jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Si kuna kesi ya ugaidi mahakamani! Lazima ulinzi uimarishwe [emoji3]
Ulaji tu. Watu wanatengeneza uhitaji ili wale. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake jama.. si alishasema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kuna kesi ya ugaidi mahakamani! Lazima ulinzi uimarishwe [emoji3]
Hapa raia ndio adui namba moja kwani ana mahitaji ambayo kiongozi hawezi yatimiza.
Ndio,kila rais na alindweKwa hiyo hata Rais Magufuli alistahili kulindwa na ulinzi wa hali ya juu sana?
Taratibu za kiusalama, Rais au kiongozi anapokuwa nje ya nchi jukumu.la kimsingi la kumlinda na kuhakikisha usalama wake lipo mikononi mwa nchi husika, japo naye anakuwa na security detail yake.ni kama marais wakija hapa Tanzania sisi ndio tunawajibika na usalama wao kwa namna na hali yoyote mpaka wanapoondoka na kutoka kwenye mipaka yetuView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Intimidating tactics. Ionekane kumdhuru rais sio rahisi.View attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Kumbe umeanzisha uzi kumtetea yule jamaa aliyemsumbua hadi boss wetu wa JF Maxence Melo? Achilia mbali akina Lissu na SaananeKwa hiyo hata Rais Magufuli alistahili kulindwa na ulinzi wa hali ya juu sana?
Nani amekwambia sniper anaangaika na mwili? kichwa ndo mambo yote.Jamaa hawajaa vaaa hata bullet vest
Akitokea sniper anawadungua vizuri tu.
Wanamlinda rais wakati usalama wao kwanza uko uchi
Nahisi hilo, yaani huko nje inaonekana hao wajeda ni hatari kwa raia wa huko kwahiyo wazungu hawako tayari raia wao wawe hatariniAu nje ya nchi huwa wanamtolea nje kusafiri na hao wajeda?
Changamoto ni kwamba hajachaguliwa na wananchi kwa hiyo hata wananchi hawaamini, angalia ulinzi wa Uhuru Kenyatta na Rais wa Zambia ni wa kawaida sn sababu wamechaguliwa na wananchi.View attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Tena kirahisi sn hata huyu bado hajaingia kwenye 18 zao vizuriMagufuli wako mshamba alikuwa anajilinda hadi kitandan kwa uzalendo wake feki lakin watoto wa mjini walipita nae simpo tu, hvyo kaa kwa kutulia dawa ikuingie vzr
Wanafki nyieKabisa mkuu!
Tumwache afanye kazi ikiwemo kupiga ndani magaidi wote
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Unajua kuna maswali rahisi yanayoweza kumfelisha mtu mtihani au interviewMkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.
Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.
Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Mwambie pia asome historia za kina Alexander the Great na Julius CaesarKila mtu hupatikana. Nawe utapatikana tu.
Unajua kwanini anao wengine watatu ?Samia anao wenzie wengine watatu hivyo Mzee hana Shida!!