Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Ulipata milioni yako ya kwanza ukiwa na umri gani?

Miaka 25 nilikua nauza nafaka zote kuweka store, cjawah itumia npo naipgania ifke 10mil angalau ntajiona mtu.
  • kiukwel ukiwa na lak kuigusa mil ni kipengere sana ukiisogelea tu unarud nyuma hatua nying.
  • ila ukifanikiwa kufka milion na uchafu hapo kidogo kuipata ya pili sio kaz
duh wenye vilaki tutatoboa kweli 😳
 
Huu uzi wa watoto wa 2000, nilianza kazi na mshahara wa tsh 480 hadi nijajenga nyumba ya laki 3.5 ipo mpaka leo. Kwahiyo nyie watoto ndo mjibuni mwenzenu.
au sio sawa nenda uzi wa wazee mkuu.
 
Wengi tuliotokea familia zenye shida sana tukaanza majukumu wadogo hatuwezi kukumbuka.

Ninachokumbuka nyumba yangu ya kwanza niliyomjengea mama baada ya ile aliyoiacha marehemu baba kuwa na mazingira mabovu tuliihamia nikiwa na 18 nyumba ya vyumba vitatu so sitakosea nikisema 1mill niliishika mapema sana.ninatafuta pesa mwaka wa 24 huu nilichogundua kwenye hii industry kama mtu huna tamaa ukawa mtu wa kuridhika hakuna haja ya kuamini mambo ya waganga sijui manabii au mashehe wakuwekee mikono etc.
 
Nilipata 1 mil nikiwa likizo ya form 4 kwa kuuza dawa za kupungua uzito... At 25 to 26 nikapata mil 560. Aisee muhimu sana kuwa makini na pesa vijana, pesa haikosagi matumizi
 
Nilipata 1 mil nikiwa likizo ya form 4 kwa kuuza dawa za kupungua uzito... At 25 to 26 nikapata mil 560. Aisee muhimu sana kuwa makini na pesa vijana, pesa haikosagi matumizi
saivi itakuwa unaelekea 1B
 
Bank fulani walijichanganya ilitakiwa nipate 700,000/= wao waka double ikawa 1,400,000/=. Ilivyoingia nikapokea sms kwenye simu mwanzo nilijua laki na 40 ila baada ya kutuliza wenge ndio nikagundua bank wamejichanganya hapo kilichofuata ni kujipongeza tu
 
Bank fulani walijichanganya ilitakiwa nipate 700,000/= wao waka double ikawa 1,400,000/=. Ilivyoingia nikapokea sms kwenye simu mwanzo nilijua laki na 40 ila baada ya kutuliza wenge ndio nikagundua bank wamejichanganya hapo kilichofuata ni kujipongeza tu
haha mapema sana ushawaliza, ulikuwa na umri gani wakati huo ?
 
kwamba wanataka ulipe pesa yao 😅
Yah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.
 
At the Age of 25
It was my second salary
1M+
But at 30 kamili nilidaka 100M
Sikua na wenge
 
Yah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.
duh hahaha ukawatime mapemaaa
 
Yah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.
😄😄😄😄Mkuu umenichekesha! kwahiyo ukahama bank ukaenda kufungua account bank nyingine??
 
Back
Top Bottom