Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Yanini uteseke na mtu ambae hajali hisia zako! Mtu macho juu juu🚮!Wew mm kabisa Yani nitaumia mwenyew na nitapona kimyakimya wakt huo nishaondoka kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanini uteseke na mtu ambae hajali hisia zako! Mtu macho juu juu🚮!Wew mm kabisa Yani nitaumia mwenyew na nitapona kimyakimya wakt huo nishaondoka kitambo
Kabisa kipenz mapenz yanahitaji uyagutahie sio kukaa kama upo jela kupigwa matukio kilasiku km mtu hakupendi why ulazimishe kuwa naeYanini uteseke na mtu ambae hajali hisia zako! Mtu macho juu juu🚮!
Hapa kuna habare za kufumaniana kakalakeeeee!!!😊!Hivi kuna nini hapa, maana hata sielewi...🤥
Kwakweli!! Mwingine unaona kabisaaa moves zakeee sio aloooooo😏😏🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮!!Kabisa kipenz mapenz yanahitaji uyagutahie sio kukaa kama upo jela kupigwa matukio kilasiku km mtu hakupendi why ulazimishe kuwa nae
.......tufanye ibada Muda wote tunawaza mapenz tuAisee tunajichoshaa sana Kuna wakat tufanye ibada Muda wote tunawaza mapenz tu 😂😂😂😂
Nilimsamehe nikamuachaHapa kuna habare za kufumaniana kakalakeeeee!!!😊!
Ulifanyeje ulipomfumania mtu wako??
Samehe saba mara sabini ausio!!Nilimsamehe nikamuacha
Kabisa nilimtema then nikamkataa to dateSamehe saba mara sabini ausio!!
Mi nataka tu hizo precautions ulizomeza,na Mimi nitembee nazo[emoji1751]
🤣🤣🤣Nyieee!wawe wanatuambia wenzao[emoji38][emoji38][emoji38]
Akikutajia naomba unitag, kumbe watu mjini wanatembea na precautions hawasemi.
Kama unamphamacia uliyemzoea mwelezee atavikupa ni vizuri havina madhara zaidi yakuumwa baada ya kutapika tu lazima uwe mugonjwa kidogo kutokana na vihali vyakutapika🤣🤣🤣nisaidie dada Yako bwana,nikikutana na mtiti navimeza fasta nazimia
Haziui mtu ni precation sasa unataka tutoe kwa kila mtu lazima unywe utapika unazima halafu mtu anasepa akidhani ameua so unaenda home fresh tuwe huoni kasema alizindukia hospital bado kidogo angezindukia chini ya ardhi 🤣 angekua mbolea ya shamba
Zilipendwa hizo tunakumbuka tu