Ulishawahi kukataliwa kwasababu hukuwa na kitu kisha ukaja kukubaliwa baada ya kupata?

Kabisa!! Umemaliza ๐Ÿ™๐Ÿ™Œ
 
Kuna wanaume wana bahati
 
Ni miti aliyokuwa anakupiga ilikufikisha.. Inaonekana alikuwa anakujulia kukukuna na kukukojelesha kiasi kwamba hata ukifikiria kuondoka uziache hizo raha unashindwa. Nguvu kubwa ya wanaume tuliyo nayo ni mikandamizo na mikito ya kitandani. .Basi
๐Ÿฅ‚Chief
 
Its either utafute pesa au usubiri kupendwa ๐Ÿ˜€
Hebu wanaume tafuteni pesa.hii mambo ya kiuno msingi hayafai kabisa.

Hakuna ugonjwa mbaya kama ukiwa huna pesa.

Unafikiri unapigaaaana basi ili upate mijihela kama ya bharesa...hapana ni pesa tu ya kukutosha wewe na familia yako.

Kama hujapitia maisha ya kimasikini...jamaa acha aiseh
 
Kuna tifauti kubwa kati ya mapenzi au upendo wa kweli kutoka ndani ya moyo na biashara ya mbususu.
wanaume pekee ndio wenye mapenzi yakweli kwa wapenzi wao
Kama bado unamuhitaji mambo yaendelee, kama haumtaki basi....

Kumpenda mtu asie na kitu yani hohe hahe yataka moyo nyie!!! Hata ukifanya nae haupati utamu kabisa
 
Very true, hakuna ugonjwa mbaya kama kuwa broke. Unaona vijana wengi sasa hivi nao wanahitaji kuwa na wadada wenye pesa, yaani kijana anaangalia wapi atapata mwanamke mwenye pesa. Mbaya sana hii...Ila ni huu umasikini wetu tu, I wish tungekuwa na ahueni ya maisha, mtu ujiingize kwenye mahusiano kwa sababu umependa sio kwa vile dada ana pesa.

Umasikini kitu kibaya sana!!
 
Huwa mnapendaga wachimbachumvi [emoji1787]
 
Nilimtongoza laivu ,nikawa namtoa hela za hapa na pale niliwahi pika msosi nikampelekea ofisini lilikuwa bonge la msosi minyams nyama kibao .

Mwisho wa siku niliambulia patupu nikaonekana fala iliniuma Sana , halafu eti effort zote nilizofanya eti nkkasikia anatamani kuliwa na mchizi wangu .

Nikasema poa Kama sitokukula leo nitakukula baadae au Kuna bahari ataniwakilisha kwa maumivu Yale Yale niliyoyapata .

Anyway Mimi huwa Ni mzee hit and run Ila kwa huyu binti nilitaka niweke mstakabali mzuri wa maisha niachane na uzinzi Ila ndio hivyo [emoji15]

Nimerudi ground zero Ni mwendo wa kimasihara [emoji1787]
 
Aiseh acha kabisa..nikikumbuka maisha ya kwanzia mwaka 98-2004 daah hayo maisha Sitaki kuyakumbuka aise...
 
acha
Kama bado unamuhitaji mambo yaendelee, kama haumtaki basi....

Kumpenda mtu asie na kitu yani hohe hahe yataka moyo nyie!!! Hata ukifanya nae haupati utamu kabisa
acha urongo! sisi hohe hahe tusikuwa na mbele wala nyuma, kwenye swala la kutoa utamu tunajituma sana, hatuna masihara kwenye sekta ya "wewe mpelekee moto"
yani hela huna, maisha huna na utamu ushindwee kuutoa!
 
Hahahahahah kumbe ulishawahi kupenda aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ