Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.

Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.

Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.

Umeweka vizuri. Sijawahi kuelewa kwanini kuna watu wanahoji au wanatamani ulinzi wa rais uwe mdogo au mwepesi. Huwa sielewi hasa malengo ya fikra hizo kwa kweli.
 
Unajidanganya sana wewe mwana kijiji tuulizie sisi ma born town-------kila wananchi kumi kwenye hiyo audience wana kuwa monitored na mwana usalama mmoja mwenye kila dalili za uraia, kabla hujachomoa Kabastola kako wanakutuliza faster kimyaaaaaa! na polepoleeee! ......
na hata Rais kuja kupiga domo hapo walisha tangulia kitambooooo!

yoote haya hutokea yeye Rais anaendelea na zake! km hkn kitu vile kimetokea vile, ni wachache sana twaweza jua nini kinaendelea!...... na yule anae kustukia yeye ataendelea na zake,,na

zaidi kuangalia mko wangapi kwa idadi ktka mpango huo, hao komandoo watao kudabua watafika hapo kwako faster bila kutarajia!!! ..utafinywa wewe na naniliu la mama chenja hutaligusa tena watalichezea wenzio!

tena sometimes kwa kuruka juu moja mbili, tatu, unajazwa mkononi, utajiuliza tu imekuwaje wakanifikia faster hivi??.......ulinzi wa viongozi wale wanatumia uni forms zozote wanazo oona zina faa kwa wkt maaluum!
Unachekesha ...unadhani mwenye nia ya kuthuru anakaa kwenye audience kifala ....tofauti na kupata dhambi ya kuua ambayo siitaki ...siitaji hata bunduki kubwa sana sijui sniper nikakae mita kadhaa mbali...

By 2007 nadhani bush kaja namuona kabisa huyu hapa niko na mkoti wangu mkono mfukoni yule ningekuwa na ka pistol kadogo nilikuwa nafumua ile kichwa pale pale..sembuse hawa wengine....shukuru tanzania silaha sio nyingi ingewa south au somalia hapo kitambo sana
 
Kitu ambacho huwa sielewi yaani watu wamekaa hadi na bunduki utasema ili taifa la kimapinduzi

Kuna muda ukitazama kwa jirani tu pale Rwanda au Kenya mambo ya mitutu au mtu akiwa ziarani kuzungukwa na kombati nyingi ni kwa uchache.
Hawa huwa hawajachaguliwa ndiyo maana wanakuwa na mabunduki, kama watu wamekuchagua kwanini uzungukwe na mabunduki hivyo?
 
Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.

Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.

Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Mwaka jana dikteta alifariki mbona nchi iliendelea? ni matumizi ya hovyo ya pesa za umma kwani akilindwa hata na wanajeshi 5 tu kuna mtanzania gani anaweza kuvamia msafara wake? kama Makonda pamoja na maovu yake yote watu walimshindwa na hakuwa na ulinzi wa kutisha nani anaweza kumvamia Rais? kikubwa ni kwamba hajachaguliwa na wananchi ndiyo maana wanakuwa na hofu
 
Unachekesha ...unadhani mwenye nia ya kuthuru anakaa kwenye audience kifala ....tofauti na kupata dhambi ya kuua ambayo siitaki ...siitaji hata bunduki kubwa sana sijui sniper nikakae mita kadhaa mbali...

By 2007 nadhani bush kaja namuona kabisa huyu hapa niko na mkoti wangu mkono mfukoni yule ningekuwa na ka pistol kadogo nilikuwa nafumua ile kichwa pale pale..sembuse hawa wengine....shukuru tanzania silaha sio nyingi ingewa south au somalia hapo kitambo sana
Weye bado kadogo sana!! Tanzania kuna siraha zaidi ya idadi ya watu hasa Tarime~Mugumu-musoma weee utayamba cheche!! tena wanaunda na Ma-IBM, wenyewe dakika sifuri..... ndo maana ya kanda maalum km hujui!!

siku ya siku mukikaa vibaya kanda ya ziwa inakuwa nchi!..... JULIUs ndo aliiweza tu lkn wengine wooote!! mtaipaisha tu mara kanda ngumu,....kanda ya sugu pipo, nk huonagi vibao vya kuingia Mkoani vilivyo andikwa kibabe?

km hivi ''Harooo! sasa unaingia mara!''......''sasa kamata kanda ya ziwa''
 
Back
Top Bottom