Halafu pia ulinzi wa malkia Elizabeth,Obama na pia putin ni the same case ..au unasemaje hapo MtamaMchunguNdio kawaida ya Diplomacy.... ulinzi unapewa na wenyeji, lakini kunakuwa na makubaliano kuhusu namna gani unafanyika; including kuruhusu magari na walinzi. Na inategemea na sensitivity na ukubwa wa Taifa lenyewe, USA ni special case aisee... lakini Prime Minister wa UK hazunguki na gari lake nchi nyingine.
Kati ya wote waliokwisha kuchangia hoja kwenye uzi huu, mpaka page hii, wewe ndo umejibu kwa usahihi swali ndani ya hoja ya Nyani NgabuMimi nadhani ni dhamira kuu ni kutisha wananchi na kuwateka kimawazo ili waone taasisi ya urais ni kama ukuu ambao una nguvu kuu na hauchezewi. Tuna tuna watawala na siyo viongozi, na ni kawaida sana kwa watawala kutaka kujionyesha ni watu wenye uwezo na mamlaka kuu!
Watu wasio na upeo wakiona picha na video kama hizi hutishika na kumwona rais kama mungu mdogo asiyehojiwa bali anatakiwa kuogopwa. Nasema hivi kwa sababu kwa hali ya kawaida kama kuna adui anayetaka kumdhuru hilo la kushika bunduki kama wapo tayari kufyatua halisadii chochote bali linatoa mwanya wa kuwashambulia!
Marekani ndio complicators.... wenzao wengi wanatumia usafiri wa wenyeji.Halafu pia ulinzi wa malkia Elizabeth,Obama na pia putin ni the same case ..au unasemaje hapo MtamaMchungu
Yes ALISTAHILI.Kwa hiyo hata Rais Magufuli alistahili kulindwa na ulinzi wa hali ya juu sana?
Lazima wawe complicator maana haters wake ni wengiMarekani ndio complicators.... wenzao wengi wanatumia usafiri wa wenyeji.
We mzee Mgaya nyani ngabu, siyo chadema bali Lumumba mwenzio, ila sema kwa Sasa yuko against na Bi Hangaya, si unajua tena yeye ni S-GangHuyu bwashee Nyani Ngabu amekuwa anahoji sana ulinzi wa Rais wa JMT.
Ana lengo gani?
Ikumbukwe kuwa Ngabu ni mfuasi wa Chadema ila kuna wakati alikorofishana na viongozi wake baada ya Mwamba Mbowe kuahirisha Operesheni UKUTA.
Ngabu alikuwa anashabikia watu waingie barabarani ilhali yeye mwenyewe anaishi Marekani.
Maendeleo hayana vyama!
Sijasema mimi soma vizuriUmlinde wewe nani? Acha kujipa majukumu ambayo hata hujui protocol zake acha kutafuta sifa za kijinga
it is like a video game. yaani mtu hayuko salama kwake ila ugeniniView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Akili ya mbuni huyooJamaa hawajaa vaaa hata bullet vest
Akitokea sniper anawadungua vizuri tu.
Wanamlinda rais wakati usalama wao kwanza uko uchi
Msije mkamuua Mama wa watu!! Kwa kumshika shika!! kila mtu..... km mlivyo mpiga kikwete mweleka!! ..... mzee mwinyi mkampiga makofi msikitini....... km shangazi yako tu anakuroga usifanikiwe kutorokea mjini, ukawashinda wanae vimeo kwa maendeleo sembuse Rais?Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Kama Raia tu unapigwa ngeta usiku ukitoka zako Bar au asbuhi ukienda kazini sembuse Rais?? au ndo nyie wapiga roba?? mnatuzuga tu!! ukiona hujawahi kutaka kuporwa !!basi amini tu huna mvuto wa chochote hata kipesa pesa!!Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Nilisha waambia kitambo sana!! kikulacho ki nguoni mwako!! Nyerere alisema ''mvunja nchi ni mwananchi mwenyewe!!.... kina kambona hao, ....father Thom! nk, na njaa zenu hizo si mta muua!Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Huo ulinzi unadhihirisha ujinga uliokithiri kwenye kitengo. Kitengo siku zote kimejikita kwenye physical security details. Kwingineko wamewekeza kwenye invisible security details tena wakipachikwa katikati ya audience wakifanana na audience.View attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?
Unajidanganya sana wewe mwana kijiji tuulizie sisi ma born town-------kila wananchi kumi kwenye hiyo audience wana kuwa monitored na mwana usalama mmoja mwenye kila dalili za uraia, kabla hujachomoa Kabastola kako wanakutuliza faster kimyaaaaaa! na polepoleeee! ......Jamaa hawajaa vaaa hata bullet vest
Akitokea sniper anawadungua vizuri tu.
Wanamlinda rais wakati usalama wao kwanza uko uchi
Umejuaje kama Wajeda, nguo?! Sio kila mvaa Turban ni Singasinga.Au nje ya nchi huwa wanamtolea nje kusafiri na hao wajeda?
Africa inachekesha sana...kwa knowledge yangu ndogo nilionayo sishindwi mfikia kiongozi yoyote anaelindwa africa hii..ni kujisumbua tu...labda hao mabodigadi wakulinde na kurushiwa mawe au mtu kumsogelea raisi....ila hapo ukirusha tu hata greenade wanachanganyikiwaView attachment 2125344
Hangaya leo karudi toka huko Ulaya alikokuwa.
‘Wenyewe’ wamefurahi sana. Wanadai anaupiga mwingi.
Sasa hebu tuliangalie tena suala la ulinzi wake, kwa kiasi na kiwango ambacho tunaweza kukijadili kutokana na kile tunachokiona.
Akiwa huko nje ya nchi, ulinzi wake huwa ni wa kawaida sana. Hawa askari wanaovaa nguo za kijeshi huku wamebeba yale mabunduki yao makubwa, huwa hawapo kabisa.
Huko huwa anakuwa na walinzi wachache tu.
Lakini pindi anaporudi, hao askari wenye mabunduki makubwa, ambao kipindi cha Magufuli walisemwa kuwa ni Warundi, na wenyewe wanampokea hapo uwanja wa ndege.
Inachekesha kuona sasa hivi hayo maneno ya hao jamaa kuwa ni Warundi hayapo tena, licha ya kwamba sura za hao jamaa bado ni zile zile.
Huo ulinzi mkubwa wa hao wanajeshi hapa nchini ni wa nini?
Ina maana nchi yetu haiko salama kama tunavyoamini kiasi cha kuufanya ulinzi wa Rais nje ya nchi uwe ni mdogo kulinganisha na ule wa hapa nchini?
Rais wetu anakuwa salama zaidi akiwa nje ya nchi kuliko akiwa ndani ya nchi?