Binti Sayuni03
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 1,075
- 1,913
- Thread starter
- #81
Kunipiga kunila bila hiari yanguYa kukuzagamua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunipiga kunila bila hiari yanguYa kukuzagamua?
Hapo sawa mkuuAlafu SIJAWAHI achana nao kwa ubaya hadi wake za watu sema sheria za HALMASHAURI ya kichwa changu ukiolewa unabakia kuwa rafiki tu HATA ulewaje
Ila viuno ulikua unakata.Kunipiga kunila bila hiari yangu
Nkewantu sumu mkuu SIJAWAHI kuwa maziwa kwao nawaogopa balaaHapo sawa mkuu
Utapata wapi mahusiano yasiyokera?Alinikèra alivyonifungia mlango ndiyo maana
Mimi natembea na miguu yanguSawa mkuu, vipi wewe umetembea na wangapi
Naona siku hizi umekua mtetea haki za wanawake humu jukwaaniAcha kufuatilia wanawake utapoteza muda wako
Muache ampe amtakaye
Nyinyi ndio mnafanya wanawake wasiwe huru kujielezea humu
Hata mkeo naweza kumteteaNaona siku hizi umekua mtetea haki za wanawake humu jukwaani
kuanza kuuoanisha humu jukwaani kutatufanya tuwe udugu kwelikweli mkuu Binti Sayuni03 eti tuna udugu?Wewe na holoholo mna undugu?
mtanifanya nile tunda kimaskhara wakuu mmh.Dah @Binti sayuni03 na @holoholo huu mwaka wenu
Tupo sehemu moja, tayari sisi sote ni ndugukuanza kuuoanisha humu jukwaani kutatufanya tuwe udugu kwelikweli mkuu Binti Sayuni03 eti tuna udugu?
Asante sana mkuuPole
Nani huyo mkuuHata tubakie wawili duniani kweli sitodate nae tena