Ulipokeaje na ulikuwa wapi siku ya tarehe 17 Machi, kifo cha Dkt. Magufuli

Sasa machozi yalikutokaje sasa? Hukuona umuhimu wa kunywa bia?
 
Ulikosea kuwapenda wote,huyo demu na huyu mwamba,
 
Binafsi niliumia sana siku hiyo hakuna wimbo uliokuwa ukiniumiza kila nikiusikia kama ule wa Msechu- UMETUACHA salama. Taarifa za kifo nilizipata mida ya saa sita usiku nikiwa kwenye basi la fikoshi Iringa to Mwanza. Jamaa alikuwa mwamba!!!
Nothing
 
Utakuwa ulifaidi utawala wake
 
Sawa
 
Sawa
 
Acha kufokea watu sio wote walimpenda
 
Habari za kifo chake nilikua nazisubiria kwa hamu sana,nilikua nashinda Twitter kwenye page ya kigogo kwa ajili ya updates. Niko zangu home usiku mara naona updates za kutoka kwa mama Samia kwamba pombe imemwagika. It bacame the happiest day of the year for me .
 
Nilikuwa zangu kitandani mara my Mr akaja akanambia "magufuli kafa" nilichukua simu yake ghafla kuangalia kama kweli maana wakati ule nilikuwa natumia kitochi na laptop niliona tabu kulogin jf.....
Basi bhana ikawa ni amani tu sikulala mpaka kesho yake saa 10 jioni ndo napata usingizi.
Apumzike tu yule mzee kwa yale mafekeche yake yalokuwa yanaendelea sirini na wateule wake sina budi kusema awekwe mahala alipojiandalia.
 
Nikielezea yangu naweza onekana mdogo wake shetani bure.
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Potelea mbali we elezea tu mambo yasiwe mengi mzee alikuwa katili sana yule.
 
Mimi nilichukulia poa kwanza nikawa naangalia tv ukapigwa ule wimbo" kaa nami ni usiku sana* nililia mpaka t-shirt na sofa vikalowa mpaka nikabadili nguo
 
M nlikuwa home,.nakumbuka siku hiyo tulikuwa na mechi maeneo ya kazini..tulimaliza mechi mida ya saa 12...ila nlikuja kujua kifo Cha rais muda wa asubuhi..
 
M nlikuwa home,.nakumbuka siku hiyo tulikuwa na mechi maeneo ya kazini..tulimaliza mechi mida ya saa 12...ila nlikuja kujua kifo Cha rais muda wa asubuhi..
 
Nilishtuka Sana [emoji15] nikijua asubuhi wakati najiandaa kwenda job .

Msiba sio mzuri hauzoeleki Ile asubuhi I was like"duuh [emoji15] so sad"

Jioni nikawa "anyway a good riddance,go to hell dear dictator"

Angekuwepo hadi leo.

1.Watu wasingepanda madaraka

2.Mdude angekuwa jela Hadi aozee huko.

3.Masheikh wa uamsho wangekuwa ndani .

4.Watu wangeendelea kuuliwa ,kufunguliwa kesi za kubambikiziwa

5.Wafanyabiashra wangeendelea kuisha Kama mashetani

6.Sabaya angekuwa anatesa Kama kawa mtoto mpendwa

7.Chalamila angekuwa Yuko mbeya anawatandika viboko hadharani wanafunzi

8.Makonda angeendelea kuwa Don wa magenge ya uhalifu.

9.doto James angeendelea kula 10% na kusaini mikataba isiyojulikana Wala kueleweka.

His death was a good riddance ,Yeah a good riddance.

Storm is over , and at least we can see a Sunshine. Somewhere beyond the clouds .
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Potelea mbali we elezea tu mambo yasiwe mengi mzee alikuwa katili sana yule.
Kwanza tangu nione Kigogo anaongelea hilo twitter, nilianza kuwa mtazamaji mzuri wa TBC.
Kisha nikadownload ule wimbo wa "hakuna Mungu kama wewe Bwana" nikawa nausikiliza taratibu na ule "Yupo Mungu mbinguni ajibuye maombi yetu".

Siku inatangazwa nilikuwa nimeweka TBC kwa hiyo niliipata pale pale. Nikajikuta naropoka hatimaye[emoji119]. Nikaweka ngoma yangu ya " Hakuna Mungu kama wewe bwana" nilisifu mpaka saa 10 usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…