chichiboy1
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 1,371
- 1,856
Duh! Namkumbuka mmoja mkali sana lakini ng'onda mwezi mzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sio photogenic? Mimi namuona mzuri ila sio kiasi unachotaka tuaminiMi kwangu ukizungumzia pisi kali ni lazima iwe Make Up free!
Kucha asili, nywele asili smart zibanwe nyuma na vile vile ngozi asili. Huyo demu ni mkali tukiweka wivu na husda pembeni. She is really pretty looking. Ajajipiga filler kabisa.
Maybe sio photogenic tu...Humu najua kuna wazuri kumzidi yeye maana hamna mtu atakubali kuwa down😂😂😂!!! Tunajua mademu wote wa humu wakali na majamaa ni ma Handsome boyz woteAu sio photogenic? Mimi namuona mzuri ila sio kiasi unachotaka tuamini
Huenda ni picha ujue kuna wengine picha haziwatendei haki. Wewe ndio unamjua live. KudosMaybe sio photogenic tu...Humu najua kuna wazuri kumzidi yeye maana hamna mtu atakubali kuwa down[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Tunajua mademu wote wa humu wakali na majamaa ni ma Handsome boyz wote
huyu watakuja kumponda😂😂😂 wakati akienda kuomba kazi atagombaniwa na HR mpaka wakurugenziPisi kali inatakiwa iwe na vigezo gani jaman??? Maana wana jf bhana utasikia et kazi ya kawaida sana hiyo.. View attachment 1582333
Daah kuna luzboll moja niliibabatiza seemu baada ya kama lisaa hivi toka tukutane tukajikuta kwenye 6*6, mtoto hatak kutoa lock mzee na nyege mshndo nilikomaa hivohivo. Duuh kilichofata kinasikitisha...Nilijifunza ukiona mtu anakaza sana usimnganganize.
Pisi kali lakini ilikuwa na "garden love" wakati mie sina kiviile, nakaona unbalanced equation.
Pisi ndio nini?
Viswahili vya watoto hivi kinyaa kweli kweli!
Ulifanya makosa sana kumkimbia binti wa watu ilipaswa kumsaidia aondokane na matatizo yake ayo ndio mapenzi ya kweli alafu ungepata swawabu kwa mola wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uchawi huwa hauendi kwa mentali!.. [emoji12]
Lol mwenzako anaona yupo na Alicia KeysKwahiyo hiyo ndiyo pisi Kali?
Hahahah ukizungumzia pisi kali mtoto lazma awe kisu kweli🤣🤣🤣 sio utopolo. Vitu vya namna hii!
View attachment 1582217
Sawa boss we inaonekana mpenzi wa furu🤣🤣🤣 a.k.a Oil ChafuHana kitu hapo rangi tu hiyo. Alafu ndo nini una m expose mwezio wewe unajificha na emoj?
Duh... kweli tunatofautiana sana kusaminisha hawa wadudu.Pisi kali inatakiwa iwe na vigezo gani jaman??? Maana wana jf bhana utasikia et kazi ya kawaida sana hiyo.. View attachment 1582333
Ilikuwa pisi ya kuombea hata zamana kwenye kesi kubwa kubwa.. Toto ilikuwa ikicheka inamwanya.. lips denda,umbo namba nane.. nywele nyeusi tii halafu zake mwenyewe sio zile za kununua kwenye misaluni!.. na kale kasauti kake hakika nilidata komamanga la watu!.. ubovu ulikuwa anapandisha majini yanaongea kiarabu! Lamba mwiko wa watu nikaona isiwe tabu nikamuacha japo ilikuwa kwa mbinde maana na yale majini sijui yalinielewa!! Sijui Sana.
Maybe sio photogenic tu...Humu najua kuna wazuri kumzidi yeye maana hamna mtu atakubali kuwa down[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Tunajua mademu wote wa humu wakali na majamaa ni ma Handsome boyz wote