Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Siwezi kusamehe kirahisi, k vant kubwaa?!!! Hapana asee bora hata ingekua ndogo.... Machungu yameanza upya [emoji21]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] salt salt wewe hujawahi Kula vya wanaume [emoji3531]
 
Daaah sidhani kama vya wanaume vinauma hivi, nyie hela ya mwanamke inauma sana asee sijui kwakuwa hatukuumbwa kuzitafuta tumeumbwa kupewa tu....inauma!!!
Kwa hiyo kukimbiziwa dushe ishakuwa nongwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Evelyn wewe

Mbona dushe ziko nyingi nyingi Tu mtaani si utafute nyingine aaaah
 
[emoji2][emoji2][emoji2]wee sio mtu mzuri kabisa
 
[emoji28][emoji28]demu anakula kitimoto imagine kuna siku alikua kilo moja na ugali peke ake kesho akataka tena nkaona hapa nadate na Fisi sio bure!ila demu sio huyo mkuu!
😅😅😅😅😅Mungu anakuona
 
Mm kunae litakataka la huk huo kijiji linae mavi ya kufa mtu nkalipanga tumeet sehemu after beer mbili 3 tukabanduane

Mm nkawah eneo la tukio nkaaguza k can't ndogo ndani ya dk 20 huyu apa akanikuta bado nipo nacho kale ka k vant

Nkamuuliza unakunywa nn nae akasema k vant nkamuambia kama vp tuagize kubwa tuile wote

Aiseee pale alimeza k vant kubwa moja na kadogo + kitmoto kilo moja na akakimbia niliishia kuliwa denda tu

Nilipoteza kama 56k daa iliniuma mbaya asubh nkaenda kukopa supu ya utumbo kwa mama dulla kupooza maini
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Oya mwamba ulimfanyia ukatili kinoma [emoji23]
 
Temana nae tu huyo, umetumia muda na pesa kibao still anakulia still anakulia timing tu akuvute pesa.
 
Temana nae tu huyo, umetumia muda na pesa kibao still anakulia still anakulia timing tu akuvute pesa.
[emoji1][emoji1] Ndio mkuu, toka jana nipo naye kaja kulala kabisa, kwa mda huu wacha azile ila asichojua ni kwamba moyoni hayupo kabisa!! Nataka nimpagawishe alafu nimuache kwa maumivu makubwa sana
 
Eti Njoo uchukue baba.......

Uliichukua kavu kavu siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…