Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Kwamba jukumu la ulinzi ni la wenyeji? Sawa nakubaliana nawe lakini mimi navyoona kwa jukumu la ulinzi wa rais wa Marekani ndani nje ya nchi naona ni jukumu lao wenyewe.. maana naona huwa mpaka magari ya msafara wake nje ya nchi hubebwa na ndege za mizigo kama globeMaster hercules n.k
huwezi kujilinganisha na matajiri mkuu , hukuona kipindi cha Bush na Obama Bongo iligeuka US
 
huwezi kujilinganisha na matajiri mkuu , hukuona kipindi cha Bush na Obama Bongo iligeuka US
Kweli mkuu marais wote watalindwa na wenyeji ikitokea wameenda huko lakini sio kwa rais haswa wa Marekani.... Ogopa mtu anaenda na wapishi wake nje ya nchi hadi na misosi ya kula huko atakapokuwa.. noum sana
 
Kweli mkuu marais wote watalindwa na wenyeji ikitokea wameenda huko lakini sio kwa rais haswa wa Marekani.... Ogopa mtu anaenda na wapishi wake nje ya nchi hadi na misosi ya kula huko atakapokuwa.. noum sana
very true maana kwanza wazungu wanatudharau wanatuona hatuna akili , jitu jeusi likishika mashine wanakua hawana amani kabisa maana wanajua sisi ni washamba na vilaza unaweza hata kuanza kufyatua marisasi ovyo kwa ushamba wako kisa umeona midoli ya supermarket inafanana na watu ukajua wanataka kumdhuru mtu wako.
 
Ulinzi ni haki ya Rais.

Hakuna taasisi isiyo na ulinzi. Nenda taasisi ya afya, elimu, kampuni na makanisa kote kuna ulinzi.

Sasa kabla ya kuhoji ulinzi kwa rais, hoji kwanza ulinzi wa taasisi nyingine
Big up! Tena kikatiba ni lazima alindwe hadi familia yake ili ajisikie yuko salama bila hofu ya binadamu, magonjwa, takataka, sumu, kelele, joto, baridi, uchawi nk. Yaani Rais ni TAASISI. Tusimwonee wivu.
 
Magufuli alikua na ulinzi wa kulinda mpaka isiraili mtoa roho asipute lakini wapi?? Wasukuma hamna Akili.. Rais akiwa nje swala la Ulinzi Ni jukumu la wenyeji wake kwa 80%

Siku nyingine usikete Uzi wa kipumbavu boya wewe
Hujamuelewa mleta mada, kahoji vizuri kabisa ulinzi wote huo wa nini? Ili hali nchi imetulia baada ya yeye kushika madaraka?

Kwa akili ya kawaida tu inaonesha nchi bado haipo stable kina kitu kinamuogofya chief Hangaya ndio maana muda wote kwenye ziara zake hao watu wenye mabunduki ya kivita wapo muda wote.
 
Nchi ina magaidi hii mkuu! Kama DC tu anapangiwa njama itakua Raisi? Acha tumlinde ni jukumu letu
Umlinde wewe nani? Acha kujipa majukumu ambayo hata hujui protocol zake acha kutafuta sifa za kijinga
 
very true maana kwanza wazungu wanatudharau wanatuona hatuna akili , jitu jeusi likishika mashine wanakua hawana amani kabisa maana wanajua sisi ni washamba na vilaza unaweza hata kuanza kufyatua marisasi ovyo kwa ushamba wako kisa umeona midoli ya supermarket inafanana na watu ukajua wanataka kumdhuru mtu wako.
Umenikumbusha kipindi Obama alivyokuja kutalii Tanzania, vijana wa TISS walikuwa pending maagizo yote yalitolewa na vijana kutoka CIA.

Kwa ufupi walikuwa watumwa ndani ya nchi yao
 
Huko nje si Hakuna waliowaua au kuwadhulumu kwa viroba? Au hujui vile mtu anavyoogopa kivuli chake?
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Hapo sasa....!!!
 
Kwani rais aliyepita alikuwa analindwaje!

Ova
 
Huyu bwashee Nyani Ngabu amekuwa anahoji sana ulinzi wa Rais wa JMT.

Ana lengo gani?

Ikumbukwe kuwa Ngabu ni mfuasi wa Chadema ila kuna wakati alikorofishana na viongozi wake baada ya Mwamba Mbowe kuahirisha Operesheni UKUTA.

Ngabu alikuwa anashabikia watu waingie barabarani ilhali yeye mwenyewe anaishi Marekani.

Maendeleo hayana vyama!
Huyu alikuwa mfuasi wa Magufuli sio Chadema
 
Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.

Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.

Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Mfano hasara gani[emoji44]
 
Kwamba jukumu la ulinzi ni la wenyeji? Sawa nakubaliana nawe lakini mimi navyoona kwa jukumu la ulinzi wa rais wa Marekani ndani nje ya nchi naona ni jukumu lao wenyewe.. maana naona huwa mpaka magari ya msafara wake nje ya nchi hubebwa na ndege za mizigo kama globeMaster hercules n.k
Ndio kawaida ya Diplomacy.... ulinzi unapewa na wenyeji, lakini kunakuwa na makubaliano kuhusu namna gani unafanyika; including kuruhusu magari na walinzi. Na inategemea na sensitivity na ukubwa wa Taifa lenyewe, USA ni special case aisee... lakini Prime Minister wa UK hazunguki na gari lake nchi nyingine.
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Ulinzi wa raisi ni muhimu sana. Nadhani akiwa nje ya nchi, nchi husika inamuhakikishia usalama wake na ndio maana haendi na hawa jamaa. Hakuna raisi asiyelindwa. Hii ni kwasababu ya ushindani wa kisiasa na pia baadhi ya matendo yake yanaweza yasimpendeze kila mtu na ikamtengenezea maadui.
 
Back
Top Bottom