Maokoto yapo kama unayo oa tu29 , gentleman. Still single. Degree holder in Accounting and Finance From. moshi cooperative university , looking for any matured under 27 years of age for marriage.........................
Stay tuned Ms eyes 🤒🤒Nasubiri uje unipose
Safi sanaSame here, 2014 ndio nikazama kundini, mimi 3x, wife 2x..tofauti ya 4yrs.
Hongera. Wakati Mimi nikiadhimisha miaka kumi ya jeief wewe unaadhimisha miaka 10 ya Ndoa takatifu.Same here, 2014 ndio nikazama kundini, mimi 3x, wife 2x..tofauti ya 4yrs.
Bigup safiiKukutana kwa Mara ya kwanza 2011…tukiwa chuo kikuu kimojawapo Moro town. Ndoa 2015 October. Miaka 27 & 26 respectively! Mwaka huu tunafunga 8 years strong with 2 kids along the way, God is good!
Good.I was 30 na my hubby 33, inshort we have good familiy, for me naweza nkasema ni the best match yaani kila siku ndoa ni mpya.
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Inapendeza sana28 yrz wife 25 tupo mwaka wa kumi with 3 kids,tuna jumla ya miaka 18 ya kimahusiano.humo mna miaka ya uvulana na usichana na miaka ya mahusiano serious kisha kumi ya ndoa na familia,namshukuru Mungu kwa hili.
Juzi weekend nilikuwa namtania wife namwambia tumeshatoboa sisi ni wa kufa na kuzikana alifurahi sana maana yeye ndiye aliyetengeneza mazingira ya ndoa sikuwa tayari wakati huo but leo (japo sijawahi kumwambia na sitakaa nimwambie kwa sababu zangu binafsi) namshukuru kama siyo yeye kuna vitu naona kabisa nisingekuwa navyo.
Vijana oeni,maisha ni haya haya kila mtu ameandikiwa kikombe chake cha mwenzako hutakinywa na yeye chako hatakinywa msi-copy matukio ya ndoa mkayafananisha huko ni kudanganyana.
Ufafanuzi kidgo paragraph ya mwisho hiyo mkuu..!Kweli ni hekaheka tupu ila ni hekaheka zaidi ukioa/kuolewa na vijana wa karne ya sasa, utaona kila rangi, ambao wameoa au kuolewa siyo kwamba kuna kitu wanafaidi ni vile tu mmoja amekubali yaishe na awe mpumbavu ili maisha yaendelee.
Si shauri kuingia katika ndoa ukiwa hujajipanga kiakili, kiuchumi, kimwili, kiroho na kikubwa zaidi kuliko yote kisaikolojia.
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Wakati huo ndoa yako ina miaka mingapi mkuu?🤣🤣🤣Hongera. Wakati Mimi nikiadhimisha miaka kumi ya jeief wewe unaadhimisha miaka 10 ya Ndoa takatifu.
Big up.
Haha michache saana. Nilioa zile Zama za Corona imepamba Moto mnafunga harusi huku mmevaa mask.Wakati huo ndoa yako ina miaka mingapi mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu Uzi sihusiki naoKipindi ukiwa na umri gani ndo uliamua KUOA AU KUOLEWA?
[emoji92]Ulimpata wapi your partner?
HAPO ONGEZEA ULIMPATA WAPI HUYO MWENZA WAKO?
Acha hizo bhnaKUOA AU KUOLEWA NI UPUMBAV UWENDAZIMU...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI....
VIJANA MNAKUFA MAPEMA KWASABAB YA NDOA...
Punguza makasiriko.Asilimia 100 ya kataa ndoa ni
Mashoga
Wenye dalili za ushoga
Mahanithi
Tasa/Wagumba