Yes it wasnt easy walk to get that deal bro majiran walikua wanamendea hii keki kuna mtifuano katikati hapo hujui tuuBomba gani unaloongelea, ni hili ambalo hata Mama kaenda Uganda kusign juzijuzi tu?
Funga domo lako usinisababishie nafungiwa jf, funga bakuli lako hujui watu tumeumia kiasi gani.
Mimi ni mtu wa kawaida kuna watu humu tunajuana face to face. We mjinga ungekuwa karibu yangu ningekudunda mbaya kwa hasira nilizo nazo.
Mamilion wanalia kwa ajili ya jpm wewe unaongea ujinga, hivi unajua jpm alikuwa muhimu kiasi gani?
Unajua nini maana ya uongozi wewe?
Akili kisoda wewe.
Sishangai kuwepo na binadamu wa aina yako wanaomini matusi ndio last option ya kutetea wanachokiamini dunia isingekua na watu kama nyinyi wenye hekima na busara wangeishi ulimwengu upi? Elimika sikufundishiAcha kutisha watu mjinga Wewe. Unalazimisha watu wahuzunike kwa Shetani wa Gamboshi Magufuli!
Msukuma wa hedi mkubwa. Haya kaliwa na funza sasa mfuate huko aliko. Pfuuuuuu
Nilikuwa Longido kikazi. Nataka nilale nikatumiwa sms kwamba mzee amefariki. Sikuamini basi nikabidi nimpgie jamaa yangu nimuulize, nikajibiwa ndio nisubiri Habari tbc.Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
Walizuga tu sio kwamba hawakua na furaha!Nilikuwa Longido kikazi. Nataka nilale nikatumiwa sms kwamba mzee amefariki. Sikuamini basi nikabidi nimpgie jamaa yangu nimuulize, nikajibiwa ndio nisubiri Habari tbc.
Baada ya hapo nilienda kulala mida ya saa 4 kasoro usiku, ila niliweweseka kwa mawazo (sikutaka kuamini kabisa) mpaka saa 6 ndio nikapata usingizi.
Asubuhi naenda field karibia kila mtu hakuwa na furaha hata wale wakosoaji.
Alifariki Baba, alifariki Mama nilihuzunika sana tu bila kutoa chozi.Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"
Ukweli sikumpenda Magufuli Ila nilishtuka hatari, Basi muda huo kuingia Tweeter, nakuta ni sherehe kwa baadhi ya wadau wa Tweeter.
msiba ukinikuta Niko Arusha, nimelala.
Vipi wewe mdau ulipataje habari za msiba huu, na ulikuwa wapi.
DaahKuna mwamba nampa taarifa kanijibu short tu "bora kafa"
Aaamen πContinue to Rest in peace dady..
[emoji25][emoji25][emoji25]
Mimi huwa nina machale sana na simu za usiku sana hasa kama sio za madem zangu.
Siku hio sister kanipigia simu saa 5 usiku, nikaikaushia tu nikahisi jambo zito linakuja. Sio kawaida kunipigia late night.
Baadae ananitumia sms eti magufuli kafariki, dah nilizima simu, nikalala! Like nothing happened.
I lost my Job because of him.
And now I am a senior un employed fellow.
6 yrs without a Job
Nililala na mipombe sema niliposhtuka usiku wa manane nikaingia jf kama ilivyo kawaida ndipo nikaona TANZIA.
Huwezi amini usiku uleule nililewa zaidi maana kuna jirani nilimpa taarifa akaamka tukamgongea mangi tukaanza kulewa upya.... Mangi mwenyewe alilewa hatari mpaka asubuhi.
Ilikuwa pati la kimyakimya
That day nilikuwa kilingeni siku nzima na sikutoka.. I saw it coming kwakuwa tayari ilishatokea about a week ago... Nilikuwa nasubiri tu confirmation nifunge Kilinge nikapate mundeIle siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"...
Sikuamini kilichotokea, hadi leo naona kajificha somewhere. Kwa nature ya maisha ya marehemi kabla ya uhai wake...utatarajia jambo baya kutokea ingawa si msiba mkubwa kama Ile...sisi wanadam tumejaaliwa tusiyoyajua wala kuyategemea ni kwa kuwa hatutilii maanani.Ile siku sitaisahau, nakumbuka since tarehe 06/03,ulizuka uzushi mkubwa uko jamuhuri ya Tweeter kuhusu afya ya Magufuli.
Basi siku ya tarehe 17, nkatoka jobs, SAA nne usiku nkalala,. Wakati nimelala nilisikia simu inaita Ila kutokana na wenge la usingizi sikuipokea,, baada ya dakika 10, nilipigiwa Tena simu,, na mshikaji wangu mmoja, namnukuu " oya jamaa Meko amefariki"...