Ulinzi wa Rais: Ndani ya nchi vs Nje ya nchi


Umeweka vizuri. Sijawahi kuelewa kwanini kuna watu wanahoji au wanatamani ulinzi wa rais uwe mdogo au mwepesi. Huwa sielewi hasa malengo ya fikra hizo kwa kweli.
 
Unachekesha ...unadhani mwenye nia ya kuthuru anakaa kwenye audience kifala ....tofauti na kupata dhambi ya kuua ambayo siitaki ...siitaji hata bunduki kubwa sana sijui sniper nikakae mita kadhaa mbali...

By 2007 nadhani bush kaja namuona kabisa huyu hapa niko na mkoti wangu mkono mfukoni yule ningekuwa na ka pistol kadogo nilikuwa nafumua ile kichwa pale pale..sembuse hawa wengine....shukuru tanzania silaha sio nyingi ingewa south au somalia hapo kitambo sana
 
Kitu ambacho huwa sielewi yaani watu wamekaa hadi na bunduki utasema ili taifa la kimapinduzi

Kuna muda ukitazama kwa jirani tu pale Rwanda au Kenya mambo ya mitutu au mtu akiwa ziarani kuzungukwa na kombati nyingi ni kwa uchache.
Hawa huwa hawajachaguliwa ndiyo maana wanakuwa na mabunduki, kama watu wamekuchagua kwanini uzungukwe na mabunduki hivyo?
 
Mwaka jana dikteta alifariki mbona nchi iliendelea? ni matumizi ya hovyo ya pesa za umma kwani akilindwa hata na wanajeshi 5 tu kuna mtanzania gani anaweza kuvamia msafara wake? kama Makonda pamoja na maovu yake yote watu walimshindwa na hakuwa na ulinzi wa kutisha nani anaweza kumvamia Rais? kikubwa ni kwamba hajachaguliwa na wananchi ndiyo maana wanakuwa na hofu
 
Weye bado kadogo sana!! Tanzania kuna siraha zaidi ya idadi ya watu hasa Tarime~Mugumu-musoma weee utayamba cheche!! tena wanaunda na Ma-IBM, wenyewe dakika sifuri..... ndo maana ya kanda maalum km hujui!!

siku ya siku mukikaa vibaya kanda ya ziwa inakuwa nchi!..... JULIUs ndo aliiweza tu lkn wengine wooote!! mtaipaisha tu mara kanda ngumu,....kanda ya sugu pipo, nk huonagi vibao vya kuingia Mkoani vilivyo andikwa kibabe?

km hivi ''Harooo! sasa unaingia mara!''......''sasa kamata kanda ya ziwa''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…