Ulinzi wa viongozi nani alitudanganya?

Ulinzi wa viongozi nani alitudanganya?

Msiwe mnakurupuka kuanzisha thread bila kufanya uchunguzi

Inahitaji uchunguzi upi zaidi ya kuyaona makwetu?

Screenshot_20230203-080505.jpg


Tangu lini mwenye macho akaambiwa tazama?
 
Biden anavaa viatu kama vyangu nilivyonunua elf 40 karume
 
Ipo tofauti kati ya ulinzi, usalama na maonyesho ya ulinzi.

Kiongozi mtaani kwenye uwanja wa vita.

View attachment 2524929

Kiongozi mtaani nchini kwake.

View attachment 2524925

Kwamba hatuna ya kujifunza ila labda wajifunze kwetu?

Siyo siri kuna mahali tuna kwama.

Kwa hakika baada ya CCM yapo mengi ya kuwekwa sawa.
Kati ya kagame na zelensky nani yupo CCM hapo?
 
namuona bwana diamond yupo na kibaraka wake....huyu jamaa wa kiarabu ukoko ni miongoni mwa wanaume wa dar ambao huwa nawadharau sana....yaani unaishi na kunawiri kabisaa kwa kula jasho la mwanaume mwenzio!

Kibongo bongo ulinzi umeimarishwa
 
Back
Top Bottom