Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

Watu wote JF wameoa na kuolewa Uzur watu wa JF wanaendana na Uzi wako unavotaka, ukileta Uzi wa utajir watu wote JF n matajir ukirud kweny ndiga humu wote wana ndinga

Yan thread inavoenda ndo watu wanaend nayo ivo ivo [emoji23]
 
Kukutana kwa Mara ya kwanza 2011…tukiwa chuo kikuu kimojawapo Moro town. Ndoa 2015 October. Miaka 27 & 26 respectively! Mwaka huu tunafunga 8 years strong with 2 kids along the way, God is good!
Bigup safii

Marriage is good.
 
Inapendeza sana
 
Ufafanuzi kidgo paragraph ya mwisho hiyo mkuu..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…