Single_Father
JF-Expert Member
- Jan 23, 2025
- 281
- 438
Kichwa chako kinawaza mapenzi muda wote.Wewe ni hasara kwa familia,Trust me.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda aliona utaipiga vibaya
Sawa single father 👨Kichwa chako kinawaza mapenzi muda wote.Wewe ni hasara kwa familia,Trust me.
Afadhari,asilimia kubwa ya Nyuzi zako ni mapenzi tuuuu,Mara kile Mara hiki mara boda boda.Sawa single father 👨
Na Wewe hujatulia na govi twende!Katika pita pita zangu nilibahatika kuwa na huyo kijana wa kisukuma kwa jina namuhifadhi, huyu kijana aliniambia yeye amesoma chuo lakini alikosa ajira kaamua kuwa dereva boda boda, mara nyingi alikuwa anafanyia online hizi uber na bolt.
Basi huyu kijana alikuwa na wivu sana nilikuwaga naenda kwake then jioni naondoka sasa nikiondoka hizo simu zitapigwa mno nikiwa njiani, hadi sasa nikaanza kumchukiaga.
Kuna siku moja nakumbuka tulipishana kitu akawa amenunua mboga kaniambia nipike mimi nikagoma nataka kuondoka eeeh! Si akanifungia mlango, nilijua utani aisee, nikawa nimekaa tukajibishana hapo akaniambia najua yeye ni nani au namchukulia poa tu anaweza akaniua na mtu yoyote asijue, kama nabisha niwaulize majirani.
Akawa amepika amekula, mimi niligoma kula, usiku tukawa tumelala si nikawa nareplay vimeseji natumiwa na watu huko online akataka kunipokonya simu nikamg'ata alooo nilipigwa bao moja zito sana hadi jicho lilivimba. Akauchukua mkono akaunyonga kwa nyuma aloooh! Nilihisi kufa hii siku na nilijuta kuzaliwa, alivyo mshenzi sasa nilikuwaga sijampa kama wiki1 hivi nilimwambia tusubiri siku hatari zipite, hii siku alitumia kama fursa akanibaka bila ridhaa yangu.
Nilimchukia mno, kulivyopambazuka nikaenda home, nilikuwa na funguo za hapo kwake kuna siku hakuwepo nikaenda nikachukuaga nguo zangu nikamwambia atafute mwengine atakaevumilia vipigo kama vile. Alilia mno meseji kama zote alinisumbua sana hata mwaka jana nakumbuka alinitafutaga, ila kamwe siwezi kurudi nyuma kwa huyu mtu hata iweje.
Sitaki kusema kuwa wasukuma wote wana tabia ya kupiga ila binafsi mwanaume kisukuma siwezi kuwa nae nawaogopa mno.
Ex, yupi huwezi kurudi kwake na kwanini??
Sijaelewa mkuuNa Wewe hujatulia na govi twende!
uyMpaka saivi tumeshajua ulitembea na wanaume 8 na bado unazidi kutoa mikeka kila siku
Unanipangia matumizi ya bando langu aisee wewe una matatizoAfadhari,asilimia kubwa ya Nyuzi zako ni mapenzi tuuuu,Mara kile Mara hiki mara boda boda.
What a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala !don’t you have any thing good to tell this page?
Wasuku si wanasema hawapendi kukata filimbi!Sijaelewa mkuu
Jini HiloKatika pita pita zangu nilibahatika kuwa na huyo kijana wa kisukuma kwa jina namuhifadhi, huyu kijana aliniambia yeye amesoma chuo lakini alikosa ajira kaamua kuwa dereva boda boda, mara nyingi alikuwa anafanyia online hizi uber na bolt.
Basi huyu kijana alikuwa na wivu sana nilikuwaga naenda kwake then jioni naondoka sasa nikiondoka hizo simu zitapigwa mno nikiwa njiani, hadi sasa nikaanza kumchukiaga.
Kuna siku moja nakumbuka tulipishana kitu akawa amenunua mboga kaniambia nipike mimi nikagoma nataka kuondoka eeeh! Si akanifungia mlango, nilijua utani aisee, nikawa nimekaa tukajibishana hapo akaniambia najua yeye ni nani au namchukulia poa tu anaweza akaniua na mtu yoyote asijue, kama nabisha niwaulize majirani.
Akawa amepika amekula, mimi niligoma kula, usiku tukawa tumelala si nikawa nareplay vimeseji natumiwa na watu huko online akataka kunipokonya simu nikamg'ata alooo nilipigwa bao moja zito sana hadi jicho lilivimba. Akauchukua mkono akaunyonga kwa nyuma aloooh! Nilihisi kufa hii siku na nilijuta kuzaliwa, alivyo mshenzi sasa nilikuwaga sijampa kama wiki1 hivi nilimwambia tusubiri siku hatari zipite, hii siku alitumia kama fursa akanibaka bila ridhaa yangu.
Nilimchukia mno, kulivyopambazuka nikaenda home, nilikuwa na funguo za hapo kwake kuna siku hakuwepo nikaenda nikachukuaga nguo zangu nikamwambia atafute mwengine atakaevumilia vipigo kama vile. Alilia mno meseji kama zote alinisumbua sana hata mwaka jana nakumbuka alinitafutaga, ila kamwe siwezi kurudi nyuma kwa huyu mtu hata iweje.
Sitaki kusema kuwa wasukuma wote wana tabia ya kupiga ila binafsi mwanaume kisukuma siwezi kuwa nae nawaogopa mno.
Ex, yupi huwezi kurudi kwake na kwanini??
Afu kinajiita bint Sayuni,Bint sayuni My assMpaka saivi tumeshajua ulitembea na wanaume 8 na bado unazidi kutoa mikeka kila siku
Toka hapa na kichwa chako kilichooza unawaza upumbavu tuu,bado naweza kukuwekea la mwezi mzima ukaishia kujiuza huko.Unanipangia matumizi ya bando langu aisee wewe una matatizo
Mimi nitakutafuta hatutaachana!Hakika ndiyo huwa ninafanya hivi mimi
Kwanini sasa hutaki ku move onMimi nitakutafuta hatutaachana!
😁😁😁💔Asiye na nyash💔🚮🙌🏿
😁😁😁sikiliza mimi mapenzi ndiyo kitu napenda na sitaacha kupost, kama haupendi usiwe unapita huku baki kule kwenye jukwaa la kilimo na ufugajiToka hapa na kichwa chako kilichooza unawaza upumbavu tuu,bado naweza kukuwekea la mwezi mzima ukaishia kujiuza huko.
Pole kijana sijui mzee naona umeumizwa na ushuhudaAfu kinajiita bint Sayuni,Bint sayuni My ass
Huyo atakuwa Magufuli tu, Wasukuma hatuko hivyo.Katika pita pita zangu nilibahatika kuwa na huyo kijana wa kisukuma kwa jina namuhifadhi, huyu kijana aliniambia yeye amesoma chuo lakini alikosa ajira kaamua kuwa dereva boda boda, mara nyingi alikuwa anafanyia online hizi uber na bolt.
Basi huyu kijana alikuwa na wivu sana nilikuwaga naenda kwake then jioni naondoka sasa nikiondoka hizo simu zitapigwa mno nikiwa njiani, hadi sasa nikaanza kumchukiaga.
Kuna siku moja nakumbuka tulipishana kitu akawa amenunua mboga kaniambia nipike mimi nikagoma nataka kuondoka eeeh! Si akanifungia mlango, nilijua utani aisee, nikawa nimekaa tukajibishana hapo akaniambia najua yeye ni nani au namchukulia poa tu anaweza akaniua na mtu yoyote asijue, kama nabisha niwaulize majirani.
Akawa amepika amekula, mimi niligoma kula, usiku tukawa tumelala si nikawa nareplay vimeseji natumiwa na watu huko online akataka kunipokonya simu nikamg'ata alooo nilipigwa bao moja zito sana hadi jicho lilivimba. Akauchukua mkono akaunyonga kwa nyuma aloooh! Nilihisi kufa hii siku na nilijuta kuzaliwa, alivyo mshenzi sasa nilikuwaga sijampa kama wiki1 hivi nilimwambia tusubiri siku hatari zipite, hii siku alitumia kama fursa akanibaka bila ridhaa yangu.
Nilimchukia mno, kulivyopambazuka nikaenda home, nilikuwa na funguo za hapo kwake kuna siku hakuwepo nikaenda nikachukuaga nguo zangu nikamwambia atafute mwengine atakaevumilia vipigo kama vile. Alilia mno meseji kama zote alinisumbua sana hata mwaka jana nakumbuka alinitafutaga, ila kamwe siwezi kurudi nyuma kwa huyu mtu hata iweje.
Sitaki kusema kuwa wasukuma wote wana tabia ya kupiga ila binafsi mwanaume kisukuma siwezi kuwa nae nawaogopa mno.
Ex, yupi huwezi kurudi kwake na kwanini??
Ila wewe, 😁 😁 😁Hiyo atakuwa Magufuli tu, Wasukuma hatuko hivyo.