Ulinzi wa Kagame, mbona hana Mwanajeshi nyuma?

Ulinzi wa Kagame, mbona hana Mwanajeshi nyuma?

Hao wanajeshi ni wapambe/wasaidizi wa rais na sio walinzi wake,kwa lugha ya kigeni anaitwa Aide de Camp(ADC). Huyo ndio mbeba mkoba wa rais kila anakokwenda.Amir Jeshi mkuu kwa nchi zetu za kiafrika lazima awe na mpambe toka jeshini tena mwenye cheo kuanzia Kanali sana sana au Major kama rais akipenda.
Kumbe sio Sheria.. Asante mkuu
 
Sidhani kama ni maraisi wote wanakuwa na hao wajeda nyuma.....kama nakumbuka vizuri, viongozi wengi wa Duniani huko siwaoni wakiwa na wajeda nyuma.....Obama alipokuja, Bush, Clinton, na hata yule dogo wa Ufaransa......
Jaribu kutazama vyema, Obama alikuja naye pia. Tena yule anayebeba lile begi jeusi.
 
haya mambo mengine sio ya kuhoji sana ni zaidi tuyaonavyo watu wa itifaki na jeshi wanajua zaidi. inawezekana ilisahaulika kwa bahati mbaya mtu akupangwa hivyo lijadili sana linaweza kuleta madhara kwa wahusika hebu tukubali ndivyo ilivyokuwa.
Sawa mkuu.
 
Mambo mengine tuwe twayacha maana hayatusaidii kitu
Haikusaidii wewe mkuu.

Wengine tunataka kujua zaidi mambo ya protocol kama wewe unavyojua kuhusu IT etc.

Ficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
 
Huyo mjeshi Aide de camp ADC yani mpambe wa Rais sio lazima avae gwanda ivo Japo kwa nchi yetu ADC huvaa gwanda, ADC humsaidia Rais majukumu madogo madogo kama Kubeba mafile au kumsogezea kiti, Linapokuja swala la Ulinzi wa Rais kwanza limegubikwa na USIRI mkubwa sana Kila nchi au Taifa lina mifumo yake ya kumuweka Rais safe japo kuna vitu General Nchi na nchi vinaweza kushare, Mfano Detail Ya Rais yoyote Lazima iwe na Leader Huyu huitwa Detail leader mara nyingi hukaa mkono wa kushoto wa rais anaemlinda na huongoza Unit nzima Ya walinzi Wanao onekana na Wasio onekana angalia huyo jamaa kushoto mwa Jpm, Hawa Detail leader huvaa mara nyingi kufanana na wanaomlinda na wanaeza kutofautiana kidogo kwa ki icon kwenye koti lao au Rangi za Tai
f7c4f405a9cba2244a2989d0bbe45d1f.jpg
Asante mkuu.

Vijana tunasema umetishaaaa
 
Huyo mjeshi Aide de camp ADC yani mpambe wa Rais sio lazima avae gwanda ivo Japo kwa nchi yetu ADC huvaa gwanda, ADC humsaidia Rais majukumu madogo madogo kama Kubeba mafile au kumsogezea kiti, Linapokuja swala la Ulinzi wa Rais kwanza limegubikwa na USIRI mkubwa sana Kila nchi au Taifa lina mifumo yake ya kumuweka Rais safe japo kuna vitu General Nchi na nchi vinaweza kushare, Mfano Detail Ya Rais yoyote Lazima iwe na Leader Huyu huitwa Detail leader mara nyingi hukaa mkono wa kushoto wa rais anaemlinda na huongoza Unit nzima Ya walinzi Wanao onekana na Wasio onekana angalia huyo jamaa kushoto mwa Jpm, Hawa Detail leader huvaa mara nyingi kufanana na wanaomlinda na wanaeza kutofautiana kidogo kwa ki icon kwenye koti lao au Rangi za Tai
f7c4f405a9cba2244a2989d0bbe45d1f.jpg
Mkuu heshima kwako tafadhari popote ulipo
 
State visit ndio inakuwa na vukorombwezo vingi ambavyo ktk ziara hii (not state visit) havikuwepo
Ikiwemo KUPIGIWA MIZINGA

NB: Knowledge from CENTRE FOR FOREIGN RELITIONS (CFR) KURASINI

Lecturer: Amb. Chilambo
Inaaitwa working visit ...mgeni kama...ni C.in C anakotoka...atapewa body guard au aide de camp...lakini hatavaa ceremonial.....tofauti huyu hajapewa kabisa.
Je...haliamini...letu ...au ni ishara gani...protocal...huwa inafuatilia kila kitu na...kukichambua ......mfano hata usipomuwekea carpet au ukaweka carpet limezeeka watu wake watachukulia...umedharau
 
Phillemon Mikael Kiprotokali ni kwamba Rais yoyote akiwa anafanya Official Visit halafu ni ya siku moja tu huwa hapewi huyo Ceremonial Aide de Camp ila akiwa anafanya State Visit ndipo hutakiwa kuwa au kupewa huyo Ceremonial Aide de Camp. Ziara ya jana ya Rais Kagame ' Kiprotokali ' ilikuwa ni ya Official na siyo ya State. Kuna tofauti kubwa mno ya ' Kiprotokali ' kati ya Official visit na State visit kwa Marais mbalimbali duniani.

Kila la kheri.
Sasa huu ndio...ubobezi

Lakini kuna wakuu wengine wa nchi huko...nyuma...walikua official or working visit ie museveni...na...wakachukua aide de camp...wetu ni...ishara ya heshima...tu na.kuonyesha kuaminiana ....na...aide de camp aliyekuja naye anakuwa...tu karibu ..kumuangalia na kumsaidia aide de.camp...wa...host
 
Phillemon Mikael Kama hujui protocol ni vyema ukauliza kuliko kukurupukia ushabiki wa kisiasa na kujifanya unajua mambo. Kila tendo la kitaifa lina protokali kutokana na aina ya shughuli.

Kuna wakati Zitto alilalamika makamu wa Rais wetu kupokelewa na waziri huko Kenya kwa sababu tu ya kujifanya anataka kuongea alichokiona na si protokali inavyofanya kazi.

Wewe pia umefanya kama alivyofanya Zitto. Uliza ujibiwe badala ya kuleta uzi usio na utalaam nao kwenye jamii halafu ukajifanya unajua kuliko wanaoshinda wakijishughulisha na hizo kazi.
Eti eeeh

Wanaojua...huwa hawaji na...lawama...hata wanaojua bado hujielimisha

Be humble
 
Nchi nyingi zilizoendelea zmeanza kuepukana na kuwa na. ADC nyuma ya rais maana tofauti na kuonyesha kuwa rais ni Amiri jeshi mkuu hana kazi yoyote wengi sasa wamekuwa wanaweka walinzi madhubuti wenye weledi
Ni kweli huo...ni mfumo...wa kiulinzi...wa...russia ,usa,france ...etc
Hao hawana.mlinzi anayevaaa uniform...except wana...sergent on.duty yeye huvaaa...uniform maalum...kubeba...briefcase yenye password za insrallation muhimu za...kijeshi kama...nuclear...launchers.

Nchi nyingi za afrika ziliridhi mfumo wa kifalme yaani...rais anakuwa.anachaguliwa lakini.ana...nguvu ukienda UK queen...akiwa kwenye formal...state duty ana...msaidizi wa...kijeshi
 
Back
Top Bottom