Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Si kama hivi utanambiašSasa nikupigie na nini jaman.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kama hivi utanambiašSasa nikupigie na nini jaman.
Sawa,Si kama hivi utanambia[emoji4]
Sawasawa š¤£š¤£šSawa,
Mbna unanicheka.Sawasawa [emoji1787][emoji1787][emoji119]
MtakomaSgr ikikamilika tutaiendesha kwa umeme wa mavi naona nchi ngumu hii
Ligi za soka zimeanza mkuu.Nauliza tu maana naona watu wa mikoa mitatu wanalalamika umeme umekata.
Je ulipo wewe umeme upo?
Pia soma;
TANESCO yatangaza hitilafu ya umeme, mikoa kadhaa kukosa huduma ya umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kwa Wateja wake leo August 22,2023 kuwa kumetokea hitilafu ya mfumo katika kituo cha uzalishaji umeme kwa njia ya gesi cha Ubungo II. āHitilafu hiyo imesababisha mapungufu ya uzalishaji wa umeme kwa jumla ya megawati 268 kutokuwa kwenye mfumo...www.jamiiforums.com
Nimefurahi tu rafiki yangu..ushafika kwanišš¤Mbna unanicheka.
Karibu sanaSawa siku nikipata safari ya huko nitaitafuta hiyo shule nije kukupa hi!
Nyie mpo Zambia mkuuSumbawanga upo kwa karibu zaidi ya 72 zilizopita, na hatutegemei utakata lini.
Hadi sa izi yanii sijui wanatuonaje hawa wajingaArusha ipo gizani
Mna bahat wengine tumelala GizaHuku nilipo ndio umerudi mda huu.