Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
John ni mthenge sanaTuwekee picha za Tundu Lisu na walinzi wake pale Ikungi Singida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
John ni mthenge sanaTuwekee picha za Tundu Lisu na walinzi wake pale Ikungi Singida
Wewe hukuwaona?John ni mthenge sana
Wahehe mnatakiwa kuwa na kifua kama MakosaWewe hukuwaona?
Unataka kuwa sawa na wazungu ngoja utaolewa tu.Wewe hujaolewa? tunajuaje?
Wewe, usiwaone wamarekani hapo wamezagaa ukajua wapo wapo, hakuna jengo hapo ambalo hawana information nalo. Kote kuna details
Asee hivi huu upumbavu utawaisha lini?Ipo tofauti kati ya ulinzi, usalama na maonyesho ya ulinzi.
Kiongozi mtaani kwenye uwanja wa vita.
View attachment 2524929
Kiongozi mtaani nchini kwake.
View attachment 2524925
Kwamba hatuna ya kujifunza ila labda wajifunze kwetu?
Siyo siri kuna mahali tuna kwama.
Kwa hakika baada ya CCM yapo mengi ya kuwekwa sawa.
Asee hivi huu upumbavu utawaisha lini?
Picha inapopigwa inapigwa toka kwenye controlled angle
Cameraman anachagua nini uone na nini usione
Kama hujaona kitu sio ujanja wako ni kwamba mpiga picha kachagua usione
Kwenye spy craft wanasema “seeing is not always believing”
Ka forest flani hivi....nyukilia Msongamano....Hebu uliyeishiwa upumbavu jaribu angle mbali mbali ulete mrejesho:
View attachment 2525085
Ninakazia:
View attachment 2525086
Ulinzi ni muhimu, huwezi jua wapi na lini litakupata janga, tahadhari lazima zichukuliwe, hao wenzetu wametuzidi technology wanaweza kuwa na walinzi wachache lakini wenye vifaa makini zaidi yetu, sisi tunaotumia man power kubwa na vifaa vichache.
Nimeona Mayenu hapo ..PapaaMobimba Mutu ya SerikaliHayupo anayebisha hilo ila msingi wa mada ni tofauti ya ulinzi na ulinzi wa maonyesho.
View attachment 2525090
Hii mambo. Kweli?
😁Wahehe mnatakiwa kuwa na kifua kama Makosa
Uzi uishie hapa kuficha aibu
Wakwetu ni vibaka wa mali za serikali lazima wajilinde na mitutu na askari zaidi ya 200 kwenye msafaraIpo tofauti kati ya ulinzi, usalama na maonyesho ya ulinzi.
Kiongozi mtaani kwenye uwanja wa vita.
View attachment 2524929
Kiongozi mtaani nchini kwake.
View attachment 2524925
Kwamba hatuna ya kujifunza ila labda wajifunze kwetu?
Siyo siri kuna mahali tuna kwama.
Kwa hakika baada ya CCM yapo mengi ya kuwekwa sawa.
Wakwetu ni vibaka wa mali za serikali lazima wajilinde na mitutu na askari zaidi ya 200 kwenye msafara
Huu wa kwetu ni upuuzi