Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Ulishawahi date na 'Pisi kali' lakini ina kasoro?

Pisi ,moja ya kiirag toka kanda ya kas, ilikuja field hapa kwetu pisi hatari, pisi jina la mke wa Nabii Ibrahim kapanda, kaumbika Rangi ya bi Aisha mke wa mtume SAW, dahh tatizo lake alifanyiwa tohara akakosewa hakuwa na shavu yaani pako wazi kabisa ilikuwa tabu wakati wa nanii. but wana umofia kitu kikitokea hapo kama kweli umezaliwa na mwananmke uachi kuangalia aseee, Nasikia msukuma mmoja kajitwali kama ilivyo naona anaenjoy kuangalia bodi
 
Niliwahi kuwa na pisi Kali alafu lilikuwa na biashara yake alafu na ndinga kali,daah Yule demu kitandani alikuwa ni balaa ukimgusa tu dk 2 chupi iko maji tu.

Tatizo lake akikutafuta kwa simu ukawa busy ukashindwa kupokea ni mwendo wa matusi tu,au akituma sms ikapita dk 2 mbili hujareply atatuma hyo sms ya matusi mpaka utasema huyu atakua katumwa.
Ilibidi tu niachane nae japo ananisumbua Sana mpaka leo.
Ila Yule demu kafanya nijue kuwa ili mwanamke umfikishe kileleni ni mpaka akupende yeye Kama yeye.
word.
 
Inawezekana na yeye yupo na shoga zake saa hii, anawasimulia kasoro zako, ulivyokua unanuka mdomo na kikwapa, ulivyokua unaongea sana na kurusha mate, ulivyokua unakoroma kama spika ya msondo, lol

The World is Fair because is Unfair to everyone.
Mtu wa LGBT
 
Daah nilikuwa na pisi ya kisomali shida ni moja tu inanuka uchi kama panya aliekufa ukimuweka Dogg style mvuke wa harufu yake likikupata hata ukioga unaliskia kwa mbali
Hilo ni tatizo la wanawake wengi

Yaani Mimi nilikutana na manzi mkali ukimtazama kwa njee huwezi waza lakini mzuka ilikata baada ya kua nna pigwa na harufu ya Aina yake piano halafu yeye anakazana kukatika mauno hapo yuko kwa doggy style anavyoongeza kukatika ndio harufu inavyooanda juu

Daah
 
Yule demu sio masihara alikuwa mkali, tena mkali haswa. Tatizo lako ni kwamba kwenye 6 x 6, mizuka ikipanda sana, kama hajakukaba basi anakung'ata. Nikawa najitahidi sana kwamba akikalibia kuwa high, namuweka pozi ambalo anakuwa mbali na mm kuanzia kifuani kwenda juu.

Nakumbuka siku hiyo sijui ilikuwaje nikajisahau, alivyofika kileleni,wakati najiandaa kupambana na kabali, nilishtukia nang'atwa shingoni hadi nikajihisi kukata moto. Nikachomoa mashine huku natetea uhai wangu, sperms zikawa zinaruka ruka tu hovyo. Demu akaniachia alaf anasema "Thank you". Thank you?? Qmamake.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Niliwahi kuwa na pisi Kali alafu lilikuwa na biashara yake alafu na ndinga kali,daah Yule demu kitandani alikuwa ni balaa ukimgusa tu dk 2 chupi iko maji tu.

Tatizo lake akikutafuta kwa simu ukawa busy ukashindwa kupokea ni mwendo wa matusi tu,au akituma sms ikapita dk 2 mbili hujareply atatuma hyo sms ya matusi mpaka utasema huyu atakua katumwa.
Ilibidi tu niachane nae japo ananisumbua Sana mpaka leo.
Ila Yule demu kafanya nijue kuwa ili mwanamke umfikishe kileleni ni mpaka akupende yeye Kama yeye.
 
Ilitakiwa uwe unampa hongera kila akimwaga kojo lake.Pamoja na hayo chadema inashinda oct
Hahah wana jf nimewavulia kofia. Hebu lete picha ya manz mkali, hata ya kudownload tu!
Pisi kali hizo
IMG-20200928-WA0004.jpg
IMG-20200928-WA0003.jpg
IMG-20200928-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom