujui protocol ni vyema ukauliza kuliko kukurupukia ushabiki wa kisiasa na kujifanya unajua mambo. Kila tendo la kitaifa lina protokali kutokana na aina ya shughuli.
Kuna wakati Zitto alilalamika makamu wa Rais wetu kupokelewa na waziri huko Kenya kwa sababu tu ya kujifanya anataka kuongea alichokiona na si protokali inavyofanya kazi.
Wewe pia umefanya kama alivyofanya Zitto. Uliza ujibiwe badala ya kuleta uzi usio na utalaam nao kwenye jamii halafu ukajifanya unajua kuliko wanaoshinda wakijishughulisha na hizo kazi.
Ni kweli huo...ni mfumo...wa kiulinzi...wa...russia ,usa,france ...etcNchi nyingi zilizoendelea zmeanza kuepukana na kuwa na. ADC nyuma ya rais maana tofauti na kuonyesha kuwa rais ni Amiri jeshi mkuu hana kazi yoyote wengi sasa wamekuwa wanaweka walinzi madhubuti wenye weledi