Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
kwani huezi kwenda sunday school na madrasa?Hapo juu unasema ulisali nao wote. Hapa chini unasema wewe ni wa madrasa huoni kama unajichanganya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani huezi kwenda sunday school na madrasa?Hapo juu unasema ulisali nao wote. Hapa chini unasema wewe ni wa madrasa huoni kama unajichanganya?
kwani huezi kwenda sunday school na madrasa?
jibu swaliLabda uwe unafata mkumbo wa watoto wenzio.
ahahah!Samsoni Samsoooni...
Nyweleee (hapa wanaimba wale viherehere alafu washkaji wanaitikia...) nywele zake zilikuwa ndefu, alikuwa bado kunyolewa.... Taaaangu kuzaliwa (viherehere) , (washkaji) toka tumboni mwa mamayeee...
Da hili pambio nilikuwa nalipenda sana.iende mbele injili hiyooooo
acha uchuro weweMahali pa raha ya moto wangu
Akukingiaye mabaya nani ...
Dunia haina makiimbilio
Siipo siiipo hapa zipo...× 2
Nimecheka sana...Halafu huu wimbo lazima kuwe na viherehere wawili yaani anaeseeema
Miiiiiiiiiileleeeee
Na kundi la masela wanaitikia
Daimaaaaaaaaaa
Yaaani unaitikia mpaka unasikia koo linataka kung'oka
Umenikumbusha mbaaaaaaali hebu niambie wewe kwenu wapi maana naona kama tulikiwa wote kipindi hicho[emoji3] [emoji3] [emoji3]Habari wanajamvi?
Unalikumbuka hili pambio?
"Zilieatokeeni (pa pa pa[emoji122] ),zilizogawanyika (makofi tena) kama ndimi za moto,zilizojawa roro mtakatifuuuuuuuuuuu
Chorus
Zilitiririkaaaaaaa
(kiitikio) tiririkaaaaa
Asee hiyo chorus ilikua inaimbwa kwa mlipuko mixer mchanganyiko wa mitoto kibaaaao natamani nijirekod audio hapa msikie.
Kwel sasa uzee unakaribia.
Ebu tupia pambio lililokua linakuvutia
acha uchuro wewe
Shangilia Yesuu analeaaa
Yesuu analeaaa...
Baba na mama waliniliea mimi sasa ni zamu ya Yesu
Ambaye atalea roho yangu
Yesu analea
naona tulisali wote pianilifurahia waliponiambia twende nyumbani kwa Bwana,