Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Ulishawahi kuhonga na mwisho wa siku haukuambulia chochote?

Daaah sidhani kama vya wanaume vinauma hivi, nyie hela ya mwanamke inauma sana asee sijui kwakuwa hatukuumbwa kuzitafuta tumeumbwa kupewa tu....inauma!!!
Kwa hiyo kukimbiziwa dushe ishakuwa nongwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Evelyn wewe

Mbona dushe ziko nyingi nyingi Tu mtaani si utafute nyingine aaaah
 
MREJESHO

[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,

Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu tu short"sina pesa" hakuwah ilamb a hela yangu toka January!

Wiki iliyopita akantafuta nikamwambia twende sehemu, tukaenda kipub cha kizushi tukaanza kupiga vyombo[emoji16][emoji16], kama kawaida ake akaanz ooh nihonge 15k,nikamuambia hapa kunywa utakunywa hata ukitaka kubeba ila sh. Kumi yangu hutopata[emoji16][emoji16], tukamaliza akarudi kwao.
Jana nipo zangu kwangu naona text yake "upo kwako nataka nije niandalie bia zangu" Saa moja huyu hapa "[emoji4][emoji4]kavaa kidude mipaja yote nje!!
Piga gambe piga gambe saa nne mwenyew kavua nguo kapata kitandani kanambia njoo uchukue baba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Basi nkajilia vyangu mie,
[emoji2][emoji2][emoji2]wee sio mtu mzuri kabisa
 
[emoji28][emoji28]demu anakula kitimoto imagine kuna siku alikua kilo moja na ugali peke ake kesho akataka tena nkaona hapa nadate na Fisi sio bure!ila demu sio huyo mkuu!
😅😅😅😅😅Mungu anakuona
 
Mm kunae litakataka la huk huo kijiji linae mavi ya kufa mtu nkalipanga tumeet sehemu after beer mbili 3 tukabanduane

Mm nkawah eneo la tukio nkaaguza k can't ndogo ndani ya dk 20 huyu apa akanikuta bado nipo nacho kale ka k vant

Nkamuuliza unakunywa nn nae akasema k vant nkamuambia kama vp tuagize kubwa tuile wote

Aiseee pale alimeza k vant kubwa moja na kadogo + kitmoto kilo moja na akakimbia niliishia kuliwa denda tu

Nilipoteza kama 56k daa iliniuma mbaya asubh nkaenda kukopa supu ya utumbo kwa mama dulla kupooza maini
 
Mm kunae litakataka la huk huo kijiji linae mavi ya kufa mtu nkalipanga tumeet sehemu after beer mbili 3 tukabanduane

Mm nkawah eneo la tukio nkaaguza k can't ndogo ndani ya dk 20 huyu apa akanikuta bado nipo nacho kale ka k vant

Nkamuuliza unakunywa nn nae akasema k vant nkamuambia kama vp tuagize kubwa tuile wote

Aiseee pale alimeza k vant kubwa moja na kadogo + kitmoto kilo moja na akakimbia niliishia kuliwa denda tu

Nilipoteza kama 56k daa iliniuma mbaya asubh nkaenda kukopa supu ya utumbo kwa mama dulla kupooza maini
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Mm Kuna pisi niliisarandia miez kadhaa ikawa inazingua Sana bahat mbaya tulikuwa mbal mbal kidogo ,Sasa bwana demu akaanza vizinga vyake kunipima iman ,Mara ya Kwanza akaniomba 50k bila hiyana nikatuma ,bas tokea hapo akajua zipo za bure bure ,Mara 10k natuma 15k natuma ,Sasa bahat nzur nikapata kirikizo nikarud kitaa kwetu ,nikampa taarifa kuwa nipo home maana nae Ni wa kitaa kwetu sema wote tulikuwa mbal mbal ,basi bwana akadai nimtumie naul ili nae aje kitaa tuweze kujinafasi Zaid ,mwanaume nikatoboka Kama kawaida,na kweli alitokea kitaa hakudanganya.

Sasa mziki akaanza kunipiga chenga kila nikimuomba mzigo sabab kibao Mara anakosa muda ,ila offer za kitimoto anatokea fresh tu ,nikaona huyu anataka kuniona boya ,niliamua kumkaushia Kama siku nne akipiga sipokei Wala sms sijib ,akaanza kujishtukia sms kibao sorry km nimekuudhi nikakausha tu, wakat huo huo nikaanza harakat za kumtokea mdogo wake wa kike ila sio tumbo moja Ni mtoto wa mjomba ake na hawakai nyumba moja ,bahat nzur kale kabint kakanielewa alaf kalikuwa kazur kumzid yeye ,sema yeye alikuwa na difu moja matata kumzid mdogo wake ,nikala kale kadem bila kutumia nguvu yaan kirain Sana ,Sasa dada mtu akasikia kuwa namla mdogo wake ,kwann asubuh na mapema asinifuate mageton nilikokuwa napoa na mshakaj wangu.

Basi asubuh na mapema Sana mtu anagonga mlango kufungua Ni fulan yaan kavimba balaa ,akaanza kulia mule room kuwa kwann umetoka na mdogo wang nikampa sabab akawaka Sana ,jamaa ninaelala nae ikabid atuache yeye asepe ,full kumaind nikamwambia yote haya umesababisha wewe na ukizingatia mm sipend dharau yaan nimekuleta had kitaa kwa naul yangu alaf uanze kuniringia ,akawa mpole na kuanza kuniplz nisirudie kulala na mdogo wake ,hapo hapo akanirukia kwa hasira aiseee yaaan ilipigwa mechi moja ya kibabe[emoji23][emoji23] Sana ile asubuh had sio poa.

Akasepa moja kwa moja kwa yule bint full kumpiga mikwara kibao ,yule mdogo wake akanisms kila kitu lakin akadai hawez kuachana na mm ,basi jion akarud Tena yule dada mtu ilipigwa mechi heavy Sana had nikahis kutapika ile siku ,basi mwendo ukawa Ni huo huo tu nikihitaj napewa pia mdogo mtu akawa anapewa show ya kificho .

Kilichofanya niandike haya Ni hiki ,yule manz akawa ameiva balaa Sasa yaan haongei kitu kwangu plus mdogo mtu ,rikizo ikaisha nikarud job kwangu nae akarud kwenye mishe mishe zake ,huku na huku nikampiga kizinga nae maana si nilijua Hana ujeur Tena na Zaid mm akil ilikuwa kwa mdogo mtu tu ,nikamwazima laki 5 haikuchukua masaa meng sms ikaingia ya muamala nikatoa ,nikabakiza 53k ambayo nikamtumia mdogo mtu kuwa anunue chochote[emoji23][emoji23] imeenda weee akaanza kudai nilimwambia Sina na siwez ipata leo Wala kesho ,aiseee alitukana matus ya dunia nzima full vitisho ,nam nikamchana kuwa piga hesab umekula hela zangu ngap basi tokea hapo alinichukia yule dem kwa muda mref Sana ,na mm nikakomaa na mdogo mtu had leo nikirud kitaa najipigia tu mdogo mtu kiroho saf ,sema dada mtu majuz naona kanichek fb messanger kanipa hi huku anacheka tu sijamjib chochote.

So mm Dem akila hela yangu huwa nakuja irudisha kivingine hata muda upite vipi hakuna demu wa kula pesa yangu kizembe ,yaan ntakuwa fala ila ntahakikisha k nimekula na pesa yangu imerud.
Oya mwamba ulimfanyia ukatili kinoma [emoji23]
 
MREJESHO

[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,

Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu tu short"sina pesa" hakuwah ilamb a hela yangu toka January!

Wiki iliyopita akantafuta nikamwambia twende sehemu, tukaenda kipub cha kizushi tukaanza kupiga vyombo[emoji16][emoji16], kama kawaida ake akaanz ooh nihonge 15k,nikamuambia hapa kunywa utakunywa hata ukitaka kubeba ila sh. Kumi yangu hutopata[emoji16][emoji16], tukamaliza akarudi kwao.
Jana nipo zangu kwangu naona text yake "upo kwako nataka nije niandalie bia zangu" Saa moja huyu hapa "[emoji4][emoji4]kavaa kidude mipaja yote nje!!
Piga gambe piga gambe saa nne mwenyew kavua nguo kapata kitandani kanambia njoo uchukue baba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Basi nkajilia vyangu mie,
Temana nae tu huyo, umetumia muda na pesa kibao still anakulia still anakulia timing tu akuvute pesa.
 
Temana nae tu huyo, umetumia muda na pesa kibao still anakulia still anakulia timing tu akuvute pesa.
[emoji1][emoji1] Ndio mkuu, toka jana nipo naye kaja kulala kabisa, kwa mda huu wacha azile ila asichojua ni kwamba moyoni hayupo kabisa!! Nataka nimpagawishe alafu nimuache kwa maumivu makubwa sana
 
MREJESHO

[emoji1][emoji1] Deal done, huyu binti nmemla Jana,

Kilichotokea ni kuwa toka mwanzoni mwa mwaka huu baada ya kufuma text ikabidi nmpotezee tu, basi mwezi wa tano ule akawa ananitext mm najibu short tu, akakata tamaa, akawa tena anakaa ananitext mara ananzingua nimtumie hela namjibu tu short"sina pesa" hakuwah ilamb a hela yangu toka January!

Wiki iliyopita akantafuta nikamwambia twende sehemu, tukaenda kipub cha kizushi tukaanza kupiga vyombo[emoji16][emoji16], kama kawaida ake akaanz ooh nihonge 15k,nikamuambia hapa kunywa utakunywa hata ukitaka kubeba ila sh. Kumi yangu hutopata[emoji16][emoji16], tukamaliza akarudi kwao.
Jana nipo zangu kwangu naona text yake "upo kwako nataka nije niandalie bia zangu" Saa moja huyu hapa "[emoji4][emoji4]kavaa kidude mipaja yote nje!!
Piga gambe piga gambe saa nne mwenyew kavua nguo kapata kitandani kanambia njoo uchukue baba[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Basi nkajilia vyangu mie,
Eti Njoo uchukue baba.......

Uliichukua kavu kavu siyo?
 
Back
Top Bottom