Ulishawahi kufikiria kitu halafu ukakikuta kwenye Mitandao ya kijamii?

Ulishawahi kufikiria kitu halafu ukakikuta kwenye Mitandao ya kijamii?

Umeongea boonge la point, JF walichukue hili na kulifanyia kazi.
Kwa JF inawezekana lakini sio kama kwenye Mitandao mingine ya kijamii coz hii ni Forum tu.
Humu ili uone post za wale unaowapenda inabidi Uwafollow kwanza. Ukishafollow nenda hapo kwenye News Feed
Screenshot_20230330-123121~2.png

Ukishafungua hapo post tu za uliowafollow ndio utaziona.
Kwangu haionekani coz sijafollow
 
huwa natumia sana youtube kutafuta tutorial mbalimbali zinazohusu matumizi ya digital devices.

kila ninapo search, naletewa tutorial za wahindi. changamoto kubwa ya tutorial za wahindi ni lugha.

wengi wao wanatumia kihindi na kidogo kingereza ambacho sio rahisi kueleweka kwa mtu ambaye sio wa jamii ya kihindi.

niliwahi kusoma article moja ikizungumzia tatizo hili, niliona mpaka wazungu wakilalamika. imebainika kwamba wahindi wengi wame dominate eneo hilo la kutoa tutorials kule youtube.

nawezaje kublock tutorials za wahindi?.nataka nikiwa youtube, ninapo search let say "How to perform Factory Reset on Android", niwe naletewa content zenye lugha kingereza tu.
 
kuna kitu kimoja kinanikera sana youtube, sina hakika kama wenzangu mmewahi kukutana nacho au lah.

huwa natumia sana youtube kutafuta tutorial mbalimbali zinazohusu digital devices.

kila ninapo search, naletewa tutorial za wahindi. changamoto kubwa ya tutorial za wahindi ni lugha.

wengi wao wanatumia lugha ya kihindi na kidogo kingereza ambacho sio rahisi kueleweka kwa mtu ambaye sio wa jamii ya kihindi.

niliwahi kusoma article moja ikizungumzia tatizo hili, niliona mpaka wazungu wakilalamikia changamoto hii. imebainika kwamba wahindi wengi wame dominate eneo hilo la kutoa tutorials. wengi wamejisajiri youtube.


wataalam, nawezaje kublock tutorials au video zinazotumia lugha ya kihindi?.nataka nikiwa youtube, ninapo search let say "How to perform Factory Reset on Android", niwe naletewa content zenye lugha kingereza tu.
Ni kweli kabisa wahindi wamejazana huko nadhani hii ya wao kuonekana zaidi itakua kwasababu Viongozi/watendaji wengi wa Google wanatokea India so wanawabeba vijana wao.
Nina theories 2 nahisi zinaweza tatua shida yako

1: Kwenye setting huko chokonoa ubadirishe location yako ionekane upo nchi za ulala. Ikiwezekana tumia vpn pia

2: Nenda YouTube search tutoring yoyote kisha tafuta kwa makini ambago itakua inaongozwa na wazungu. Nadhani kipitia hiyo zinaweza kujitokeza chanel zingine za wazungu
Ikiwa utafungua kwa kukosea chanel za wahindi basi nenda Setting kisha Delete cookies na caches
 
Ni kweli kabisa wahindi wamejazana huko nadhani hii ya wao kuonekana zaidi itakua kwasababu Viongozi/watendaji wengi wa Google wanatokea India so wanawabeba vijana wao.
Nina theories 2 nahisi zinaweza tatua shida yako

1: Kwenye setting huko chokonoa ubadirishe location yako ionekane upo nchi za ulala. Ikiwezekana tumia vpn pia

2: Nenda YouTube search tutoring yoyote kisha tafuta kwa makini ambago itakua inaongozwa na wazungu. Nadhani kipitia hiyo zinaweza kujitokeza chanel zingine za wazungu
Ikiwa utafungua kwa kukosea chanel za wahindi basi nenda Setting kisha Delete cookies na caches
asante....acha nijaribu.
 
Google na makampuni ya mitandao ya kijamii kijamii wanashirikiana kulink taarafia wenyewe wanaita Web Data Collection. Kuna Machine Learning zinafanya kazi hiyo
Ni kweli. Juzi nilienda shopping center fulani nikaingia kwenye duka lenye vipodozi. Kufika nyumbani nikaingia facebook kwenye computer nikakutana na matangazo ya bidhaa nilizoziona dukani.
 
Ni kweli. Juzi nilienda shopping center fulani nikaingia kwenye duka lenye vipodozi. Kufika nyumbani nikaingia facebook kwenye computer nikakutana na matangazo ya bidhaa nilizoziona dukani.
Walishacheza na location yako, sio lazima uwe umeiwasha ili wajue ulipo.
Mimi kuna mkoa nilikuwepo, nilipotoka kufika huku nilipo nikaanza kuona watu fb niliokua nawaona mtaani. Wengine sifahamiani nao nawajua kwa sura hata namba zao sina
 
Walishacheza na location yako, sio lazima uwe umeiwasha ili wajue ulipo.
Mimi kuna mkoa nilikuwepo, nilipotoka kufika huku nilipo nikaanza kuona watu fb niliokua nawaona mtaani. Wengine sifahamiani nao nawajua kwa sura hata namba zao sina
Ni kweli. Location ndiyo inaonyesha. Mimi kila wiki napata summary ya sehemu nilizopita kutoka Google.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] algorithm ni noma ilinilazimu kupenda hesabu.Watu wa IT,computer science na software engineering wanaelewa moto wa hayo madude.
Ni noma kasome Euclidian Algorithm utakimbi
1680194969575.png
 
View attachment 2570290
Binafsi sio mshabiki wa mpira kabisa ila 2022 mwishoni nilianza kuahabikia timu ya Yanga, nikajikuta die hard fan. Kombe la dunia lilipoanza nikawa naangalia maramoja moja, siku moja nikasearch Google ratiba ya mechi nikaangalia, baada ya muda usiku nikaingia FB nikaona Meme inayohusu mpira kutoka kwenye Fan pages za Asians nikaingia kwenye hiyo page kisha nikatoka.

Baada ya muda kidogo nikarudi Facebook nikakuta page kibao pale kwenye suggestions zinazohusu mpira kutoka nchi za asia. Kwakua Memes zilikua zinafurahisha nikawa naingia kwenye page mojamoja naangalia. The rest is history Facebook yangu ikabadirika muonekano ikawa imejaa masula ya mpira tu.
View attachment 2570315
[Meme yenyewe ni hii]


[NB. Fb sipo connected na mtu yoyote I meaan sina rafiki nipo mimi tu, that's why ilibadirika na kua ina mambo ya mpira tu before ilikua ina masuala ya Movie]

Argentina walivyochukua kombe nikasachi account ya Lionel Messi nikaangalia picha alizopost Kisha nikatoka, niiliporudi tena fb nilikuta Pages kibao zinazomuhusu Messi.
Kwakua nafahamu nini kinatokea sikushangazwa na kuyaona hayo.

Kama utakua ni mtumiaji wa Mitandao ya kijamii hasa Youtube, Facebook, Instagram, WhatsApp, Tiktok nk unaweza kua ishawahi kukutokea hili tukio. Kuna wakati unaweza ukawa unafikiria kitu fulani ila ukiingia tu FB au instagram ukakiona kikiwa katika mfumo wa tangazo (Advertisement/Sponsored) pengine hata ukisachi kitu Google kile kitu ukienda Insta au FB unakuta page zinazozungumzia kitu hicho au kukiuza.

Kwa wenzetu huko ambao muda mwingi wapo connected na Internet hua hata wakiwa wanaongelea kuhusu kitu fulani wakiingia tu mitandani kile kitu wanakikuta kinatangazwa. It's like walikua wanasikilizwa na hii ipo zaidi katika vifaa vya vyenye mfumo endeshi wa Android OS.

Hapo ndipo inapoingia suala la algorithm na Machine Learning. "Algorithm" ni mfumo uliowekwa kwa ajili ya kutatua tatizo au hitaji la mtumiaji wa vifaa vya computer na Internet na kufanya mahesabu kadri ya hitaji la mtumiaji (End User).

Algorithm inakua kama mfumo fulani uliotengenezwa ili kufanya kazi fulani hatua kwa hatua kwemye software au hardware. Katika kile seju ambapo Information Technology ipo basi tambua kwamba Algorithm ipo pia.

Machine Language ni algorithm inayotumika kutengeneza (Generating) Algorithm. Kwa waliosoma mada yangu ya Artificial intelligence nilielezea mambo haya kwa urefu zaidi maana Machine Language ipo ndani ya Artificial Intelligence.

Sasa basi mitandao ya kijamia (Nitazungumzia zaidi FB maana situmii Twitter, Insta, Tiktok nk) hasa Facebook mtu anapojiunga hua ana "Accept Company's Privacy Policy" najua wengi hua hatuzisomagi hizo.

Ukizisoma sera/ policies hizo utagundua kwamba pindi unapokubali basi unakua umeruhusu Facebook kuchukua taarafia zako kama Majina yako, Group na Pages utakazojiunga, Tarehe ya kuzaliwa, Watu unaofahamiana nao, pengine hadi namba zako za simu wanazichukua nk na hili hua hatujui maana kwenye kujiungahua tunabonyeza tu Accept bila kujua ndio maana ukienda kwenye Setting>>>Imported Contact utazikuta namba zako zote ulizowahi kutumia toka ujiunge Fb.

Pia Facebook hua inauwezo wa kujua hadi Apps ulizonazo kwenye simu yako, Location yako, Aina ya simu yako, Kama upo kwenye Wi-Fi Facebook inaweza kujua hata watu walioLog In kwenye hiyo WiFi Network.

So kwa njia hizo na zingine kibao inapelekea Fb kukujua vyema ndio maana unaweza hisi kwamba wanatusoma akili zetu lakini si kweli it's just Data Collection.

Algorithm ya mitandao ya kijamii hua inapamgilia machapisho/Posts yaonekane kwako kutokana na mapendeleo yako na sio yale yaliyo mapaya. Kama kitu ni kipya na hakipo kati vile uvipendavyo hutaweza kuviona na kama kitu ni cha zamani ila unakipenda ipo silu utakutana nacho.

Zamani miaka ya 1770s dunia ilipiga hatua kubwa baada ya Industrial Revolution, nchi zilizokua na nguvu ni zile zilizokua na viwanda vingi zaidi hapo ndio Britain ilipozipiga bao nchi zingine za Europe. Baadae miaka ya 1900s dunia ikahamia kwenye Era ya Arms and Ammunition, nchi iliyokua inasiraha nzito nzito ndio iliokopeka zaidi Hapo ndio Germany,USSR, USA zikaibuka.

Sasa tupo Digital World malighafi muhimu kuliko zote kwa sasa kuliko siraha,Chuma au viwanda ni Information. Yaani taarifa muhimu kwa wakati sahihi, Kwakweli makampuni ya Teknolojia kama Google,apple Inc, Disney,Sony, Meta nk wameweza kutuweka kati. Hakuna wasiojua kutuhusu. Pengine wanatufahamu kuliko tunavyojifahamu.
View attachment 2570420
Alamsiki...ningependa kuendelea ila vidole vimechoka😟
~Da'Vinci

Nimekuelewa vizuri, na naendelea na utafiti wangu kuhusu internet
 
kuna kitu kimoja kinanikera sana youtube, sina hakika kama wenzangu mmewahi kukutana nacho au lah.

huwa natumia sana youtube kutafuta tutorial mbalimbali zinazohusu digital devices.

kila ninapo search, naletewa tutorial za wahindi. changamoto kubwa ya tutorial za wahindi ni lugha.

wengi wao wanatumia lugha ya kihindi na kidogo kingereza ambacho sio rahisi kueleweka kwa mtu ambaye sio wa jamii ya kihindi.

niliwahi kusoma article moja ikizungumzia tatizo hili, niliona mpaka wazungu wakilalamikia changamoto hii. imebainika kwamba wahindi wengi wame dominate eneo hilo la kutoa tutorials. wengi wamejisajiri youtube.


wataalam, nawezaje kublock tutorials au video zinazotumia lugha ya kihindi?.nataka nikiwa youtube, ninapo search let say "How to perform Factory Reset on Android", niwe naletewa content zenye lugha kingereza tu.
Nadhani bila ya kwenda settings
Jaribu kila unapokuwa unatafuta hizo tutorials chagua za wazungu mara kwa mara hizo za wahindi zitapotea zenyewe
 
Ni kweli. Location ndiyo inaonyesha. Mimi kila wiki napata summary ya sehemu nilizopita kutoka Google.
Kama haina umuhumu kwako kupata taarifa hizo tafadhali kazifunge kwenye Permission ya Google Map. UnajiExpose zaidi kwa internet. Inaweza ikatokea siku ukatamani isiwezekane mtu kukusachi mitandaoni.

Ndio maana mm FB hakuna anayeweza kunisearch, jina nalotumia sio sahihi, sikoment wala kulike vitu. Naangalia tu yale ninayoyapenda napita hivi. Youtube,Insta, Twitter situmiii. Angalau youtube kiasi kama nataka nyimbo ndio naenda.
 
Back
Top Bottom