Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Pisi moja hv tulikua marafiki kama utani tu nikamtongoza akanitolea nje na akatishia na urafiki wetu utakufa, nika give up mara ananicheki eti anataka anitembelee nikakubali akaja tukapiga story akasepa, siku nyingine akaja tena mara analala tu ndani anapunguza nguo sasa tu alikua na shape balaa

Nikamshika akarespond nikamtafuna
Kasoro yake kubwa ni bad spender balaa yani asipite karibu na duka la nguo au urembo.
Guys alikua mzuri wana kitaa wanauliza umemtoa wap ila ndo hivyo hata sijui yuko wap hapa mjin

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pisi kali ya Kichagaa yani Yale matacco makubwa alafu lainii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ile ilikuwa ni balaaa sema sasa kwenye game anataka alale chalii tuuu kama sanamu... Na helaa anavyoipendaa oohoo... Nkaona hapa sio kabisaa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ilikuwa pisi ya kuombea hata zamana kwenye kesi kubwa kubwa.. Toto ilikuwa ikicheka inamwanya.. lips denda,umbo namba nane.. nywele nyeusi tii halafu zake mwenyewe sio zile za kununua kwenye misaluni!.. na kale kasauti kake hakika nilidata komamanga la watu!.. ubovu ulikuwa anapandisha majini yanaongea kiarabu! Lamba mwiko wa watu nikaona isiwe tabu nikamuacha japo ilikuwa kwa mbinde maana na yale majini sijui yalinielewa!! Sijui Sana.
Huyu atakuwa Malaika. Si kwa uzuri huo
 
Inawezekana na yeye yupo na shoga zake saa hii, anawasimulia kasoro zako, ulivyokua unanuka mdomo na kikwapa, ulivyokua unaongea sana na kurusha mate, ulivyokua unakoroma kama spika ya msondo, lol

The World is Fair because is Unfair to everyone.
100% true, the World is unfair to everyone for sure😀
 
Back
Top Bottom