Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Nishawahi pita na pisi kadhaa zenye ubora ila wengi changamoto zao ni kwenye pesa na uaminifu maana anafatwa na wengi,kasoro za kunuka mdomo au kikojozi au sijui matusi ni vitu vinavyorekebishika mbona,shida kubwa ni hapo kwenye pesa ukiendekeza kukaa na mtu wa hivyo unaweza usifanye lolote la maana pesa yote unapeleka kwake kumfurahisha
 
Daah kuna luzboll moja niliibabatiza seemu baada ya kama lisaa hivi toka tukutane tukajikuta kwenye 6*6, mtoto hatak kutoa lock mzee na nyege mshndo nilikomaa hivohivo. Duuh kilichofata kinasikitisha...Nilijifunza ukiona mtu anakaza sana usimnganganize.
 
Daah kuna luzboll moja niliibabatiza seemu baada ya kama lisaa hivi toka tukutane tukajikuta kwenye 6*6, mtoto hatak kutoa lock mzee na nyege mshndo nilikomaa hivohivo. Duuh kilichofata kinasikitisha...Nilijifunza ukiona mtu anakaza sana usimnganganize.
Ulikutana na nini?
 
huyu manzi ni shida tupu yaani yupo vizur idara zote nyeti unazojua..nilikuwa npenda zaidi miguu yke minene km faru joni.kiuno kidogo matiti km hakuwahi kuzaa yalivyo magumu.shida yake mswahili sana na uchafu yaani hafai kila nilijaribu nimuekee sawa nikimuachia geto nakuta kuchafu ye mda wote tv tuu kufua chupi zake wiki hd wiki adi chupi inaekaa gundi katikati
 
nimependa izo nywele , safi sana , sio wale wavaa mawigi usiku kucha wanataka 100k, shubaa miti
Mi kwangu ukizungumzia pisi kali ni lazima iwe Make Up free!

Kucha asili, nywele asili smart zibanwe nyuma na vile vile ngozi asili. Huyo demu ni mkali tukiweka wivu na husda pembeni. She is really pretty looking. Ajajipiga filler kabisa.
 
Back
Top Bottom