Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana28 yrz wife 25,tupo mwaka wa kumi with 3 kids,namshukuru Mungu kwa hili.
Juzi weekend nilikuwa namtania namwambia tumeshatoboa sisi ni wa kufa na kuzikana alifurahi sana maana yeye ndiye aliyetengeneza mazingira ya ndoa sikuwa tayari wakati huo but leo (japo sijawahi kumwambia na sitakaa nimwambie kwa sababu zangu binafsi) namshukuru kama siyo yeye kuna vitu naona kabisa nisingekuwa navyo.
Vijana oeni,maisha ni haya haya kila mtu ameandikiwa kikombe chake cha mwenzako hutakinywa na yeye chako hatakinywa msi-copy matukio ya ndoa mkayafananisha huko ni kudanganyana.
Ningekuwa matured enoughChangamoto ni nini
SidhaniKuna wakati utafika utatamani ingekuwa 23.
Shukuru kwa hilo.
Wanaofikia 30 still nao wanatamani wangeolewa wakiwa 20'sNingekuwa matured enough
Team kataa ndoa mko wapi mje huku28 yrz wife 25,tupo mwaka wa kumi with 3 kids,namshukuru Mungu kwa hili.
Juzi weekend nilikuwa namtania namwambia tumeshatoboa sisi ni wa kufa na kuzikana alifurahi sana maana yeye ndiye aliyetengeneza mazingira ya ndoa sikuwa tayari wakati huo but leo (japo sijawahi kumwambia na sitakaa nimwambie kwa sababu zangu binafsi) namshukuru kama siyo yeye kuna vitu naona kabisa nisingekuwa navyo.
Vijana oeni,maisha ni haya haya kila mtu ameandikiwa kikombe chake cha mwenzako hutakinywa na yeye chako hatakinywa msi-copy matukio ya ndoa mkayafananisha huko ni kudanganyana.
Sisi ambao tupo kwenye harakati za kutafuta ma patner tunaanzia kukoment wap?
Ulikuwa sealed au walikuwa wameshajitwalia bikra zote tatuWas 20 years, uuuuwiii
@Joanah Mimi nataka nikuoe wewe, I'm 28 yrs oldUzi mzuri sana huu
Embu zitaje izo tatu mkuuUlikuwa sealed au walikuwa wameshajitwalia bikra zote tatu
Mkuu mbona zinafahamika kabisa..Embu zitaje izo tatu mkuu
Liverpool VPNTeam kataa ndoa mko wapi mje huku