duh wenye vilaki tutatoboa kweli π³Miaka 25 nilikua nauza nafaka zote kuweka store, cjawah itumia npo naipgania ifke 10mil angalau ntajiona mtu.
- kiukwel ukiwa na lak kuigusa mil ni kipengere sana ukiisogelea tu unarud nyuma hatua nying.
- ila ukifanikiwa kufka milion na uchafu hapo kidogo kuipata ya pili sio kaz
Huu uzi wa watoto wa 2000, nilianza kazi na mshahara wa tsh 480 hadi nijajenga nyumba ya laki 3.5 ipo mpaka leo. Kwahiyo nyie watoto ndo mjibuni mwenzenu.Kwema wakuu!
Uliweza kupata milioni moja (Tsh 1,000,000) yako ya kwanza ukiwa na umri gani? Ulifanya kazi gani,uliuza nini ukaipata? Unaweza pia kushare uliitumiaje?
Mpaka uwe na nidham na pesa kutoboaduh wenye vilaki tutatoboa kweli π³
haha mapema sana ushawaliza, ulikuwa na umri gani wakati huo ?Bank fulani walijichanganya ilitakiwa nipate 700,000/= wao waka double ikawa 1,400,000/=. Ilivyoingia nikapokea sms kwenye simu mwanzo nilijua laki na 40 ila baada ya kutuliza wenge ndio nikagundua bank wamejichanganya hapo kilichofuata ni kujipongeza tu
Hapo nina 25 ila baade wakaniwekea deni -700,000/= nilivyoona deni tu kidume nikafungua a/c nyingine fasta.haha mapema sana ushawaliza, ulikuwa na umri gani wakati huo ?
35 wewe bado kinda Sana utaipata Tu kuna Sisi ambao tunapepea kwenye uzee ndo changamotoTuendelee kusoma mana nna 35 sijawahi
Yah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.kwamba wanataka ulipe pesa yao π
duh hahaha ukawatime mapemaaaYah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.
ππππMkuu umenichekesha! kwahiyo ukahama bank ukaenda kufungua account bank nyingine??Yah ile ilitokea nadhani kwa sababu ya mtandao ulikua uko down so wakahisi haijaenda wakarudia tena mara ya pili ndio mana mimi ilivoingia sikuchelewa nikaenda ATM nikachomoa fasta 1mil kipindi kile ilikua kwenye atm kwa siku ku withdraw max 1m iyo laki 4 nikaidamkia saa 1 asubuh mida ya saa 7 mchana nachungulia a/c tayar washaweka negative.