Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Wee naogopa ban [emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Kwani una part 2 yake Doctor? Nitumie na mimi basi[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee naogopa ban [emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Kwani una part 2 yake Doctor? Nitumie na mimi basi[emoji23][emoji23]
Dah nahisi atakukumbuka hasa mahusiano yake yakiingia mchanga.Sichukui hata kukumbushia siwezi tukiachana basi nilivokupa ni vyako ulivonipa kama utavihitaji nitakupa pia, Kuna mama moja nilikuwa nayo rufiji huko ikwiriri nilikuwa nalipa kodi mimi na vitu vya ndani nilikuwa nanunua mimi baadhi ndo vilikuwa vya kwake, tukaja zinguana baada ya kukuta ana msela mwingine anaempa utelezi tukaachana na nilikwenda tu kuchukua koti langu nilioning"iniza kwenye msumari basi na kodi ilikuwa inaisha nikamuachia na pesa ya miezi mitatu mbele ili asitetereke....
Unajua huyo mtu alikuwa anashida nawanawake anapenda ila hawezi kuwaridhisha kama mwanaume yaani alilogwaga na mwanadada kisa alimtelekezana mimba akakataa sasa haifanyi kazii vizuri mara inafanya halafu haifanyi.Ungempa chance nyingine
Haikupita hata week huyo jamaa ake aliekuwa anamwaminia kuliko mimi nae akabwaga manyanga bahati mbaya na alipokuwa anafanya kazi akasimamishwa kazi hadi apeleke vyeti og na alikuwa mwalimu wa shule binafsi kimbembe kiakaanzia hapo jamaa kammkataa ikabidi tu atumie ndugu yake wa karibu kuniface mimi, sikuwa na hiyana nilimsaidia kila kitu na mpaka nauli ya kurudi kwao maana kazi ilibuma... Mpaka leo anahitaji turudiane naatamani kurudisha moyo nyuma ila nikikumbuka uchafu wake moyo unakuwa mweusi kabisa...Dah nahisi atakukumbuka hasa mahusiano yake yakiingia mchanga.
Pole yake huenda alidhani tatizo linaweza kuwepo kwa mwanamke hivyo alifanya kupita kwa wanawake wengi akidhani kwa wengine wanaweza kuwa hawana tatizo na atafanya vizuriUnajua huyo mtu alikuwa anashida nawanawake anapenda ila hawezi kuwaridhisha kama mwanaume yaani alilogwaga na mwanadada kisa alimtelekezana mimba akakataa sasa haifanyi kazii vizuri mara inafanya halafu haifanyi.
Ila kwa wadada hafai kwa hiyo uyo ni watatu namfumania tu .
Nahiyo shida anayo badala tuitatue yupo busy kufanya yake. Ujinga ujinga
Unaweza kumufikiria ukampatia chance nyingine maana watu hujifunza kutokana na makosa hivyo atakuwa amejirekebishaHaikupita hata week huyo jamaa ake aliekuwa anamwaminia kuliko mimi nae akabwaga manyanga bahati mbaya na alipokuwa anafanya kazi akasimamishwa kazi hadi apeleke vyeti og na alikuwa mwalimu wa shule binafsi kimbembe kiakaanzia hapo jamaa kammkataa ikabidi tu atumie ndugu yake wa karibu kuniface mimi, sikuwa na hiyana nilimsaidia kila kitu na mpaka nauli ya kurudi kwao maana kazi ilibuma... Mpaka leo anahitaji turudiane naatamani kurudisha moyo nyuma ila nikikumbuka uchafu wake moyo unakuwa mweusi kabisa...
Uko sahihi kabisa issue ni kwamba kama akikiri kwa dhati na kujutia makosa yake basi si mbaya tutarudi kwa mahusiano hivyo lazima nimpe muda wa kufikiria zaidi hilo na asikurupuke kwa sababu anaweza akataka kuja kwangu ili tu apoze machungu ya moyo wake kwa kutukosa sisi sote kamkosa huyo alikuwa nampenda zaidi na kanikosa mimi niliekuwa kama wa pembeni yake japokuwa mimi wapembeni ndio nilikuwa natimiza wajibu zaidi kuliko huyo alikuwa anaona yeye ndie atamfaha zaidi... Yeah nampenda ila sasa daah kuna vitu nikivisahau basi nitamrudisha jumla ila nataka tu nimwone kama atajutia au anafanya maamuzi kwa mhemkoUnaweza kumufikiria ukampatia chance nyingine maana watu hujifunza kutokana na makosa hivyo atakuwa amejirekebisha
Kweli mpe nafasi kama atakuwa kajirekebisha au kusahauliwa basi bila shaka ataomba msamaha.Uko sahihi kabisa issue ni kwamba kama akikiri kwa dhati na kujutia makosa yake basi si mbaya tutarudi kwa mahusiano hivyo lazima nimpe muda wa kufikiria zaidi hilo na asikurupuke kwa sababu anaweza akataka kuja kwangu ili tu apoze machungu ya moyo wake kwa kutukosa sisi sote kamkosa huyo alikuwa nampenda zaidi na kanikosa mimi niliekuwa kama wa pembeni yake japokuwa mimi wapembeni ndio nilikuwa natimiza wajibu zaidi kuliko huyo alikuwa anaona yeye ndie atamfaha zaidi... Yeah nampenda ila sasa daah kuna vitu nikivisahau basi nitamrudisha jumla ila nataka tu nimwone kama atajutia au anafanya maamuzi kwa mhemko
Shida nyingine inakuja tayari tupo long distance na mahusiano ya mbali unajua changamoto zake yani yeye songea then mimi kwasasa ndo mzururaji mara mbeya mara dar mara rufiji kwahiyo changamoto saana...Kweli mpe nafasi kama atakuwa kajirekebisha au kusahauliwa basi bila shaka ataomba msamaha.
Kikubwa ni kumpa nafasi tena na ikibidi unaweka na onyo juu kama atakuwa amejifunza hata fanya makosa kama hayo tena.
Kweli ila hapo kama mawasiliano yapo vizuri umbali si tatizo maana Mawasiliano yakiwa vizuri ndio Kila kitu umbali si tatizo maana kuonana itakuwa si kazi.Shida nyingine inakuja tayari tupo long distance na mahusiano ya mbali unajua changamoto zake yani yeye songea then mimi kwasasa ndo mzururaji mara mbeya mara dar mara rufiji kwahiyo changamoto saana...
Yeah sure sureKweli ila hapo kama mawasiliano yapo vizuri umbali si tatizo maana Mawasiliano yakiwa vizuri ndio Kila kitu umbali si tatizo maana kuonana itakuwa si kazi.
Sasa we si Doctor unahofia nini? Wakikupa ban haifanyi kazi unaiyeyusha tu😂Wee naogopa ban [emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Hahaha sasa kwa nini unamkazia wakati alijitolea kukupenda.Maisha haya, mimi ni mpenzi sana wa kusoma hadithi..basi wakati nachipukia kuna rafiki yangu wa utotoni kumbe alikuwa ananizimikia akawa ananiletea vijarida, vitabu nasoma ile kuninunulia kabisa, sasa alivyoona kanunua vya kutosha ndo akarusha ndoano mie nkaitema [emoji13][emoji13][emoji13] jamaa akanifata kunidai yooote pamoja na vitabu vyoote, bahati nilikuwa natunza nkarudisba...basi nikikumbuka nacheka na yeye anacheka tuu ujinga wake...
Kwanza tulikuwa wadogo sana japo yeye alikuwa kanizidi lkn bado haukuwa umri wa hizo mambo, pili nilikuwa simpendi yani hisia za mapenzi sikuwa nazo juu yake na mpaka leo, wakati mwingine huwa ananitania mana tumeshakuwa wazee ananiambia japo aweke mkono tu [emoji28][emoji28] wanaume akili zao jamani.Hahaha sasa kwa nini unamkazia wakati alijitolea kukupenda.
Hahahah kama mmetoka mbali kiasi hicho unaweza kuruhusu aweka mkono tu na yeye afurahi 🤣🤣🤣Kwanza tulikuwa wadogo sana japo yeye alikuwa kanizidi lkn bado haukuwa umri wa hizo mambo, pili nilikuwa simpendi yani hisia za mapenzi sikuwa nazo juu yake na mpaka leo, wakati mwingine huwa ananitania mana tumeshakuwa wazee ananiambia japo aweke mkono tu [emoji28][emoji28] wanaume akili zao jamani.
Haha umenikumbushia binti mmoja, sikuwahi mtongoza, ila ni mara moja nilimpa tu kijizawad kidogo, Sasa alifikiri namtaka kimapenzi, sahiv nkikutana Naye anafunika uso wake na sweta, au akiniona anabadilisha njia uujnKwanza tulikuwa wadogo sana japo yeye alikuwa kanizidi lkn bado haukuwa umri wa hizo mambo, pili nilikuwa simpendi yani hisia za mapenzi sikuwa nazo juu yake na mpaka leo, wakati mwingine huwa ananitania mana tumeshakuwa wazee ananiambia japo aweke mkono tu [emoji28][emoji28] wanaume akili zao jamani.
[emoji23][emoji23] thubutu...!Hahahah kama mmetoka mbali kiasi hicho unaweza kuruhusu aweka mkono tu na yeye afurahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]