Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi

Magufuli alikua na ulinzi wa kulinda mpaka isiraili mtoa roho asipute lakini wapi?? Wasukuma hamna Akili.. Rais akiwa nje swala la Ulinzi Ni jukumu la wenyeji wake kwa 80%

Siku nyingine usikete Uzi wa kipumbavu boya wewe
 
Namfua singida...uswekeni,,,,

1645404891157.png


1645404848397.png
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Taratibu za kiusalama, Rais au kiongozi anapokuwa nje ya nchi jukumu.la kimsingi la kumlinda na kuhakikisha usalama wake lipo mikononi mwa nchi husika, japo naye anakuwa na security detail yake.ni kama marais wakija hapa Tanzania sisi ndio tunawajibika na usalama wao kwa namna na hali yoyote mpaka wanapoondoka na kutoka kwenye mipaka yetu
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Intimidating tactics. Ionekane kumdhuru rais sio rahisi.
Hii ni propaganda zaidi kuliko ulinzi wenyewe.
 
Wenzetu tunaishi sayari moja lakini akili zao ni za sayari nyingine, kazi zote za ulinzi na usalama wa mitaa yao yote,pamoja na mipaka ya nchi zao vyote vinarimotiwa kutoka ofisini,siyo lazima uwaone askari wanazunguka mitaani na bunduki.

Mtu yuko ofisini lakini usalama wa viongozi na nchi yote uko viganjani mwake,na ikitokea fyoko mitaani mtu ana dakwa mithiri ya kifaranga cha kuku kinavyodakwa na mwewe,utafikri walinzi walikuwa naye hapohapo kumbe watu walikuwa ofisini wanafanya vitu vyao.
 
View attachment 2125344

Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.

‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.

Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.

Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.

Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.

Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.

Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.

Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?

Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?

Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Changamoto ni kwamba hajachaguliwa na wananchi kwa hiyo hata wananchi hawaamini, angalia ulinzi wa Uhuru Kenyatta na Rais wa Zambia ni wa kawaida sn sababu wamechaguliwa na wananchi.
 
Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.

Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.

Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Unajua kuna maswali rahisi yanayoweza kumfelisha mtu mtihani au interview

NN kauliza ulinzi wa ndani vs ulinzi akiwa nje.
 
Ulinzi ni haki ya Rais.

Hakuna taasisi isiyo na ulinzi. Nenda taasisi ya afya, elimu, kampuni na makanisa kote kuna ulinzi.

Sasa kabla ya kuhoji ulinzi kwa rais, hoji kwanza ulinzi wa taasisi nyingine
 
Huyu bwashee Nyani Ngabu amekuwa anahoji sana ulinzi wa Rais wa JMT.

Ana lengo gani?

Ikumbukwe kuwa Ngabu ni mfuasi wa Chadema ila kuna wakati alikorofishana na viongozi wake baada ya Mwamba Mbowe kuahirisha Operesheni UKUTA.

Ngabu alikuwa anashabikia watu waingie barabarani ilhali yeye mwenyewe anaishi Marekani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom