Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ndio kawaida ya Diplomacy.... ulinzi unapewa na wenyeji, lakini kunakuwa na makubaliano kuhusu namna gani unafanyika; including kuruhusu magari na walinzi. Na inategemea na sensitivity na ukubwa wa Taifa lenyewe, USA ni special case aisee... lakini Prime Minister wa UK hazunguki na gari lake nchi nyingine.
Halafu pia ulinzi wa malkia Elizabeth,Obama na pia putin ni the same case ..au unasemaje hapo MtamaMchungu
 
Mimi nadhani ni dhamira kuu ni kutisha wananchi na kuwateka kimawazo ili waone taasisi ya urais ni kama ukuu ambao una nguvu kuu na hauchezewi. Tuna tuna watawala na siyo viongozi, na ni kawaida sana kwa watawala kutaka kujionyesha ni watu wenye uwezo na mamlaka kuu!

Watu wasio na upeo wakiona picha na video kama hizi hutishika na kumwona rais kama mungu mdogo asiyehojiwa bali anatakiwa kuogopwa. Nasema hivi kwa sababu kwa hali ya kawaida kama kuna adui anayetaka kumdhuru hilo la kushika bunduki kama wapo tayari kufyatua halisadii chochote bali linatoa mwanya wa kuwashambulia!
Kati ya wote waliokwisha kuchangia hoja kwenye uzi huu, mpaka page hii, wewe ndo umejibu kwa usahihi swali ndani ya hoja ya Nyani Ngabu

Yaani, hii inaitwa "psychological intimidation" itokanayo na yule anayeogopesha watu kuwa na ile hali ijulikanayo kama "fear of unknown" na hutuma taarifa kwa wale wasiojulikana awaogopaye kuwa "na mimi niko vizuri, jaribuni muone....!!"
 
Huyu bwashee Nyani Ngabu amekuwa anahoji sana ulinzi wa Rais wa JMT.

Ana lengo gani?

Ikumbukwe kuwa Ngabu ni mfuasi wa Chadema ila kuna wakati alikorofishana na viongozi wake baada ya Mwamba Mbowe kuahirisha Operesheni UKUTA.

Ngabu alikuwa anashabikia watu waingie barabarani ilhali yeye mwenyewe anaishi Marekani.

Maendeleo hayana vyama!
We mzee Mgaya nyani ngabu, siyo chadema bali Lumumba mwenzio, ila sema kwa Sasa yuko against na Bi Hangaya, si unajua tena yeye ni S-Gang
 
Yako matukio yaliyoshitua dunia - kifo cha John F Kennedy (USA); Aman Abeid Karume (Zanzibar). Hapo lzm tujifunze kuimarisha ulinzi wa viongozi wetu.
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
it is like a video game. yaani mtu hayuko salama kwake ila ugenini
 
Kule uwa ana tembea kama boya mmoja tu hivi watu hawana time nae. walinzi wenyewe ndo wale wapasua mawe na t shirt zao risasi moja tu chaliiii
 
Amalize tu muda wake wa miaka 5, atuachie nchi yetu..
 
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Msije mkamuua Mama wa watu!! Kwa kumshika shika!! kila mtu..... km mlivyo mpiga kikwete mweleka!! ..... mzee mwinyi mkampiga makofi msikitini....... km shangazi yako tu anakuroga usifanikiwe kutorokea mjini, ukawashinda wanae vimeo kwa maendeleo sembuse Rais?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Kama Raia tu unapigwa ngeta usiku ukitoka zako Bar au asbuhi ukienda kazini sembuse Rais?? au ndo nyie wapiga roba?? mnatuzuga tu!! ukiona hujawahi kutaka kuporwa !!basi amini tu huna mvuto wa chochote hata kipesa pesa!!
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Nilisha waambia kitambo sana!! kikulacho ki nguoni mwako!! Nyerere alisema ''mvunja nchi ni mwananchi mwenyewe!!.... kina kambona hao, ....father Thom! nk, na njaa zenu hizo si mta muua!

kwanza hata madaktari tunawapa ulinzi sasa!
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Huo ulinzi unadhihirisha ujinga uliokithiri kwenye kitengo. Kitengo siku zote kimejikita kwenye physical security details. Kwingineko wamewekeza kwenye invisible security details tena wakipachikwa katikati ya audience wakifanana na audience.
Wenzetu wanafikiria mbali impacts za images za viongozi wao wa kitaifa! Hivi imagine unaenda Dubai Expo alafu unapokelewa na mitutu... NO hizo picha zitatuma waves of negative communications na zitaharibu kila kitu!
Sisi Tanzania watu bado hawajui madhara ya kumzunguka SSH na heavily armed + uniformed security details. Kifupi picha inatafdsiriwa kuwa nchi haiko salama.
No wonders pamoja na misele yote kuhimiza wawekezaji wageni waje nchini still we dont get that much!
We are sending negative waves of communications on our internal security!

(Sijuhi kama wataelewa 🤔🤔🤔)
 
Jamaa hawajaa vaaa hata bullet vest

Akitokea sniper anawadungua vizuri tu.

Wanamlinda rais wakati usalama wao kwanza uko uchi
Unajidanganya sana wewe mwana kijiji tuulizie sisi ma born town-------kila wananchi kumi kwenye hiyo audience wana kuwa monitored na mwana usalama mmoja mwenye kila dalili za uraia, kabla hujachomoa Kabastola kako wanakutuliza faster kimyaaaaaa! na polepoleeee! ......
na hata Rais kuja kupiga domo hapo walisha tangulia kitambooooo!

yoote haya hutokea yeye Rais anaendelea na zake! km hkn kitu vile kimetokea vile, ni wachache sana twaweza jua nini kinaendelea!...... na yule anae kustukia yeye ataendelea na zake,,na

zaidi kuangalia mko wangapi kwa idadi ktka mpango huo, hao komandoo watao kudabua watafika hapo kwako faster bila kutarajia!!! ..utafinywa wewe na naniliu la mama chenja hutaligusa tena watalichezea wenzio!

tena sometimes kwa kuruka juu moja mbili, tatu, unajazwa mkononi, utajiuliza tu imekuwaje wakanifikia faster hivi??.......ulinzi wa viongozi wale wanatumia uni forms zozote wanazo oona zina faa kwa wkt maaluum!
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Africa inachekesha sana...kwa knowledge yangu ndogo nilionayo sishindwi mfikia kiongozi yoyote anaelindwa africa hii..ni kujisumbua tu...labda hao mabodigadi wakulinde na kurushiwa mawe au mtu kumsogelea raisi....ila hapo ukirusha tu hata greenade wanachanganyikiwa


Kuna vindege flan remote control zinatumia mafuta jet A kabisa ....kana mlio kama jet yani ukiwa navyo viwili tu kila kimoja kimebeba greenade kadhaa zizunguke uwanjani zidondoshe sita tu moja karbu yao hapo ndo utagundua hakuna ulinzi hapo
 
Back
Top Bottom