Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Yule demu sio masihara alikuwa mkali, tena mkali haswa. Tatizo lako ni kwamba kwenye 6 x 6, mizuka ikipanda sana, kama hajakukaba basi anakung'ata. Nikawa najitahidi sana kwamba akikalibia kuwa high, namuweka pozi ambalo anakuwa mbali na mm kuanzia kifuani kwenda juu.

Nakumbuka siku hiyo sijui ilikuwaje nikajisahau, alivyofika kileleni,wakati najiandaa kupambana na kabali, nilishtukia nang'atwa shingoni hadi nikajihisi kukata moto. Nikachomoa mashine huku natetea uhai wangu, sperms zikawa zinaruka ruka tu hovyo. Demu akaniachia alaf anasema "Thank you". Thank you?? Qmamake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yule demu sio masihara alikuwa mkali, tena mkali haswa. Tatizo lako ni kwamba kwenye 6 x 6, mizuka ikipanda sana, kama hajakukaba basi anakung'ata. Nikawa najitahidi sana kwamba akikalibia kuwa high, namuweka pozi ambalo anakuwa mbali na mm kuanzia kifuani kwenda juu.

Nakumbuka siku hiyo sijui ilikuwaje nikajisahau, alivyofika kileleni,wakati najiandaa kupambana na kabali, nilishtukia nang'atwa shingoni hadi nikajihisi kukata moto. Nikachomoa mashine huku natetea uhai wangu, sperms zikawa zinaruka ruka tu hovyo. Demu akaniachia alaf anasema "Thank you". Thank you?? Qmamake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app

Utakufa fala we[emoji23][emoji23]
 
Daah nilikuwa na pisi ya kisomali shida ni moja tu inanuka uchi kama panya aliekufa ukimuweka Dogg style mvuke wa harufu yake likikupata hata ukioga unaliskia kwa mbali
Ungempeleka hospital...hayo yanatibika mbona.
 
Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
Mbona umeacha na sasa najilia vyangu
 
Niliwahi kuwa na pisi Kali alafu lilikuwa na biashara yake alafu na ndinga kali,daah Yule demu kitandani alikuwa ni balaa ukimgusa tu dk 2 chupi iko maji tu.

Tatizo lake akikutafuta kwa simu ukawa busy ukashindwa kupokea ni mwendo wa matusi tu,au akituma sms ikapita dk 2 mbili hujareply atatuma hyo sms ya matusi mpaka utasema huyu atakua katumwa.
Ilibidi tu niachane nae japo ananisumbua Sana mpaka leo.
Ila Yule demu kafanya nijue kuwa ili mwanamke umfikishe kileleni ni mpaka akupende yeye Kama yeye.
Hiyo pisi inaishi Kwenye moja ya nchi za Kiarabu?
 
Ilikuwa pisi ya kuombea hata zamana kwenye kesi kubwa kubwa.. Toto ilikuwa ikicheka inamwanya.. lips denda,umbo namba nane.. nywele nyeusi tii halafu zake mwenyewe sio zile za kununua kwenye misaluni!.. na kale kasauti kake hakika nilidata komamanga la watu!.. ubovu ulikuwa anapandisha majini yanaongea kiarabu! Lamba mwiko wa watu nikaona isiwe tabu nikamuacha japo ilikuwa kwa mbinde maana na yale majini sijui yalinielewa!! Sijui Sana.
kwa hiyo tatizo ni kujikojolea au majini?
 
huyu manzi ni shida tupu yaani yupo vizur idara zote nyeti unazojua..nilikuwa npenda zaidi miguu yke minene km faru joni.kiuno kidogo matiti km hakuwahi kuzaa yalivyo magumu.shida yake mswahili sana na uchafu yaani hafai kila nilijaribu nimuekee sawa nikimuachia geto nakuta kuchafu ye mda wote tv tuu kufua chupi zake wiki hd wiki adi chupi inaekaa gundi katikati

Hahahahaha duh[emoji1787][emoji1787]
 
Swadaktaaa?

Back, nikiwa 3rd year nilishwai miliki chombo kali sana aisee huyu dada alikuwa ni pisi kali sana, moja ya pisi nilizotoka nazo anaingia top3. Alikuwa ni mzuri balaa. Ni pisi ambayo ikikatiza lazma ugeuke uitizame.

Tatizo la huyu dada ilikuw ni kujikojolea usiku hii ndo kasoro aliyokuwa nayo pamoja na uzuri wote. Siku niliyokuja fahamu ana hili tatizo ni siku ambayo tulitoka out night ikabd tulale lodge, nilishuhudia live demu akikojoa mpaka nikahisi maybe nilimkuna sana kumbe ndo tatizo lake. Ndio kunambia ukweli wa tatizo lake.

Hatukudumu sana tuliachana, sijui kama alipona au bado.
hakujinyea kweli?? (jokes) but hukumpenda kwa dhati.....just using her.....
 
Back
Top Bottom