macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Mimi nadhani ni dhamira kuu ni kutisha wananchi na kuwateka kimawazo ili waone taasisi ya urais ni kama ukuu ambao una nguvu kuu na hauchezewi. Tuna tuna watawala na siyo viongozi, na ni kawaida sana kwa watawala kutaka kujionyesha ni watu wenye uwezo na mamlaka kuu!Hapo uwanja wa ndege kulikuwa na umati mkubwa?
Wanamuogopa Ndugai na genge lake asijelipiza kisasi kwa hangaya na wapambe wakeView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Hawa dawa yao ni KingaiView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Vipi unaonaje ulinzi wa kipenzi chako hangaya?Wakati wa Jangili Msukuma mwenzako uliuliza haya??
Au unataka kusema hakuwa anasafiri nje ya nchi??
Mamako maji yanaingia ndani pale Mbezi Shule. Kwani hizo box unabeba unashindwa kununua mabati mengine ya Lowassa ukafix pale??
Vipi nae huyu ni mshamba?Magufuli wako mshamba alikuwa anajilinda hadi kitandan kwa uzalendo wake feki lakin watoto wa mjini walipita nae simpo tu, hvyo kaa kwa kutulia dawa ikuingie vzr
Hakuna hasara yoyote rais akidhurika au hata kuuawa kwa katiba ya Tanzania.Mkuu Ulinzi wa Rais ni muhimu na lazima atake asitake. Hata Hao naona haitoshi.
Laiti kama Marekani wangejua ulinzi wa Rais sio wakufanya nao msikhara huenda John Kennedy asingeuliwa.
Attack kwa Rais ni aibu kwa nchi na doa lisilofutika. So yes, Rais anastahili kulindwa kwa ulinzi wa Hali ya juu sana kutokana na hasara zitakazotokea endapo atadhurika.
Kabisa mkuu!Wazee wa legacy mnamkwamisha mama muacheni afanye kazi.
🇹🇿 ni nchi ya kigaidi kuliko SomaliaView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Alindwe maana wapuuzi waumini wa Ujangili wanaweza mzuru..
Kwani alikuwa halindwi na mitutuKwa hiyo hata Rais Magufuli alistahili kulindwa na ulinzi wa hali ya juu sana?
Magufuli wako mshamba alikuwa anajilinda hadi kitandan kwa uzalendo wake feki lakin watoto wa mjini walipita nae simpo tu, hvyo kaa kwa kutulia dawa ikuingie vzr
Mambo mengine hayakuhusu.sanasana ni umbea tu na kujifanya kujua sana.Muulizeni Mbowe wenu.View attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Unataka Tanzania iwe kama Ulaya halafu matendo yako unafanya kama inavofanya Serikali ya Uganda.View attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Mama anataka kuonyesha kuwa ame prove kuwa the best hadi sasa akidhani jinsia inambeba, kumbe waliomzunguka wanamharibia mazima. Asipo mwachia Mbowe 2025 itakuwa ngumu sana atalazimika kuachia.Kitu ambacho huwa sielewi yaani watu wamekaa hadi na bunduki utasema ili taifa la kimapinduzi
Kuna muda ukitazama kwa jirani tu pale rwanda au kenya mambo ya mitutu au mtu akiwa ziaranj kuzungukwa na kombati nyingi ni kwa uchache.