Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

Ulioa au kuolewa ukiwa na umri gani?

Mm nilioa accidentally nikiwa na miaka 29 wife 27, tulikutana kazini mapenzi ya kazini kiutani utani,tumekutana june ndoa november hata sijui ilikuwaje ila sasa tuna miaka 6, watoto wawili nafurahia maisha,kuna muda najiuliza bila yeye sasa hivi ningekuwa wapi,nilichojifunza ktk ndoa,maishw ni hayahaya,hakuna maisha mapya mtafute mtu mmoja unayeelewana naye mjenge maisha,ni fahari sana kuwa na mwenza wako mnaepanga naye mipango ikaenda,Mke wangu amenisaidia vitu vingi sana kunifanya huyu wa leo,na nimegundua ndoa haikuzuii kutimiza ndoto zako zozote zaidizaidi inakusaidia kufika kwa haraka!!
 
yaani Mama yako kakulea wewe na ndugu zako kawafikisha ukubwani mkiwa na afya njema, badala mumpe muda sasa na yeye apumzike uzeeni kwake na ninyi ndiyo mumtunze, ndiyo kwanza mnaenda kumbebesha tena jukumu la kulea wajukuu..!!

afadhali basi iwe imetokea mambo ambayo yapo juu ya uwezo wenu hiyo inaeleweka, lakini unaenda 'kumpokonya' mtoto kwa mama yake unampelekea hekaheka tena bibi wa watu, hivi huwa hamna huruma na wazazi wetu..?
Bibi akipewa Dada wa kazi na matumizi, hiyo inatosha kama aliweza kutulea sisi hata shindwa kwa mjukuu wake... Akikaa bila kero za mjukuu atafariki mapema.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
yaani Mama yako kakulea wewe na ndugu zako kawafikisha ukubwani mkiwa na afya njema, badala mumpe muda sasa na yeye apumzike uzeeni kwake na ninyi ndiyo mumtunze, ndiyo kwanza mnaenda kumbebesha tena jukumu la kulea wajukuu..!!

afadhali basi iwe imetokea mambo ambayo yapo juu ya uwezo wenu hiyo inaeleweka, lakini unaenda 'kumpokonya' mtoto kwa mama yake unampelekea hekaheka tena bibi wa watu, hivi huwa hamna huruma na wazazi wetu..?
Mi nilishakataa sitalea mjukuu.Wajukuu watakuja kunisalimia tu.Huwa ninawaambia watoto wangu kama akiamua kuzaa awe na future na huyo atakae zaa naye
 
Wengi ni fuata mkumbo hawajui wanachojaribu kukikataa kina athari gani au kina faida gani kwao!

Yupo mmoja miaka minne nyuma alikuwa na akili kama hizi za vijana wa humu ila mwishoni mwa may juzi tu amenipigia anasema anataka aje kuniona tuzungumze nimepata tetesi anataka aende akapose mkoani,umri ukifika wenyewe akili zitafunguka tuwape muda.
Asilimia 100 ya kataa ndoa ni

Mashoga
Wenye dalili za ushoga
Mahanithi
Tasa/Wagumba
 
Hongera sana angalau mnatutia moyo Mimi muhanga wa uoga wa kuolewa hasa nikiona shuhuda mbaya kwa watu wa karibu
Usiogope binti yangu,chamsingi tafuta mwanaume muelewa ambaye mnaendana.Mpange pamoja mipango yenu na muitimize pamoja. Na ukiingia ndoani uwe umedhamiria kweli maana utaacha maisha yako binafsi unaenda kuishi maisha ya watu wawili.
 
Bibi akipewa Dada wa kazi na matumizi, hiyo inatosha kama aliweza kutulea sisi hata shindwa kwa mjukuu wake... Akikaa bila kero za mjukuu atafariki mapema.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Wasicha wa kazi wa siku hizi ni tabu tupu.
Hawajui wajibu wao hivyo unatumia akili na nguvu nyingi kukaa nao. Mimi mtoto wangu wa mwisho nilimpeleka shuleni ( daycare) nikawa nikienda kazini naenda naye namdrop hapo nikirurudi nampitia.Sasa ukishazeeka hizo hekaheka utaziweza?
 
Mm nilioa accidentally nikiwa na miaka 29 wife 27, tulikutana kazini mapenzi ya kazini kiutani utani,tumekutana june ndoa november hata sijui ilikuwaje ila sasa tuna miaka 6, watoto wawili nafurahia maisha,kuna muda najiuliza bila yeye sasa hivi ningekuwa wapi,nilichojifunza ktk ndoa,maishw ni hayahaya,hakuna maisha mapya mtafute mtu mmoja unayeelewana naye mjenge maisha,ni fahari sana kuwa na mwenza wako mnaepanga naye mipango ikaenda,Mke wangu amenisaidia vitu vingi sana kunifanya huyu wa leo,na nimegundua ndoa haikuzuii kutimiza ndoto zako zozote zaidizaidi inakusaidia kufika kwa haraka!!
Mbona kuna watu wanasema hadi wanne?
 
Wasicha wa kazi wa siku hizi ni tabu tupu.
Hawajui wajibu wao hivyo unatumia akili na nguvu nyingi kukaa nao. Mimi mtoto wangu wa mwisho nilimpeleka shuleni ( daycare) nikawa nikienda kazini naenda naye namdrop hapo nikirurudi nampitia.Sasa ukishazeeka hizo hekaheka utaziweza?
Kweli ni hekaheka tupu ila ni hekaheka zaidi ukioa/kuolewa na vijana wa karne ya sasa, utaona kila rangi, ambao wameoa au kuolewa siyo kwamba kuna kitu wanafaidi ni vile tu mmoja amekubali yaishe na awe mpumbavu ili maisha yaendelee.

Si shauri kuingia katika ndoa ukiwa hujajipanga kiakili, kiuchumi, kimwili, kiroho na kikubwa zaidi kuliko yote kisaikolojia.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Txt 2 ass mzee za. Ez Sasa hivi una miaka mingapi? Kwenye ndoa?

Pengine inakusubiria ufikishe miaka 12 ndio ndoa ivunjike!!!! Laana inasaka 12 years
Ni kuendelea kuomba Mungu kwani siku zote vurugu hutokea penye utulivu,ni kitu nafanya kila siku kuomba utulivu kwenye familia sijasema kwamba nimeshamaliza.

Pamoja na hayo ipo misingi nimeiweka ambayo naamini nikiifuata chance ya kuzeekea kwenye ndoa ninayo,tena kubwa sana kwa hilo sihofii.
 
Back
Top Bottom