Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Kabisa!! Umemaliza ๐๐Yote haya sababu kubwa ni umasikini wetu hakuna lingine. Imagine wote mnatoka middle class families, wote mna walau kipato kinaeleweka, kila mtu anaweza kubeba majukumu yake walau kwa kiasi kikubwa, hatuwezi kuja na hizi drama.
Mtu unatoka familia Mungu ndio anajua, wewe mwenyewe Mungu ndio anajua, it's obvious utahitaji mtu atakayekujali kifedha kwanza kabla ya kihisia.
Tupambane na huu umasikini ndugu zangu, ili tufikie mahali mtu uingie katika mahusiano sio kwa vile yule dada ana pesa au kwa vile yule kaka yuko vizuri. Such relationships are like slavery!!!
Kuna wanaume wana bahatiWapo wanawake wanaowaelewa jamaa zao ambao wana maisha ya kawaida tu. Kuna sista mmoja ni Kigogo kwenye kampuni moja kubwa ya kuchimba dhahabu kanda ya ziwa. Ana mume wake choka ya kawaida tu, kamzidi kiuchumi zaidi ya mara 20. Lakin hiyo heshima na love anampa jamaa yake usipime. Hawezi kufanya kitu bila ruhusa ya jamaa. Ingekuwa dada zetu hawa sasa
Achaaa tu yani ni utamu juu ya utamuhahahaha dah kweli pesa inawafikisha kileleni
๐ฅChiefNi miti aliyokuwa anakupiga ilikufikisha.. Inaonekana alikuwa anakujulia kukukuna na kukukojelesha kiasi kwamba hata ukifikiria kuondoka uziache hizo raha unashindwa. Nguvu kubwa ya wanaume tuliyo nayo ni mikandamizo na mikito ya kitandani. .Basi
Hebu wanaume tafuteni pesa.hii mambo ya kiuno msingi hayafai kabisa.Its either utafute pesa au usubiri kupendwa ๐
Hakika..sema kupata wanawake wa hivyo ni bahati sana. One In a millionKuna wanaume wana bahati
Kama bado unamuhitaji mambo yaendelee, kama haumtaki basi....
Kumpenda mtu asie na kitu yani hohe hahe yataka moyo nyie!!! Hata ukifanya nae haupati utamu kabisa
Kwakweli ndio maana sikuwa mwanaume, ningeteseka...Kuna tifauti kubwa kati ya mapenzi au upendo wa kweli kutoka ndani ya moyo na biashara ya mbususu.
wanaume pekee ndio wenye mapenzi yakweli kwa wapenzi wao
Very true, hakuna ugonjwa mbaya kama kuwa broke. Unaona vijana wengi sasa hivi nao wanahitaji kuwa na wadada wenye pesa, yaani kijana anaangalia wapi atapata mwanamke mwenye pesa. Mbaya sana hii...Ila ni huu umasikini wetu tu, I wish tungekuwa na ahueni ya maisha, mtu ujiingize kwenye mahusiano kwa sababu umependa sio kwa vile dada ana pesa.Hebu wanaume tafuteni pesa.hii mambo ya kiuno msingi hayafai kabisa.
Hakuna ugonjwa mbaya kama ukiwa huna pesa.
Unafikiri unapigaaaana basi ili upate mijihela kama ya bharesa...hapana ni pesa tu ya kukutosha wewe na familia yako.
Kama hujapitia maisha ya kimasikini...jamaa acha aiseh
Huwa mnapendaga wachimbachumvi [emoji1787]Kuna boya mmoja nilimpendaga aise hata hamsini mbovu alikuwa hanipi(hana hela)lakini ulikuwa huniambii kitu loh....nilishindwa maana tulikuwa tukikaa hazijapita dakika mbili tushakwaruzana kha!!muda wote kajawa na amri tu [emoji17][emoji17]siku nyingine natamani kudeka deka..basi hata nikitengeneza mazingira ya kubadilisha sauti iwe kama ya Celine Dion ohooooo...nakutana na sura ya vita...woooooiiii..
Na ubandidu wake hivyo hivyo loh.Shikamoo mapenzi marahaba sit down.kha
Aiseh acha kabisa..nikikumbuka maisha ya kwanzia mwaka 98-2004 daah hayo maisha Sitaki kuyakumbuka aise...Very true, hakuna ugonjwa mbaya kama kuwa broke. Unaona vijana wengi sasa hivi nao wanahitaji kuwa na wadada wenye pesa, yaani kijana anaangalia wapi atapata mwanamke mwenye pesa. Mbaya sana hii...Ila ni huu umasikini wetu tu, I wish tungekuwa na ahueni ya maisha, mtu ujiingize kwenye mahusiano kwa sababu umependa sio kwa vile dada ana pesa.
Umasikini kitu kibaya sana!!
๐๐๐ kwani kuna comments zingine baada ya hii jamani? Uzi uishie hapa๐โโ๏ธKama bado unamuhitaji mambo yaendelee, kama haumtaki basi....
Kumpenda mtu asie na kitu yani hohe hahe yataka moyo nyie!!! Hata ukifanya nae haupati utamu kabisa
acha urongo! sisi hohe hahe tusikuwa na mbele wala nyuma, kwenye swala la kutoa utamu tunajituma sana, hatuna masihara kwenye sekta ya "wewe mpelekee moto"Kama bado unamuhitaji mambo yaendelee, kama haumtaki basi....
Kumpenda mtu asie na kitu yani hohe hahe yataka moyo nyie!!! Hata ukifanya nae haupati utamu kabisa
Hahahahahah kumbe ulishawahi kupenda aisee!Kuna boya mmoja nilimpendaga aise hata hamsini mbovu alikuwa hanipi(hana hela)lakini ulikuwa huniambii kitu loh....nilishindwa maana tulikuwa tukikaa hazijapita dakika mbili tushakwaruzana kha!!muda wote kajawa na amri tu ๐๐siku nyingine natamani kudeka deka..basi hata nikitengeneza mazingira ya kubadilisha sauti iwe kama ya Celine Dion ohooooo...nakutana na sura ya vita...woooooiiii..
Na ubandidu wake hivyo hivyo loh.Shikamoo mapenzi marahaba sit down.kha
Conclusion:๐๐๐ kwani kuna comments zingine baada ya hii jamani? Uzi uishie hapa๐โโ๏ธ
That's your conclusion babe and not mine, for me love is everything no matter you're broke or not๐Conclusion:
โNo free papuchi for broke guyz but only for the rich guysโ-Goldiggers Association!
Sounds innocent but....That's your conclusion babe and not mine, for me love is everything no matter you're broke or not๐