Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Hapo uwanja wa ndege kulikuwa na umati mkubwa?
Mimi nadhani ni dhamira kuu ni kutisha wananchi na kuwateka kimawazo ili waone taasisi ya urais ni kama ukuu ambao una nguvu kuu na hauchezewi. Tuna tuna watawala na siyo viongozi, na ni kawaida sana kwa watawala kutaka kujionyesha ni watu wenye uwezo na mamlaka kuu!

Watu wasio na upeo wakiona picha na video kama hizi hutishika na kumwona rais kama mungu mdogo asiyehojiwa bali anatakiwa kuogopwa. Nasema hivi kwa sababu kwa hali ya kawaida kama kuna adui anayetaka kumdhuru hilo la kushika bunduki kama wapo tayari kufyatua halisadii chochote bali linatoa mwanya wa kuwashambulia!
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Wanamuogopa Ndugai na genge lake asijelipiza kisasi kwa hangaya na wapambe wake
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Hawa dawa yao ni Kingai
 
Wakati wa Jangili Msukuma mwenzako uliuliza haya??

Au unataka kusema hakuwa anasafiri nje ya nchi??

Mamako maji yanaingia ndani pale Mbezi Shule. Kwani hizo box unabeba unashindwa kununua mabati mengine ya Lowassa ukafix pale??
Vipi unaonaje ulinzi wa kipenzi chako hangaya?
 
Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.

Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.

Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Hakuna hasara yoyote rais akidhurika au hata kuuawa kwa katiba ya Tanzania.
Very simple, hakuna uchaguzi Wala Nini, VP anapandishwa kuwa P. Kwisha kazi.
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
🇹🇿 ni nchi ya kigaidi kuliko Somalia
 
Magufuli wako mshamba alikuwa anajilinda hadi kitandan kwa uzalendo wake feki lakin watoto wa mjini walipita nae simpo tu, hvyo kaa kwa kutulia dawa ikuingie vzr

Halafu mkiambiwa nyie ndio mlimlia timing kwavile aliipiga pini miradi yenu ya gesi ya kifisadi mnabisha!! Sasa mtaanza kutajana mmoja mmoja nani alimuondoa Jiwe!!
 
Kwa upande wangu naona hayo ni matumizi mabaya ya Rasilimali Watu Ifike wakati na sisi tubadilike
Arhaa
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Mambo mengine hayakuhusu.sanasana ni umbea tu na kujifanya kujua sana.Muulizeni Mbowe wenu.
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Unataka Tanzania iwe kama Ulaya halafu matendo yako unafanya kama inavofanya Serikali ya Uganda.

Yani kwa lugha nyepesi tunasema unaimba kama malaika halafu unacheza kama shetani.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitu ambacho huwa sielewi yaani watu wamekaa hadi na bunduki utasema ili taifa la kimapinduzi

Kuna muda ukitazama kwa jirani tu pale rwanda au kenya mambo ya mitutu au mtu akiwa ziaranj kuzungukwa na kombati nyingi ni kwa uchache.
Mama anataka kuonyesha kuwa ame prove kuwa the best hadi sasa akidhani jinsia inambeba, kumbe waliomzunguka wanamharibia mazima. Asipo mwachia Mbowe 2025 itakuwa ngumu sana atalazimika kuachia.
 
Kwa nchi za Afrika Rais ni mbadala wa machifu ambao walikuwa wananyenyekewa kupita maelezo...
 
Back
Top Bottom